Sijui ni Kwanini wabongo wengi wanashindwa kufungua akili zao na kufahamu jambo hili na mambo mengine kwa upana.
They are having fixed minds always badala ya kuwa na glowing minds kuruhusu fikra huru na haki na kujifunza mambo mapya.
Hongo upofusha kwakweli,Kuna watu niliwaona wanaakili kumbe hovyo kabisa..Sasa hapo mumetiwa Kichwa na Dully siku akiingiza mzigo wote kwa tundu si mutamuachia chama kabisa.Munatia hasiraa bana aaaa