Nashindwa kufuta namba yake japo tumeachana

Nashindwa kufuta namba yake japo tumeachana

Malovee

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2020
Posts
202
Reaction score
324
Bila Shaka mu wazima, naomba msaada wenu, mimi na mpenzi wangu tumeachana huu mwezi wa tano, lakini nashindwa kabisa kufuta namba yake.

Lengo la kutofuta namba yake ni ili niwe nafuatilia status zake, but yeye hajui kama naziona, vilevile yeye pia hufuatilia zangu bila kificho.

Naomba mnisaidie nifanye nini, nimsahau huyu kiumbe, kumblock nilishajaribu lakini baada ya siku ile mbili namu unblock, lakini yeye Kila ninachoweka status lazima aview. Nahisi ameniroga maana siyo kawaida yangu hii.

Nb: Siyo mahusiano yangu ya Kwanza.
- Umri wetu tuko kwenye 29-34
 
2748106_FB_IMG_1618939259602.jpg
 
Ngumu sana kuacha unachokipenda! Kama vipi rudianeni hicho ni kipimo tosha kuwa bado unampenda rudi kundini kabla nafasi haijaexpire.. Mapenzi yanauma
Kumbuka na yeyehajafuta namba yangu lakini hatuongeleshani wote, Mara ya Kwanza birthday yangu ndo iliturudisha katika mahusiano, aliniwishi heri ya kuzaliwa nikamjibu na zawadi juu basi tukarudisha mawasiliano, Sasa ninaona karibia siku yangu inafika asije akatumia njia hiyo tujarudiana
 
Ni jaribu kubwa. Kuweka moyo na akili(Ubungo) viwe katika makubaliano.
Ni dhahiri kuwa unampenda sana shemeji moyo ndio unasema hivyo lakini akili inataka kuachana na mahusiano hayo. Ushauri wangu:-
1. Kubali kwamba unampenda na unaanza maisha mapya bila yeye. Iambie nafsi yako kuwa hiyo inawezekana;
2. Jipe muda mchache mfano wiki au mwezi wa kukumbuka mazuri yake ili ufungue ujurasa mpya;
3. Mtizame kwa mtazamo tofauti.
Sio rahisi lakini inawezekana.
 
Back
Top Bottom