humility21
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 448
- 622
Jinsi ilivyo jinsia ya ke huwa hamfuti namba za simu mapema hata mambo yanapokorogeka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huu ji mwezi wa tano sasa siko.naye , nimejaribu yote hayo lakini imeshindikana,Ni jaribu kubwa. Kuweka moyo na akili(Ubungo) viwe katika makubaliano.
Ni dhahiri kuwa unampenda sana shemeji moyo ndio unasema hivyo lakini akili inataka kuachana na mahusiano hayo. Ushauri wangu:-
1. Kubali kwamba unampenda na unaanza maisha mapya bila yeye. Iambie nafsi yako kuwa hiyo inawezekana;
2. Jipe muda mchache mfano wiki au mwezi wa kukumbuka mazuri yake ili ufungue ujurasa mpya;
3. Mtizame kwa mtazamo tofauti.
Sio rahisi lakini inawezekana.
Sjui kwa nnJinsi ilivyo jinsia ya ke huwa hamfuti namba za simu mapema hata mambo yanapokorogeka!
Kama mnapendana rudianeni haya mengine ni swaga tu! Dada hebu kamueleze mwenzio hisia zako ama kama huwezi fanya tuvitu tutakavyomjulisha unataka Tena attention nae atajiongeza mtarudiana!.. usivunge hutaki wakati hisia zataka utakapobananishwa kwenye angle ya Mapenzi utaelewa tu.Kumbuka na yeyehajafuta namba yangu lakini hatuongeleshani wote, Mara ya Kwanza birthday yangu ndo iliturudisha katika mahusiano,aliniwishi heri ya kuzaliwa nikamjibu na zawadi juu basi tukarudisha mawasiliano,Sasa ninaona karibia siku yangu inafika asije akatumia njia hiyo tujarudiana
Mk
Mkuu huu ji mwezi wa tano sasa siko.naye , nimejaribu yote hayo lakini imeshindikana,
Mkuu it's a long story, nilishawah iweka hapa kwa id tofauti na hi, na watu wote walinishauri nimuache ndiyo maana nimeona nikija kwa I'd ileile nitakula vichambo Hadi basiNini kilichosababisha muachane?
Hapana mkuuCredit analyst [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwan hakuna wanaume wanakutongozaBoyfriend namtafutaje mkuu, mm ke, labda useme nimkubali boyfriend
Inaonekana bado unampenda?Mkuu it's a long story, nilishawah iweka hapa kwa id tofauti na hi, na watu wote walinishauri nimuache ndiyo maana nimeona nikija kwa I'd ileile nitakula vichambo Hadi basi
Kila siku tunawambia hum jitahidini mjipe mda kabla yakuachana sasa ngoja umpate mtu halafu awe namapungufu kuliko huyo hapo ndo utaimba hum unatakiwa uombe ushauri namna yakuyajenga namwenzio ila kwenye hatua ya kuachana nivizuri ukaamua mwenyeweMkuu it's a long story, nilishawah iweka hapa kwa id tofauti na hi, na watu wote walinishauri nimuache ndiyo maana nimeona nikija kwa I'd ileile nitakula vichambo Hadi basi
Malovee km seriously umeamua kumuacha unashindwa vip kufuta namba na kumove on? Futa hiyo namba completely then fanya mambo yako atatoka taratibu huwez kumsahau mtu ndan ya wiki au mwez it takes time.Mm nimeshaamua kuachana, chakufanya nipe tu mbinu ya kumsahau, kutofuta namba Ni kigezo Cha kupendana?
Kwako kukiwa ucku[emoji14][emoji14] mwenzio ndo kwanzaIvi mapenz bado yapo sikuhiz maana ni kama nimesahau tunapendaje.Move on mom
Katika maisha ya mapenzi kuna mahusiano hutokea mara moja au mbili ya kupenda mazima na bila sababu na ikitokea mkaachana itamchukua mmoja au wote miaka SI CHINI YA MITATU kuweza kusahauliana na ku move onBill Shaka mu wazima, naomba msaada wenu , Mimi na mpenzi wangu tumeachana huu mwezi wa tano ,lakini nashindwa kabisa kufuta namba yake.
Lengo la kutofuta namba yake Ni ili niwe naafatilia status zake, but yeye hajui Kama.naziona, vilevile yeye pia hufatilia zangu bila kificho.
Naomba mnisaidie nifanye nn,nimsahau huyu kiumbe, kumblock nilishajaribu lakini baada ya sikuile mbili namu unblock, kakini yy Kila ninachoweka status lazima aview.
Nahisi ameniroga maana siyo kawaida yangu hi.
Nb: siyo mahusiano yangu ya Kwanza.
-umri wetu tuko kwenye29-34
Hii kitu hii unaeza honga kampuni si yako
Mkuuu mbona unanipa wakati mgumuuKatika maisha ya mapenzi kuna mahusiano hutokea mara moja au mbili ya kupenda mazima na bila sababu na ikitokea mkaachana itamchukua mmoja au wote miaka SI CHINI YA MITATU kuweza kusahauliana na ku move on
Hivyo sikushauri kabisa ufanye juhudi zozote za kufuta kumbukumbu zozote muda pekee ndio utafanya hivyo.. UKO NA MIEZI 5 TANGU MUACHANE BADO 31
Ninafanya Mambo yangu na huu Ni mwezi wa tano, najatikbunkuwa na furaha Kama kuhave fun na rafiki zangu, but nikiwa tu mwenyewe mawazo juu yake yanarudiMalovee km seriously umeamua kumuacha unashindwa vip kufuta namba na kumove on? Futa hiyo namba completely then fanya mambo yako atatoka taratibu huwez kumsahau mtu ndan ya wiki au mwez it takes time.
Dah😅😅😅😅😅 Karibu sana