Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ndio ukweli mchungu na utakuja kuoona huu mwishoniMkuuu mbona unanipa wakati mgumuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ukweli mchungu na utakuja kuoona huu mwishoniMkuuu mbona unanipa wakati mgumuu
Ukimkubalia mmoja bac huyu unayemuwazaWapo,
Thanxs mkuu,....Urgh!
Uliachana nae sababu watu “wote” humu walikushauri? Ulikosea.
Ungeachana nae kwa matakwa yako wewe mwenyewe.
No wonder una wasiwasi ukija na ID ile, watu wa humu watakuchamba. Usiishi kwa kuwafurahisha watu. Ishi kwa furaha yako mwenyewe.
Mimi nakushauri usiifute namba yake, ...na wala usiache kuangalia status zake,
Labda inakuongezea ujasiri wa ku move on.
...Na uwe na amani kabisa birthday yako inavyokaribia.
Akikutumia Birthday wishes na salamu, well and good.
Akikupotezea, pia usifadhaike...
Expectations huleta disappointments.
😃😃😃😃Mbinu ni kupata mjadala wake chap, jitahidi awe mkali kumzidi huyo mkulungwa....
Usisahau kumringishia, ubaya ubaya tu.
Give me a second...Fanya hivyo if possible mkuu
Matumizi mabaya ya hisiaBill Shaka mu wazima, naomba msaada wenu, mimi na mpenzi wangu tumeachana huu mwezi wa tano, lakini nashindwa kabisa kufuta namba yake.
Lengo la kutofuta namba yake ni ili niwe nafuatilia status zake, but yeye hajui kama naziona, vilevile yeye pia hufuatilia zangu bila kificho.
Naomba mnisaidie nifanye nini, nimsahau huyu kiumbe, kumblock nilishajaribu lakini baada ya siku ile mbili namu unblock, lakini yeye Kila ninachoweka status lazima aview. Nahisi ameniroga maana siyo kawaida yangu hii.
Nb: Siyo mahusiano yangu ya Kwanza.
- Umri wetu tuko kwenye 29-34
Mpendwa fanya chapu kwa haraka ili tujue jinsi ya kumshauri huyu sio aliyetutukana kwenye ule uzi tulipomshauri achane na huyo Mwanaume akatujibu baadhi ya members hamuachi huyo jamaa😂😂akaandika ni mama kijacho.
Fanya kunitonya mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nimeshakujua[emoji1787][emoji1787][emoji16]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Katavi moja au 😂😂😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nimeshakujua[emoji1787][emoji1787][emoji16]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mpendwa fanya chapu kwa haraka ili tujue jinsi ya kumshauri huyu sio aliyetutukana kwenye ule uzi tulipomshauri achane na huyo Mwanaume akatujibu baadhi ya members hamuachi huyo jamaa[emoji23][emoji23]akaandika ni mama kijacho.
Hapana...Katavi moja au [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Atanisagia kunguniFanya kunitonya mkuu
Acha ujinga hebu rudiana na mwenzio, kisa cha kujipa shida n nn?Mk
Mkuu huu ji mwezi wa tano sasa siko.naye , nimejaribu yote hayo lakini imeshindikana,
atakuwa alikutia vzr uongoMimi ni ke
Ule uzi alituchamba tuliokuwa tunamshauri tofauti na mawazo yake ningejua jinsi ya kuweka uzi ningeuweka ili watu wasisumbuke kumshauri apambane na hali yake😕[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Huyo huyo
We ni noma asee
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app