Nashindwa kufuta namba yake japo tumeachana

Peleka simu kwa mzazi wako au kwa kiongozi wako wa kiroho atakusaidia kufuta hiyo namba na hutamkumbuka tena.
 
Eti hauwezi kurudiana nae lakini naomba yake umeshindwa kufuta ,,hivi uko serious kweli na moyo wako,hiyo sitaki nataka hiyo itakugharimu ,,kula kitu roho inapenda bwana
 
Noted mkuu
 
Mbona kama codes zinataka kusomana [emoji25]
 
Wawili nyie bado hamjaachana, mmeamua kupumzika kwa muda tu
 
Bdo mnapendana sema wote mnajikutamewekeana ngumuu,ila ila akitoea wa kulianzisha mnaanza upyaaaa,mimi nlikuwa kweny hyo situation ila uzalendo umenishnda nkaamua kumtafuta kumbe na yy alikuwa na desire hyo!nakuhakikshia soon mtarudiana
Hii ni Kama tumeachana maana ,Ni mweZi was tano Sasa hatuna mawasiliano
 
Kwenye maisha jifunze kuwa na maamuzi magumu ila yawe sahihi. Ukilielewa hili utakuwa na uhuru wa kufanya maamuzi sahihi, imma yawe yako binafsi au ya jamii.
 
Thatz a reality,mfano tumekosana,ila mwsho nikaona nmekukosea sanaa na kuona n bora niombe msamaha kwa nliyokukosea,ila ukakataa kunisamehe huwa naami uliekataa msamaha ndo utakuwa unateseka cku zote cz me itakuwa na amani moyon
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Shogaaa angu vipi mbona cheko kubwa🀣
 
Finally nimeweza msahau wapenziii now am happy ❀️
 
Finally nimeweza msahau wapenziii now am happy ❀️
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…