Nashindwa kulielewa hili gari

Nashindwa kulielewa hili gari

Mzee gari hizo mafundi ni wawili ninawajua, yupo huyu mwamba JituMirabaMinne kuna mwamba mwingine anaitwa ivan yupo mwenge pale yeye ana deal na gari za Ulaya tu,ukihitaji contact Zake nitakupasia.

Achana na mafundi wapiga ramli, utanunua spea mpaka uombe poo.
 
kusema kweli naipenda sana hii gari ila imenivunja moyo sana iko vizuri sana kimwonekano ntairudia tu siku moja, naipenda sana interior na body shape nilikua najiona mtu kuiendesha lakini pia niliuziwa kwa exchange na mark x
Typical mind za kibongobongo. Unafanya kitu ili ''kuwatesa'' watu. Hujali uwezo uwezo wako wala huna plan yoyote!
 
Mzee gari hizo mafundi ni wawili ninawajua, yupo huyu mwamba JituMirabaMinne kuna mwamba mwingine anaitwa ivan yupo mwenge pale yeye ana deal na gari za Ulaya tu,ukihitaji contact Zake nitakupasia.

Achana na mafundi wapiga ramli, utanunua spea mpaka uombe poo.

Mkuu naomba niPM namba zao ama address zao
 
Nimepata mda wa kupitia comments nyingi wengi mnapendekeza matumizi ya toyota kwa sababu ya reliability na affordability binafsi nimeendesha toyota mark x sedan na mark x zio sijui inaitwa hatcback , kwa mara ya kwanza nilipoendesha BMW niliona nimekidhi haja ya moyo wangu nakumbuka ilikuwa 3 series latest nilipenda sana interior comfortability na body lake niliapa lazima nipate hii kitu nikaangukia kwenye 5 series

Kuna muda nakaa naiangalia ndinga ilivyopaki alafu nasema hiiiiiiiiii ikitokea shida ya ghafla kama hii ya iliyonikuta natetereka kidogo lakini sasa nimesahau kabisa kama imenicost why? My love ni kubwa over these BIG BOYS CAR kama itasumbua tena nitavunjika moyo lakini i must find a way out

Nafurahi sana staff wenzangu wanapoisifia natamani pia nipate FUGA au LEXUS ambayo ni sedan naona ni gari za kiume, siwezi kumshauri mtu asinunue au anunue gari anayopemda kwa sababu ya matunzo i just advise people to make big money you will automatically kwenye Big cars
Chukua Lexus LS 460.. ni 🔥🔥🔥
 
Ngoja nikupe mfano mmoja labda utanielewa maana hatari Mimi nilikua mbishi kama wewe. Nimemiliki German car na nilikua na Pesa ya spare parts na service lakini ilikua inashinda zaidi garage kuliko nyumbani kwangi kwa miaka 2.

Rafiki yangu msauzi mjini Johannesburg alikua amemaliza mkataba wa corolla akawa anataka kuchukua SUV. Wenzetu Sauz hawanunui gari mpya kwa cash,ni contract ya miaka 5-7.

Akaniomba nimsindikize kwenye Hyundai/KIA dealership akaulizie akacheki SUV zao . Kufika pale tukakuta Benz,BMW kibao na Audi chache,ikabidi mi niulize jamani nyie no dealers wa hizi German brands pia? Kumbuka pale wanauza gari mpya tu na exclusive Kia/Hyundai.

Marketing officer hajaniambia hizo German brands wateja wamekuja kufanya trade in baada ya warranty kuisha na kuchuku eidha kia au Hyundai. Ipo hivi Merc,Benz, Audi wanampa mteja warranty ya km 60000 kwa miaka Kitano toka anaponunua gari.

Maana yake service zinafanywa na wao,repairs pia nk. Warranty ikiisha maana hata mkopo umemaliza so service ni juu yako. Bila warranty hizo gari ni kichomi maana rate ya breakdown baada ya 60000 km ni kubwa mno. Parts na service in ghali kweli.

Mteja anaamua kwenda kia/Hyundai au Toyota dealership kufanya trade in. Wao wanaithaminisha ile gari na kuichukua kama sehemu ya malipo ya gari Mpya watakayo mpa mteja. Unakuta thamani yake hatari sio kubwa sana ,kisha wao wataiuza kwa being ya kawaida cash bila warranty kwa mteja ambae yupo tayari kubeba huo msalaba.

Halafu hapa bongo mtu unaagiza Mercedes au BMW out of warranty yenye umri zaidi ya miaka 10,unatarajia nini kama sio kichomi na pressure?

Maajabu ni kwamba kampuni kama KIA, Hyundai, Toyota wanatoa unlimited km on motor na gearbox kwa miaka 7 kama mtu amechukua mpya.
Umefika Ulaya wewe? Mbona hizo gari ndiyo zipo nyingi na lalamishi kama hizi zako hamna! Mafukara acheni kuparamia magari hovyo jamani!
 
Unahitaji uelewa gani katika kununua gari ?

Hakuna gari ambayo ni stress, mtu kama hama hela anaanza singizia gari, ni vyema kupita kushoto kama mfuko unapepea kama mawimbi ya redio, unachukua kinachofanana na wewe. Kila siku wenye hela zao wananunua hizo BMW , RR , Benz hawana hizo ngonjera zenu ..
Nakuunga mkono na mguu. Hakuna kitu kama ''gari yenye stress'' ila kuna watu wenye stress wanaonunua magari kwa pupa huku hawana fedha za service na spare!
 
kusema kweli naipenda sana hii gari ila imenivunja moyo sana iko vizuri sana kimwonekano ntairudia tu siku moja, naipenda sana interior na body shape nilikua najiona mtu kuiendesha lakini pia niliuziwa kwa exchange na mark x
Kama unaipenda hio gari jikaze nunua kadi za kununua vitu mitandaoni agiza hio fuel pump pia nunua diagnosis code usiwe mzembe mzembe si unapends vitu vya kizungu..adopt maisha ya kizungu hadi inafika bongo hio fuel pump ni $130.2 (315,000 tshs) ushuru kimtindo hapo weka bugdet 400,000 duka ni website ni spareto.com na screenshots nimekuwekea hapo...😂😂😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20220628-194208_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20220628-194208_Samsung Internet.jpg
    88.7 KB · Views: 15
  • Screenshot_20220628-194157_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20220628-194157_Samsung Internet.jpg
    80.4 KB · Views: 13
  • Screenshot_20220628-194134_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20220628-194134_Samsung Internet.jpg
    93.3 KB · Views: 12
Individual opinion should not be taken as industry standards.

Hizo german brands zina zaidi ya miaka 50 kwenye game na zinaendelea kuwepo. Kwanini uchukue opinion ya mtu mmoja kama conclusion?

Current BMW engines are the best right now. Kuna makampuni yanasource engines toka BMW, Porsche na Mercedes.
Youtube inapelekesha wabongo wengi sana kuamini mambo sivyo. Mtu akiona clip moja mbili imetoka kwa kilaza mmoja huko0 USA anaona ni kweli. Hakuna sehemu yenye upotoshaji kama social media kama hujui kuchambua na kufanya research ya kina.
 
Nimenunua BMW 5 series 2006 kwa mtu ikiwa fresh nimeendesha kama mwezi ilikuwa poa mpaka nilipompa jamaa alikuwa na safari ya Bagamoyo aliporudi nikaichukua kuendesha kidogo nikaona kama nakanyaga sana mafuta gari haiendi.

Nimeenda kwa fundi akasema shida plug nikanunua zikafungwa baada ya kuendesha naona mambo ni yale yale. Nikamuuliza fundi mwingine kasema nibadilishe pump, sijawahi kumiliki BMW before naomba uzoefu wenu wadau kabla sijanunua tena fuel pump.
Tazama chemba ya mirija kwenye gear box huenda hydrolic haiendi ya kutosha
 
Mkuu neno ''kutesa'' lina maana zaidi ya kutesa. Kama alivyosema mwenyewe ulikuwa ukiendesha ''unajiona mtu'', ndiyo kutesa huko.

Ni self satisfaction it doesn't mean to make others feel inferior ni kama mtu mwingine anavyopenda kujenga nyumba kali hainifanyi mimi naependa kupanga kufeel inferor.
 
Ni self satisfaction it doesn't mean to make others feel inferior ni kama mtu mwingine anavyopenda kujenga nyumba kali hainifanyi mimi naependa kupanga kufeel inferor.
Haya ni kwa nchi zilizoendelea. Lakini kwa Bongo sidhani. Utamaduni wetu umejijenga kwenye ''kutesa'' na ''kuteseka''.
 
Reference Kwa Shemeji Yangu.

Jamaa anatia huruma, ana BMW 5 Series sawa na ya mtoa mada Ila kila siku analalamika.
Unajua kununua magari kwa wengi wetu bado ni kitu kigeni. Unaponunua gari unatakiwa ujuwe kuwa gharama ya kununua + gharama ya kulimiliki (kuliendesha) Miaka ya 2002 wakati watu ndiyo wanaanza kununua magari kwa wingi kuna jamaa mmoja yeye akaona abebe Ranger Rover kabisa. Haikuisha hata mwezi akalipaki kwa sababu ya ''kunywa mafuta kama jini.''
 
Back
Top Bottom