Nashindwa kulielewa hili gari

Nashindwa kulielewa hili gari

Nimepata mda wa kupitia comments nyingi wengi mnapendekeza matumizi ya toyota kwa sababu ya reliability na affordability binafsi nimeendesha toyota mark x sedan na mark x zio sijui inaitwa hatcback , kwa mara ya kwanza nilipoendesha BMW niliona nimekidhi haja ya moyo wangu nakumbuka ilikuwa 3 series latest nilipenda sana interior comfortability na body lake niliapa lazima nipate hii kitu nikaangukia kwenye 5 series

Kuna muda nakaa naiangalia ndinga ilivyopaki alafu nasema hiiiiiiiiii ikitokea shida ya ghafla kama hii ya iliyonikuta natetereka kidogo lakini sasa nimesahau kabisa kama imenicost why? My love ni kubwa over these BIG BOYS CAR kama itasumbua tena nitavunjika moyo lakini i must find a way out

Nafurahi sana staff wenzangu wanapoisifia natamani pia nipate FUGA au LEXUS ambayo ni sedan naona ni gari za kiume, siwezi kumshauri mtu asinunue au anunue gari anayopemda kwa sababu ya matunzo i just advise people to make big money you will automatically kwenye Big cars
Hahaha wewe utapigwa tukio Hilo gari utalikimbia


Sina mengi utaleta ushuhuda humu.
 
Aisee kama namuona mleta uzi anavyohangaika na chuma cha mjerumani 🐒
20220628_074545.jpg
20220628_074514.jpg
 
😅😂 sasa hivi kinacho endelea humu ktk huu uzi ni:-
Vita ya European Cars Vs Japanese Cars...
Halafu vita nyingine ni Wamiliki wa magari Vs Wenye ndug/marafik wenye magari...
Vita ya tatu ni Wajuaji wa magari Vs Wajuaji wa story za vijiweni...

Me binafsi niliambiwa na watu na nikasoma ktk mitandao kwamba Subaru zinakula wese, hazitengenezeki, ni mbovu, spare gharama n.k...
Nikajiuliza ina maana hawa watengeneza magari huko ulaya na asia ni wapuuzi watengeneze magari yenye shida kias hiko..? Nikajiambia sisi WaTz ndio tuna ushamba na hatuna exposure na haya magari...
Nikasema acha ninunue Subaru nione itakuaje, by that time ujuzi wangu kuhusu magari nilikua najua kuendesha, kubadirisha tairi na betri na kuosha gari 😅 hadi leo ni 5yrs Subaru ipo haijawahi kunisumbua. Watu walikua wananihesabia mwezi miezi mwaka hadi wamechoka, na wengine wengi wameamua kununua Subbie kwasabab yangu baada ya kuona kama hadi huyu ng'ombe kamilik Subbie basi na sisi tunaweza...
Mimi hadi leo I know nothing about spare za magari kwasabab nazingatia service/check-up kwa muda muafaka, ninachojua ni aina za oil ambazo ni recommended kwa Subbie... 😂😅 Sasa unakuta mtu anamiliki IST lakini anajua kila aina ya spare, kwanini..? Kwasabab hafanyi service hadi gari iharibike, kwa mtindo huo utaacha kujua akina fundi maiko wanapatikana wapi?😅
Halafu unanunua gari mbovu kwa Mtanzania mwenzako unakuja kumsingizia Mzungu...
WATANZANIA HATUJUI LOLOTE KUHUSU MAGARI, HATUNA EXPOSURE NA HATUTAKI KUJIFUNZA NA KUFUATA MAELEKEZO, NDIO MAANA KILAKITU TUNAONA HAKIWEZEKANI...
 
Youtube inapelekesha wabongo wengi sana kuamini mambo sivyo. Mtu akiona clip moja mbili imetoka kwa kilaza mmoja huko0 USA anaona ni kweli. Hakuna sehemu yenye upotoshaji kama social media kama hujui kuchambua na kufanya research ya kina.
Kwamba wewe unaweza kubishana na Scott kilmer sio? Hakika zamani ilikua mtu anafunua chupi anakutana na tako Ila kwa sasa mtu anafunua tako anakutana na chupi(Bikini)
 
Ground clearance yake haikusumbui?
We jamaa ukiona sedan unaiona kama chapati sio? Kwamba inatambaa?

Sema niwe mkweli, natoboaga sana flexible pipes za exhaust kwenye barabara mbovu. Nimekaa Dom mwezi barabara nzuri sijaigusa, nimefika tu Dar in two weeks jana nimeingia mahali nikaskia imegota. Muda si mrefu nikapata matokeo, inavuja exhaust. Kwenye underbody ya Fuga flex pipe ndio iko most exposed.

Sedan zina hasara zake na raha zake.
 
Ni self satisfaction it doesn't mean to make others feel inferior ni kama mtu mwingine anavyopenda kujenga nyumba kali hainifanyi mimi naependa kupanga kufeel inferor.
Bongo haiwezekani kutokana na miundombinu ,unapita asubuhi freshi unarudi jioni unakuta Kuna tuta tena la gogo la mnazi ukiuliza oooh Kuna mtoto alisukumwa na pikipiki sasa self satisfaction ni ferali utaibeba
 
German cars are known for being unreliable worldwide, wabishi can Google that for themselves. Kununua BMW bongo afu ya zamani ni tatizo la kujitakia. Huo ni mwanzo tu utaliuguza Hadi uchoke
 
Back
Top Bottom