[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah afu iweje lolNimekumbuka rafiki yangu nae,, jamaa yake akikosea na akiulizwa basi anaanza kulia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na hapo hapo ataumwa... Yaan kilio na ugonjwa juu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah afu iweje lol
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Mumeo ukute anajutaNdyo nampa kila kitu na mapenz pia
MuirakMmeo ni kabila gani?
MuirakUkinambia kabila la Mmeo ndio nitakueleza aidha ujiandae na kilema, furaha hiyohiyo uliyonayo, kifo au vyote kwa pamoja yaani Kilema na Kifo.