Athman Profesa
Member
- Sep 4, 2017
- 43
- 42
Mim nikijana nIna 26. Kuna dada nIlimpata chuo ananipenda sana kanizalia katoto kana mwaka 1.5 sasa. Mahusiano yetu yana miaka mi3. Na nimda sana ananipigia kelele kuhusu ndoa.
Nami ninamthamini sana kwakuwa anamapenzi yakweli kwangu. Tatizo mimi ninatamaa sana ninawatamani sana wadada wengine wananivutia zaidi kuliko niliyenae. Kwa akili yangu ndogo ninaona nikimuoa huyu nikama ninajifunga
Kuna siku nilimgusia kuhusu nature ya wanaume kuwa na tamaa akanambia "hata ukishanioa ningependa usichepuke lakini ukishindwa kabisa basi tumia condom na uwe makini usije ukapewa limbwata ukatelekeza familia" akili yangu ndogo inanambia huyu dada sio wa kumwacha lakini akili yangu ya kishetani inanambia ingawa kaniruhusu lakini nikimuoa huku hanivutii sana wakati nikipata mchepuko atanibana sitaweza kuinjoy nae nyumbani kwangu.
Kwasababu wanawake wataokubali kuliwa juujuu tu wengi ni malaya tu lakini wale wanawake wazuri waheshima nilazima atataka kuwa huru na mimi na mpaka kuwa huru na ninapoishi ambapo itashindikana kwahiyo ninaona nikiwa nae huyu sitokuwa huru na mahusiano na ninao wapenda kisex.
Jamani nisaidieni nachanganyikiwa.
Nami ninamthamini sana kwakuwa anamapenzi yakweli kwangu. Tatizo mimi ninatamaa sana ninawatamani sana wadada wengine wananivutia zaidi kuliko niliyenae. Kwa akili yangu ndogo ninaona nikimuoa huyu nikama ninajifunga
Kuna siku nilimgusia kuhusu nature ya wanaume kuwa na tamaa akanambia "hata ukishanioa ningependa usichepuke lakini ukishindwa kabisa basi tumia condom na uwe makini usije ukapewa limbwata ukatelekeza familia" akili yangu ndogo inanambia huyu dada sio wa kumwacha lakini akili yangu ya kishetani inanambia ingawa kaniruhusu lakini nikimuoa huku hanivutii sana wakati nikipata mchepuko atanibana sitaweza kuinjoy nae nyumbani kwangu.
Kwasababu wanawake wataokubali kuliwa juujuu tu wengi ni malaya tu lakini wale wanawake wazuri waheshima nilazima atataka kuwa huru na mimi na mpaka kuwa huru na ninapoishi ambapo itashindikana kwahiyo ninaona nikiwa nae huyu sitokuwa huru na mahusiano na ninao wapenda kisex.
Jamani nisaidieni nachanganyikiwa.