Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
Sio mpenzi wa mihogo.Ya mihogo au mihogo mdada?
Nimekula chapati, nyama iliyopikwa dry na viazi na chai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mpenzi wa mihogo.Ya mihogo au mihogo mdada?
Tatizo linaanzia hapa. Rekebisha hili kwanza.akili yangu ndogo
Jaman nisaidien nachanganyikiwa.
Poleni watazYaani wewe una elimu ya chuo afu unashindwa kujipambanua mwenyewe?Buree kabisa,
Safi kwahiyo unatoa upepo tu hapo😂😂Sio mpenzi wa mihogo.
Nimekula chapati, nyama iliyopikwa dry na viazi na chai.
🤣🤣🤣🤣Safi kwahiyo unatoa upepo tu hapo😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahaha 26yrs? Robo karne na chenchi? All the bestMim nikijana nna 26. Kuna dada nlimpata chuo ananipenda saana kanizalia katoto kana mwaka 1.5 sasa. Mahusiano yetu yana miaka mi3. Na nimda sana ananipigia kelele kuhus ndoa. Nami nnamthamin sana kwakuwa anamapenz yakweli kwangu. Tatizo mim ninatamaa sana ninawataman sana wadada wengine wananivutia zaid kuliko niliyonae. Kwa akili yangu ndogo nnaona nikimuoa huyu nikama nnajifunga. Kuna siku nilimgusia kuhus nature ya wanaume kuwa na tamaa akanambia "hata ukishanioa ningependa usichepuke lakin ukishindwa kabsa bas tumia condom na uwe makin usije ukapewa limbwata ukatelekeza familia" akili yang ndogo inanambia huyu dada sio wa kumwacha lakin akili yang ya kishetan inanambia ingawa kaniruhus lakin nikimuoa huku hanivutii sana wakat nikipata mchepuko atanibana sitaweza kuinjoy nae nyumban kwangu. Kwasabab wanawake wataokubali kuliwa juujuu tu wengi ni malaya tu lakin wale wanawake wazur waheshima nilazma atataka kuwa huru na mim na mpaka kuwa huru na nnapoishi ambapo itashndkana kwahyo nnaona nikiwa nae huyu sitokuwa huru na mahusiano na nnao wapenda kisex.
Jaman nisaidien nachanganyikiwa.
😂😂😂😂Nimekuja mbio nikajua labda umenasa chini ya fuso lenye mchanga, au upo ICU umekosa mtungi wa oksijen, kumbe mambo ya utopolo
Eeehh...! Kumbe nacho ni chuo..Nasoma huku nacheka.. sema huenda kasoma VETA mkuu..[emoji23]
Mim nikijana nna 26. Kuna dada nlimpata chuo ananipenda saana kanizalia katoto kana mwaka 1.5 sasa. Mahusiano yetu yana miaka mi3. Na nimda sana ananipigia kelele kuhus ndoa. Nami nnamthamin sana kwakuwa anamapenz yakweli kwangu. Tatizo mim ninatamaa sana ninawataman sana wadada wengine wananivutia zaid kuliko niliyonae. Kwa akili yangu ndogo nnaona nikimuoa huyu nikama nnajifunga. Kuna siku nilimgusia kuhus nature ya wanaume kuwa na tamaa akanambia "hata ukishanioa ningependa usichepuke lakin ukishindwa kabsa bas tumia condom na uwe makin usije ukapewa limbwata ukatelekeza familia" akili yang ndogo inanambia huyu dada sio wa kumwacha lakin akili yang ya kishetan inanambia ingawa kaniruhus lakin nikimuoa huku hanivutii sana wakat nikipata mchepuko atanibana sitaweza kuinjoy nae nyumban kwangu. Kwasabab wanawake wataokubali kuliwa juujuu tu wengi ni malaya tu lakin wale wanawake wazur waheshima nilazma atataka kuwa huru na mim na mpaka kuwa huru na nnapoishi ambapo itashndkana kwahyo nnaona nikiwa nae huyu sitokuwa huru na mahusiano na nnao wapenda kisex.
Jaman nisaidien nachanganyikiwa.
hahahahaha kmmmmmmmkNimekuja mbio nikajua labda umenasa chini ya fuso lenye mchanga, au upo ICU umekosa mtungi wa oksijen, kumbe mambo ya utopolo