Nashindwa kumuoa mzazi mwenzangu, bado ninatamani wanawake wengine

Chuo gani huwezi hata kuandika. Bora ulivyojisemea mwenyewe akili yako ndogo kweli.
 
Unataka usaidiwe nn? Au unataka tukupe dawa ya kuacha uzinzi, nakushauri tulia na mke wako kumbuka mkataa pema pabaya panamwita.
 
Koma wee. Huwezi kutumia akili yako ndogo kusema eti wanaume wote wana tamaa. Shika adabu na adabu ikushike. Unahitaji kupepewa ili akili ndogo na tamaa vikutoke uache ujinga wa kuona usawa wa pua. Utachoma wangapi mwanangu. Dawa ya tamaa ni kuridhika na kutumia akili kuwa hata ukipewa wote huwawezi mwanangu mwenye akili ndogo na tamaa.
 
Siyo wewe tu, asilimia kubwa ndo kinachowatesa vijana wengi wa kileo.TAMAA,KUTOKURIDHIKA ...
 
Mwanamke akikwambia hayo maneno eti hata ikitokea utumie kondom usione ni mwema sana yeye ndo anatumia sasa na wanamkulanga
 
Sasa akili huna unahangaika nini na wanawake?
 
Jipe muda...

Dunia itakufundisha mda sio mrefu..

Kaa tafakari
 
Hiyo picha imeharibu uhalisia wa simulizi yote
 
Huyu dogo ana tamaa pengine anaendelea kumla huyo mzazi mwenzie.

Awache zinaa haraka,zinaa inatamanisha kadri unapozidi kuifanya aiseee
 
Endelea kuchanganyikiwa. Tunasubiri uzi mwingine Ova
 
Hawa jamaa wanawekaga picha zao harisi kwenye Avatar wanakuwaga na nyuzi za kitoto sana.
Hahaa yani wanakua ni wao ndo ujue hawana mawazo mtambuka. Watu tunaweka picha ambazo ki uhalisia zinabeba kitu fulani kutoka kwa muhusika na muwekaji picha. So kujiweka ww orijino it seems hata kifikra hajapanuka
 
Mzee unapenda mizigo eeh...wee bwana kama unajijua kuwa una tamaa usioe kabisa tulia tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…