Nashindwa kumwoa kwa sababu ya mtoto

Nashindwa kumwoa kwa sababu ya mtoto

oya acha umbwiga wewe..demu wajanja washakamua sana mpaka wametia mimba halafu wewe unataka ubebe zigo?mademu mbona kibwena tu siku hizi,yanini ujipe pressure na demu aliyekwishazalishwa?tafuta kigoli utoe golori mwenyewe,utachekwa babu
 
humpendi tu dada wa watu!
Ila kumbuka mkataa pema pabaya panamuita!
 
humpendi tu dada wa watu!
Ila kumbuka mkataa pema pabaya panamuita!

Umeona eeeh! Ngoja akalivae likurumbembe linalouza mbulunji kisomi na kuchoropoa mimba kama anakojoa ndio atajua alichochagua,ukichagua nazi saaaaaana mwisho hupata.............!
 
mi naoolewa na mtu mwengine na tayari na mtoto wangu fuata ushauri wa huyu mwenzio! Karibu kwenye harusi huku Bukoba mwezi February bila ya kusahau ka mchango lol! A baby is not an issue though it is to you, follow your heart you like her take her anaweza kuwa mke bora kuliko hata wengine unaohisi hawana watoto! think and rethink my friend... All the best in decision
 
nahisi hukusoma post na kuielewa na kuuelewa uhusiano wao ulivyo! Unajuaje hao ambao eti hawajazaa hawakuwahi kuwa na mimba? Na ni wangapi wameoa hao unaowaita 'vigoli' na wako wapi kama si mingumi ndani na kila mtu na time zake lakini wanatoka nyumba moja?! Nafahamu watu wananegative attitude towards mabinti wenye watoto lakini si kama ni wabaya wa tabia its just kuwa walikutana na Mr. wrong hapo awali au issue zingine ambazo hakuona umuhimu wa kuendelea nao... Anyway! Hivi na sie wanawake tukianza kuwachambua/kuwakataa wanaume wenye watoto mtakimbilia wapi? acha utoto na kujiona malaika
 
Kama alikuwa wazi na hakungoja ugundue mwenyewe, she can be the best wife. Kumbuka pia, waweza kuoa binti unayedhani hana mtoto na ukishamwoa na kugundua ana mtoto baada ya ndoa, hiyo itakuwa ndoa chungu sana.
Uamuzi ni wako.
 
Mimi ni kijana wa miaka 27. katika michakato ya kimaisha nilijiwekea utaratibu kua sitaoa mwanamke ambae ana mtoto kwa sabaabu zangu mwenyewe tu (sio logic sana).
Mwaka 2009 nilikutana na msichana mmoja ambae nilimpenda sana lakini huyo msichana alizaa mtoto wa kiume tangu 2004 na mimi nililifahamu hilo. Kwa wakati huo sikua tayari kuoa na sikutaka kufanya maamuzi ya kumchagua mwanamke wa kuishi nae ila mwili una mahitaji na matamanio yake, hayo matamanio yakanisukuma kutengeneza ukaribu na huyo binti nayeye akaingia kwenye line. siku ilipofika nikamwita nikamwambia kua nampenda ila habari ya ndoa sio warrant, yule binti alikubali kwa shingo upande tukaingia kwenye mahusiano japo changamoto zimekuwepo lakini tumeweza kumaintain.
Sasa muda wangu wa kuoa umefika na bado I can see the lady is beutiful, ni msichana anaenijali na kunisupport lakini ninashindwa kumwoa eti kwa sababu ya mtoto wake. Kwa kweli tatizo kubwa ninaloliona mimi ni hilo la mtoto. Yeye mwenyewe alishaniambia kua hana kipingamizi kuhusu kuoa kwangu endapo nitaoa mwanamke mwingine yuko tayari au km nikimtaka yeye mwenyewe yuko tayari ila anasema km nikioa mwanamke mwingine bado uhusiano wetu utaendelea japo kimya kimya
Sasa ndugu zangu nimeleta mada hii kwenu mnisaidie kwa kunipa ushauri ni jambo lipi la kufanya.
Tafadhali ushauri wako ni muhimu

Asante

Kwa hiyo statement,kama kakwambia kweli.
Basi hata ukimuoa atatoka nje na njemba nyingine kimya kimya,...
Haonekani kuwa na chembe ya uaminifu,....(no offence)
 
oya acha umbwiga wewe..demu wajanja washakamua sana mpaka wametia mimba halafu wewe unataka ubebe zigo?mademu mbona kibwena tu siku hizi,yanini ujipe pressure na demu aliyekwishazalishwa?tafuta kigoli utoe golori mwenyewe,utachekwa babu

Duh,that's too harsh.
 
Mimi ni kijana wa miaka 27. katika michakato ya kimaisha nilijiwekea utaratibu kua sitaoa mwanamke ambae ana mtoto kwa sabaabu zangu mwenyewe tu (sio logic sana).
Mwaka 2009 nilikutana na msichana mmoja ambae nilimpenda sana lakini huyo msichana alizaa mtoto wa kiume tangu 2004 na mimi nililifahamu hilo. Kwa wakati huo sikua tayari kuoa na sikutaka kufanya maamuzi ya kumchagua mwanamke wa kuishi nae ila mwili una mahitaji na matamanio yake, hayo matamanio yakanisukuma kutengeneza ukaribu na huyo binti nayeye akaingia kwenye line. siku ilipofika nikamwita nikamwambia kua nampenda ila habari ya ndoa sio warrant, yule binti alikubali kwa shingo upande tukaingia kwenye mahusiano japo changamoto zimekuwepo lakini tumeweza kumaintain.
Sasa muda wangu wa kuoa umefika na bado I can see the lady is beutiful, ni msichana anaenijali na kunisupport lakini ninashindwa kumwoa eti kwa sababu ya mtoto wake. Kwa kweli tatizo kubwa ninaloliona mimi ni hilo la mtoto. Yeye mwenyewe alishaniambia kua hana kipingamizi kuhusu kuoa kwangu endapo nitaoa mwanamke mwingine yuko tayari au km nikimtaka yeye mwenyewe yuko tayari ila anasema km nikioa mwanamke mwingine bado uhusiano wetu utaendelea japo kimya kimya
Sasa ndugu zangu nimeleta mada hii kwenu mnisaidie kwa kunipa ushauri ni jambo lipi la kufanya.
Tafadhali ushauri wako ni muhimu

Asante

Asije kuwa mama wa mtoto wangu,yupo wapi vile?
 
Mbishi sana wewe,....
Yanakuwa ligi pale kila mtu anapotaka kushinda arguments.
Kwahiyo niwe naitikia tu kila kitu hata nisichokubaliana nacho? Ila angalau mmejipatia tafsiri inayowaridhisha. . .
 
Duh,that's too harsh.

mkuu lets face it,tusioneane haya wala huruma.imagine demu anam promise jamaa kumgawia uroda hata akioa kwingine.Kuna kitu potential hapo?
Sasa usikute hata jamaa aliyetia mimba bado anakamua.
 
ila ki ukweli kuoa mwanamke aliyezalishwa na mwanaume mwingine, yataka moyo hasa! Bora hata aliyetoa mimba ujanani man hakuna ushaidi lakini wa mtoto, hata mimi hapana!
 
Ndoa sio jambo la kujaribu, usifanye maamuzi kwa shinikizo lakini pia usikilize Moyo wako unakuambia nini, Moyo huwa hauwezi kukudanganya, kama unaona mtoto ni tatizo vunjeni uhusiano acheni kupotezea muda na hakuna kusema uhusiano utaendelea. Lakini kama unaona unaweza kuibadili mind yako ikakubaliana na suala la mtoto, be a men and decide one thing for good.
 
Back
Top Bottom