Nashindwa kupenda mtu mwingine

Nashindwa kupenda mtu mwingine

Sikia wewe acha umama utapteza muda,utapata magonjwa ya moyo,utapatwa na sonona kwa kuendelea kumuwaza uyo kiumbe kesha kuambia basi ni basi fullstop,

Ukiendelea kumlilia wakati umemkosea wewe ni kumpa sababu ya yeye kutokutilia maanani tena, tafuta wanawake wengine wapo wengi tu iyo hali itapona automatic,

Kama unampenda kweli siku ya birthday yake mtafutie zawadi nzuri mpe ata kupitia mtu ake wa karibu,then usimtafute iyo zawadi iwe na neno moja au mawili moja pongezi, ingine sorry baahs alafu uendelee na mambo yako
 
Nilimpenda na nampenda sana huyu mwanamke, ni mwaka na miezi 4 toka kaniacha. Nilimkosea mimi akaniacha.
Nashindwa kumpenda mtu mwingine kila ninapokaa siachi kumuwaza yeye, kila kitu nachofanya kinanikumbusha uwepo wake ninyeye aliyekua mwanamke wangu wa kwanza maishani mwangu.

Nisaidieni wakuu Nifanyeje nimrejeshe, Nampenda sana tatizo kaniblock kila mahali, kila namba nikiitumia kumpigia ananiblock hataki hata kuongea nami[emoji22]
Yeye ndio furaha yangu sidhani kama naweza kumpata mwingine ninayempenda kama nimpendavyo huyu mwanamke.

Bora nibaki hivi hivi kuliko kutafuta mwanamke mwingine tofaauti yake. Nataka kukaa na kumbukumbu zake maishani mwangu siku zote.

Naombeni ushauri wakuu Nifanyeje kumpata tena mpenzi wangu huyu?? Kila nikimpigia ananiblock. Nifanyeje mimi??

I'm in so much pain wapendwa [emoji22]
Kuangukia kwenye matope ni Jambo lingine na kuendelea kuogelea kwenye matope ni Jambo lingine. Ungeanguka ukashindwa kutoka tungekupa msaada Sasa inavyo onesha ulivyo angukia umeanza na kuogelea huku ukifurahia Basi sisi hatuna neno ogelea ukichoka utatoka mwenyewe
 
Nilimpenda na nampenda sana huyu mwanamke, ni mwaka na miezi 4 toka kaniacha. Nilimkosea mimi akaniacha.
Nashindwa kumpenda mtu mwingine kila ninapokaa siachi kumuwaza yeye, kila kitu nachofanya kinanikumbusha uwepo wake ninyeye aliyekua mwanamke wangu wa kwanza maishani mwangu.

Nisaidieni wakuu Nifanyeje nimrejeshe, Nampenda sana tatizo kaniblock kila mahali, kila namba nikiitumia kumpigia ananiblock hataki hata kuongea nami[emoji22]
Yeye ndio furaha yangu sidhani kama naweza kumpata mwingine ninayempenda kama nimpendavyo huyu mwanamke.

Bora nibaki hivi hivi kuliko kutafuta mwanamke mwingine tofaauti yake. Nataka kukaa na kumbukumbu zake maishani mwangu siku zote.

Naombeni ushauri wakuu Nifanyeje kumpata tena mpenzi wangu huyu?? Kila nikimpigia ananiblock. Nifanyeje mimi??

I'm in so much pain wapendwa [emoji22]
Anaitwa nani huyo mwanamke?
 
Sikia wewe acha umama utapteza muda,utapata magonjwa ya moyo,utapatwa na sonona kwa kuendelea kumuwaza uyo kiumbe kesha kuambia basi ni basi fullstop,

Ukiendelea kumlilia wakati umemkosea wewe ni kumpa sababu ya yeye kutokutilia maanani tena, tafuta wanawake wengine wapo wengi tu iyo hali itapona automatic,

Kama unampenda kweli siku ya birthday yake mtafutie zawadi nzuri mpe ata kupitia mtu ake wa karibu,then usimtafute iyo zawadi iwe na neno moja au mawili moja pongezi, ingine sorry baahs alafu uendelee na mambo yako
Najua wapo wanawake wengi, shida iko hapo kumtafuta mwingine. Kila mwanamke nayemuona naona hamfikii hata robo ya sifa alizonazo mkuu. Halafu kuna feeling/bond fulani naipata kwakwe tu
 
Nilimpenda na nampenda sana huyu mwanamke, ni mwaka na miezi 4 toka kaniacha. Nilimkosea mimi akaniacha.
Nashindwa kumpenda mtu mwingine kila ninapokaa siachi kumuwaza yeye, kila kitu nachofanya kinanikumbusha uwepo wake ninyeye aliyekua mwanamke wangu wa kwanza maishani mwangu.

Nisaidieni wakuu Nifanyeje nimrejeshe, Nampenda sana tatizo kaniblock kila mahali, kila namba nikiitumia kumpigia ananiblock hataki hata kuongea nami[emoji22]
Yeye ndio furaha yangu sidhani kama naweza kumpata mwingine ninayempenda kama nimpendavyo huyu mwanamke.

Bora nibaki hivi hivi kuliko kutafuta mwanamke mwingine tofaauti yake. Nataka kukaa na kumbukumbu zake maishani mwangu siku zote.

Naombeni ushauri wakuu Nifanyeje kumpata tena mpenzi wangu huyu?? Kila nikimpigia ananiblock. Nifanyeje mimi??

I'm in so much pain wapendwa [emoji22]
Jipende mwenyewe ndugu.
Sijui unaelewa au nilete gazeti la jinsi ya kujipenda mwenyewe?
 
Nilimpenda na nampenda sana huyu mwanamke, ni mwaka na miezi 4 toka kaniacha. Nilimkosea mimi akaniacha.
Nashindwa kumpenda mtu mwingine kila ninapokaa siachi kumuwaza yeye, kila kitu nachofanya kinanikumbusha uwepo wake ninyeye aliyekua mwanamke wangu wa kwanza maishani mwangu.

Nisaidieni wakuu Nifanyeje nimrejeshe, Nampenda sana tatizo kaniblock kila mahali, kila namba nikiitumia kumpigia ananiblock hataki hata kuongea nami[emoji22]
Yeye ndio furaha yangu sidhani kama naweza kumpata mwingine ninayempenda kama nimpendavyo huyu mwanamke.

Bora nibaki hivi hivi kuliko kutafuta mwanamke mwingine tofaauti yake. Nataka kukaa na kumbukumbu zake maishani mwangu siku zote.

Naombeni ushauri wakuu Nifanyeje kumpata tena mpenzi wangu huyu?? Kila nikimpigia ananiblock. Nifanyeje mimi??

I'm in so much pain wapendwa [emoji22]
Pamabana utafute hela zikusaidie kwenye maisha yako. Achana na huyo Mwanamke atakupotezea Dira
 
Nilimpenda na nampenda sana huyu mwanamke, ni mwaka na miezi 4 toka kaniacha. Nilimkosea mimi akaniacha.
Nashindwa kumpenda mtu mwingine kila ninapokaa siachi kumuwaza yeye, kila kitu nachofanya kinanikumbusha uwepo wake ninyeye aliyekua mwanamke wangu wa kwanza maishani mwangu.

Nisaidieni wakuu Nifanyeje nimrejeshe, Nampenda sana tatizo kaniblock kila mahali, kila namba nikiitumia kumpigia ananiblock hataki hata kuongea nami[emoji22]
Yeye ndio furaha yangu sidhani kama naweza kumpata mwingine ninayempenda kama nimpendavyo huyu mwanamke.

Bora nibaki hivi hivi kuliko kutafuta mwanamke mwingine tofaauti yake. Nataka kukaa na kumbukumbu zake maishani mwangu siku zote.

Naombeni ushauri wakuu Nifanyeje kumpata tena mpenzi wangu huyu?? Kila nikimpigia ananiblock. Nifanyeje mimi??

I'm in so much pain wapendwa [emoji22]
Utampata bila shida mkuu njoo inbox nitajie majina yake tu umemmaliza
 
Back
Top Bottom