KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
🤣🤣 Natamani nikutukane lakini naogopa ban! Lakini sikuachi hivihivi nyungulilo wewe😂 umeyajuaje haya..?Hutu twa hivi tunakujaga kuwa tudinyaji balaa.
Ngoja kapone maumivu ya moyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣 Natamani nikutukane lakini naogopa ban! Lakini sikuachi hivihivi nyungulilo wewe😂 umeyajuaje haya..?Hutu twa hivi tunakujaga kuwa tudinyaji balaa.
Ngoja kapone maumivu ya moyo.
ShukranAcha ufala
Kuangukia kwenye matope ni Jambo lingine na kuendelea kuogelea kwenye matope ni Jambo lingine. Ungeanguka ukashindwa kutoka tungekupa msaada Sasa inavyo onesha ulivyo angukia umeanza na kuogelea huku ukifurahia Basi sisi hatuna neno ogelea ukichoka utatoka mwenyeweNilimpenda na nampenda sana huyu mwanamke, ni mwaka na miezi 4 toka kaniacha. Nilimkosea mimi akaniacha.
Nashindwa kumpenda mtu mwingine kila ninapokaa siachi kumuwaza yeye, kila kitu nachofanya kinanikumbusha uwepo wake ninyeye aliyekua mwanamke wangu wa kwanza maishani mwangu.
Nisaidieni wakuu Nifanyeje nimrejeshe, Nampenda sana tatizo kaniblock kila mahali, kila namba nikiitumia kumpigia ananiblock hataki hata kuongea nami[emoji22]
Yeye ndio furaha yangu sidhani kama naweza kumpata mwingine ninayempenda kama nimpendavyo huyu mwanamke.
Bora nibaki hivi hivi kuliko kutafuta mwanamke mwingine tofaauti yake. Nataka kukaa na kumbukumbu zake maishani mwangu siku zote.
Naombeni ushauri wakuu Nifanyeje kumpata tena mpenzi wangu huyu?? Kila nikimpigia ananiblock. Nifanyeje mimi??
I'm in so much pain wapendwa [emoji22]
Anaitwa nani huyo mwanamke?Nilimpenda na nampenda sana huyu mwanamke, ni mwaka na miezi 4 toka kaniacha. Nilimkosea mimi akaniacha.
Nashindwa kumpenda mtu mwingine kila ninapokaa siachi kumuwaza yeye, kila kitu nachofanya kinanikumbusha uwepo wake ninyeye aliyekua mwanamke wangu wa kwanza maishani mwangu.
Nisaidieni wakuu Nifanyeje nimrejeshe, Nampenda sana tatizo kaniblock kila mahali, kila namba nikiitumia kumpigia ananiblock hataki hata kuongea nami[emoji22]
Yeye ndio furaha yangu sidhani kama naweza kumpata mwingine ninayempenda kama nimpendavyo huyu mwanamke.
Bora nibaki hivi hivi kuliko kutafuta mwanamke mwingine tofaauti yake. Nataka kukaa na kumbukumbu zake maishani mwangu siku zote.
Naombeni ushauri wakuu Nifanyeje kumpata tena mpenzi wangu huyu?? Kila nikimpigia ananiblock. Nifanyeje mimi??
I'm in so much pain wapendwa [emoji22]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hutu twa hivi tunakujaga kuwa tudinyaji balaa.
Ngoja kapone maumivu ya moyo.
Nikutajie jina lake??Anaitwa nani huyo mwanamke?
Hebu muulizeni maswali mepesi swali Kama hili anaweza kuzira hata kula!..[emoji23]
Najua wapo wanawake wengi, shida iko hapo kumtafuta mwingine. Kila mwanamke nayemuona naona hamfikii hata robo ya sifa alizonazo mkuu. Halafu kuna feeling/bond fulani naipata kwakwe tuSikia wewe acha umama utapteza muda,utapata magonjwa ya moyo,utapatwa na sonona kwa kuendelea kumuwaza uyo kiumbe kesha kuambia basi ni basi fullstop,
Ukiendelea kumlilia wakati umemkosea wewe ni kumpa sababu ya yeye kutokutilia maanani tena, tafuta wanawake wengine wapo wengi tu iyo hali itapona automatic,
Kama unampenda kweli siku ya birthday yake mtafutie zawadi nzuri mpe ata kupitia mtu ake wa karibu,then usimtafute iyo zawadi iwe na neno moja au mawili moja pongezi, ingine sorry baahs alafu uendelee na mambo yako
Acha fujoSi ndio sasa jaman
Vitu vingine ni kujiendekeza tu
Mkuu kama unataka msaada kweli kweli kabisa mtafute Evelyn Salt au hata Miss Natafuta
Hopefully wanaweza kukushauri jambo maana wao wana busara sana kuliko wengi humu
Jipende mwenyewe ndugu.Nilimpenda na nampenda sana huyu mwanamke, ni mwaka na miezi 4 toka kaniacha. Nilimkosea mimi akaniacha.
Nashindwa kumpenda mtu mwingine kila ninapokaa siachi kumuwaza yeye, kila kitu nachofanya kinanikumbusha uwepo wake ninyeye aliyekua mwanamke wangu wa kwanza maishani mwangu.
Nisaidieni wakuu Nifanyeje nimrejeshe, Nampenda sana tatizo kaniblock kila mahali, kila namba nikiitumia kumpigia ananiblock hataki hata kuongea nami[emoji22]
Yeye ndio furaha yangu sidhani kama naweza kumpata mwingine ninayempenda kama nimpendavyo huyu mwanamke.
Bora nibaki hivi hivi kuliko kutafuta mwanamke mwingine tofaauti yake. Nataka kukaa na kumbukumbu zake maishani mwangu siku zote.
Naombeni ushauri wakuu Nifanyeje kumpata tena mpenzi wangu huyu?? Kila nikimpigia ananiblock. Nifanyeje mimi??
I'm in so much pain wapendwa [emoji22]
LolMkuu kama unataka msaada kweli kweli kabisa mtafute Evelyn Salt au hata Miss Natafuta
Hopefully wanaweza kukushauri jambo maana wao wana busara sana kuliko wengi humu
Pamabana utafute hela zikusaidie kwenye maisha yako. Achana na huyo Mwanamke atakupotezea DiraNilimpenda na nampenda sana huyu mwanamke, ni mwaka na miezi 4 toka kaniacha. Nilimkosea mimi akaniacha.
Nashindwa kumpenda mtu mwingine kila ninapokaa siachi kumuwaza yeye, kila kitu nachofanya kinanikumbusha uwepo wake ninyeye aliyekua mwanamke wangu wa kwanza maishani mwangu.
Nisaidieni wakuu Nifanyeje nimrejeshe, Nampenda sana tatizo kaniblock kila mahali, kila namba nikiitumia kumpigia ananiblock hataki hata kuongea nami[emoji22]
Yeye ndio furaha yangu sidhani kama naweza kumpata mwingine ninayempenda kama nimpendavyo huyu mwanamke.
Bora nibaki hivi hivi kuliko kutafuta mwanamke mwingine tofaauti yake. Nataka kukaa na kumbukumbu zake maishani mwangu siku zote.
Naombeni ushauri wakuu Nifanyeje kumpata tena mpenzi wangu huyu?? Kila nikimpigia ananiblock. Nifanyeje mimi??
I'm in so much pain wapendwa [emoji22]
Hutu twa hivi tunakujaga kuwa tudinyaji balaa.
Ngoja kapone maumivu ya moyo.
Are you you??Kwanini ulimuumiza?? Mnachezeaga nafasi sanaaa
Utampata bila shida mkuu njoo inbox nitajie majina yake tu umemmalizaNilimpenda na nampenda sana huyu mwanamke, ni mwaka na miezi 4 toka kaniacha. Nilimkosea mimi akaniacha.
Nashindwa kumpenda mtu mwingine kila ninapokaa siachi kumuwaza yeye, kila kitu nachofanya kinanikumbusha uwepo wake ninyeye aliyekua mwanamke wangu wa kwanza maishani mwangu.
Nisaidieni wakuu Nifanyeje nimrejeshe, Nampenda sana tatizo kaniblock kila mahali, kila namba nikiitumia kumpigia ananiblock hataki hata kuongea nami[emoji22]
Yeye ndio furaha yangu sidhani kama naweza kumpata mwingine ninayempenda kama nimpendavyo huyu mwanamke.
Bora nibaki hivi hivi kuliko kutafuta mwanamke mwingine tofaauti yake. Nataka kukaa na kumbukumbu zake maishani mwangu siku zote.
Naombeni ushauri wakuu Nifanyeje kumpata tena mpenzi wangu huyu?? Kila nikimpigia ananiblock. Nifanyeje mimi??
I'm in so much pain wapendwa [emoji22]