makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
We jiendekeze tu, utakufa kwa kihoro uwaachie familia yako maumivu, mwenzio anabaki duniani ananawiri tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787] mweh kazi ipoHutu twa hivi tunakujaga kuwa tudinyaji balaa.
Ngoja kapone maumivu ya moyo.
Don't judge a book by its cover bro.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hao ndio Wana busara !??
Aisee labda ka neno Busara now days Lina definition nyingine tofauti na ile tuliyoizoea
Hujambo????[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mpeni muongozo aache uzembe...Una uhakika na yeye anakuwaza hivo kama wew unavyomuwaza?
MchumbaKutafuta mtu kwa mwaka mzima na miezi minne na haoneshi ushirikiano maana yake hakutaki tena
Kwa sasa yupo anayependwa huko zaidi yako na ukiona amerudi kwako ujue amekosa namna
Move on
MchumbaOoh,typing error...
Asante [emoji120]
Ni kweli but maybe wanapo kuwa nje ya Jf wanakuwa na busara, lakini sio hapa Jf ,Don't judge a book by its cover bro.
Hahaahahahaha
Anyway umepotea sana humu bro
Imagine huo nao Ni ubinafsi pia , kutaka hisia zako tu ndio zipewe kipaumbele bila ya kujali kuwa mwenzio hisia zake hazipo kwako na ni haki yake pia kujisifia hivyo na kumpenda mtu mwingine tofauti na weweKwanza hujiamini..! Kwa nini unaogopa kuweka wazi ulichomkosea?
We unafikiri huo mwaka na miezi 4 bado yuko single?
Halafu nani kakwambia ukimpenda sana mtu lazima awe wako? Kama hakupendi au kuna anayempenda, kwa nini awe na wewe?
[emoji16][emoji16]We jiendekeze tu, utakufa kwa kihoro uwaachie familia yako maumivu, mwenzio anabaki duniani ananawiri tu.
Mpeni muongozo aache uzembe...
Hujambo????
Mambo yake muachieni mwenyewe...Tunakusubir wewe mzee wa miongozo
hakatajali umri wala size.[emoji3][emoji3][emoji3]hakuna sketi kataacha
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kama hupendwi hupendwi tu.kubali kuwa huwezi kuwa nae tena, jipe muda uupate utulivu kwanza ndani yako, halafu ndiyo utajua ikiwa maisha yako ni muhimu kuliko huyo chuma ulete.
Sent using Jamii Forums mobile app