Nashindwa kupenda mtu mwingine

Nashindwa kupenda mtu mwingine

Nilimpenda na nampenda sana huyu mwanamke, ni mwaka na miezi 4 toka kaniacha. Nilimkosea mimi akaniacha.
Nashindwa kumpenda mtu mwingine kila ninapokaa siachi kumuwaza yeye, kila kitu nachofanya kinanikumbusha uwepo wake ninyeye aliyekua mwanamke wangu wa kwanza maishani mwangu.

Nisaidieni wakuu Nifanyeje nimrejeshe, Nampenda sana tatizo kaniblock kila mahali, kila namba nikiitumia kumpigia ananiblock hataki hata kuongea nami[emoji22]
Yeye ndio furaha yangu sidhani kama naweza kumpata mwingine ninayempenda kama nimpendavyo huyu mwanamke.

Bora nibaki hivi hivi kuliko kutafuta mwanamke mwingine tofaauti yake. Nataka kukaa na kumbukumbu zake maishani mwangu siku zote.

Naombeni ushauri wakuu Nifanyeje kumpata tena mpenzi wangu huyu?? Kila nikimpigia ananiblock. Nifanyeje mimi??

I'm in so much pain wapendwa [emoji22]
Sema kwanza ulimfanya nn mtoto wa watu.....ndo tukupe njia za kurudiana nae

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Nimebreak na mpenzi wangu tuliependana Sana baad ya kuwa na distance kdgo nkaona Mambo hayaelewek hapigi cm had nmtafute mim inshort Mambo yakawa mengi, nkaona hap red light tayal nkakaa kando nlivyo mkaushia huwez amini alikaa wiki mbili ndo akanitafuta, nikatafuta pis nyingine maisha yakaendlea

kwani ukiwa unapiga simu wewe kila siku unakufa wakati mwingine unaachana na soulmate wako kijinga vitu vingine unaacha uende .. hata sisi wadada tunapimaga upendo tunapiga kimya week tuone kama kweli una nia ama mzugaji
maana siku hizi wahuni ndo wanajifanyaga wako romantic sana sms, calls kila saa kumbe wanakulia target
Ukimtafuta wewe kila siku hupungukiwi chochote
 
Bora nibaki hivi hivi kuliko kutafuta mwanamke mwingine tofaauti yake. Nataka kukaa na kumbukumbu zake maishani mwangu siku zote.

Naombeni ushauri wakuu Nifanyeje kumpata tena mpenzi wangu huyu?? Kila nikimpigia ananiblock. Nifanyeje mimi?
Mbona hizi sentensi zinakinzana?
ya kwanza umeshafanya maamuzi ya pili unaomba ushauriwe cha kuamua
 
Mwenyew nmepitia situation kama yako...sema tofaut wangu huwa hata tunaonana...nlijaribu kum please akakataa bac na mimi nkaamua kupiga kimya cha ajabu ss iv yeye ndo anatafuta namna ya kuwasiliana na mm kwa kutuma msg kama amekosea kutuma ila nmeshaelewa lengo lake kwa hyo namkazia tu wala sijubu...ushaur...unavyoendelea kumsumbua ndo unamuweka mbalii..we piga kimya hata mwaka kabxa...utaona na yy anaanza kukutafuta
 
Ni utoto tuu, napia huna majukumu mengi siku ya kikuandama utamsahau huyo X na utakutana na mwingine utaanzisha safari mpya yenye tumaini jipya br.
 
Ni utoto tuu, napia huna majukumu mengi siku ya kikuandama utamsahau huyo X na utakutana na mwingine utaanzisha safari mpya yenye tumaini jipya br.
 
kwani ukiwa unapiga simu wewe kila siku unakufa wakati mwingine unaachana na soulmate wako kijinga vitu vingine unaacha uende .. hata sisi wadada tunapimaga upendo tunapiga kimya week tuone kama kweli una nia ama mzugaji
maana siku hizi wahuni ndo wanajifanyaga wako romantic sana sms, calls kila saa kumbe wanakulia target
Ukimtafuta wewe kila siku hupungukiwi chochote
Hamn kitu Kam icho unapima nn wakat kweny mahusiano tumeshakuw na mazoea ya kutafutana kwa wakat wowot Kila unapojickia kuwacliana na mwenzio, bila kujal Kam kwa cku Kam amekutafuta au hajakutafuta, mmoja wpo akishaanza kukufanyia yupo busy iloni tatzo ndo chanzo Cha mengi hapa mapenzi co utumwa
 
Huo ndio uzuzu. Hakuna jambo ambalo linashindikana ondoa hiyo mentality kwenye kichwa chako. Kila mtu au asilimia kubwa ya watu wanakipitia Hiki ambacho unakipitia. Songa mbele usiendeshwe na hisia
 
Bora nibaki hivi hivi kuliko kutafuta mwanamke mwingine tofaauti yake. Nataka kukaa na kumbukumbu zake maishani mwangu siku zote.
 
Back
Top Bottom