Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Yeye ndio furaha yangu sidhani kama naweza kumpata mwingine ninayempenda kama nimpendavyo huyu mwanamke.
Wewe hebu acha ujinga...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye ndio furaha yangu sidhani kama naweza kumpata mwingine ninayempenda kama nimpendavyo huyu mwanamke.
Sema kwanza ulimfanya nn mtoto wa watu.....ndo tukupe njia za kurudiana naeNilimpenda na nampenda sana huyu mwanamke, ni mwaka na miezi 4 toka kaniacha. Nilimkosea mimi akaniacha.
Nashindwa kumpenda mtu mwingine kila ninapokaa siachi kumuwaza yeye, kila kitu nachofanya kinanikumbusha uwepo wake ninyeye aliyekua mwanamke wangu wa kwanza maishani mwangu.
Nisaidieni wakuu Nifanyeje nimrejeshe, Nampenda sana tatizo kaniblock kila mahali, kila namba nikiitumia kumpigia ananiblock hataki hata kuongea nami[emoji22]
Yeye ndio furaha yangu sidhani kama naweza kumpata mwingine ninayempenda kama nimpendavyo huyu mwanamke.
Bora nibaki hivi hivi kuliko kutafuta mwanamke mwingine tofaauti yake. Nataka kukaa na kumbukumbu zake maishani mwangu siku zote.
Naombeni ushauri wakuu Nifanyeje kumpata tena mpenzi wangu huyu?? Kila nikimpigia ananiblock. Nifanyeje mimi??
I'm in so much pain wapendwa [emoji22]
Hahahaha! Eti nataka nibaki na kumbukumbu zake daima 😂😂Hutu twa hivi tunakujaga kuwa tudinyaji balaa.
Ngoja kapone maumivu ya moyo.
Kanuni ni ile ile tu, toa kitu weka kitu kingine kikali zaidi😂😂😜financial services we uliwezaje hebu msaidie mwenzako fani yako hii..😂
Maskini wee washakaharibu kadada ka watu!!,ni wewe au huu ni mzimu.? Ama kweli mambo yamebadirika!Kanuni ni ile ile tu, toa kitu weka kitu kingine kikali zaidi😂😂😜
😂😂😂Maskini wee washakaharibu kadada ka watu!!,ni wewe au huu ni mzimu.? Ama kweli mambo yamebadirika!
Nimebreak na mpenzi wangu tuliependana Sana baad ya kuwa na distance kdgo nkaona Mambo hayaelewek hapigi cm had nmtafute mim inshort Mambo yakawa mengi, nkaona hap red light tayal nkakaa kando nlivyo mkaushia huwez amini alikaa wiki mbili ndo akanitafuta, nikatafuta pis nyingine maisha yakaendlea
Mbona hizi sentensi zinakinzana?Bora nibaki hivi hivi kuliko kutafuta mwanamke mwingine tofaauti yake. Nataka kukaa na kumbukumbu zake maishani mwangu siku zote.
Naombeni ushauri wakuu Nifanyeje kumpata tena mpenzi wangu huyu?? Kila nikimpigia ananiblock. Nifanyeje mimi?
Quentin Beck ......sina comment zaidi ya maneno hayo ya sister juu hapo.Kutafuta mtu kwa mwaka mzima na miezi minne na haoneshi ushirikiano maana yake hakutaki tena
Kwa sasa yupo anayependwa huko zaidi yako na ukiona amerudi kwako ujue amekosa namna
Move on
Hamn kitu Kam icho unapima nn wakat kweny mahusiano tumeshakuw na mazoea ya kutafutana kwa wakat wowot Kila unapojickia kuwacliana na mwenzio, bila kujal Kam kwa cku Kam amekutafuta au hajakutafuta, mmoja wpo akishaanza kukufanyia yupo busy iloni tatzo ndo chanzo Cha mengi hapa mapenzi co utumwakwani ukiwa unapiga simu wewe kila siku unakufa wakati mwingine unaachana na soulmate wako kijinga vitu vingine unaacha uende .. hata sisi wadada tunapimaga upendo tunapiga kimya week tuone kama kweli una nia ama mzugaji
maana siku hizi wahuni ndo wanajifanyaga wako romantic sana sms, calls kila saa kumbe wanakulia target
Ukimtafuta wewe kila siku hupungukiwi chochote
Halafu nilichogundua ukienda kuomba mkopo bank unapata ushauri front desk kwa wadada wazuri kama financial services ila siku ya kudai anakuja mtu kama mzabzabfinancial services we uliwezaje hebu msaidie mwenzako fani yako hii..[emoji23]
Hatari sana..😂Halafu nilichogundua ukienda kuomba mkopo bank unapata ushauri front desk kwa wadada wazuri kama financial services ila siku ya kudai anakuja mtu kama mzabzab
Ufala wa kiwango cha lami yaani... Watu wanaachwa na wazee wao sembuse hao paka mavi.Acha ufala