Mshauri sasa how to move onKutafuta mtu kwa mwaka mzima na miezi minne na haoneshi ushirikiano maana yake hakutaki tena
Kwa sasa yupo anayependwa huko zaidi yako na ukiona amerudi kwako ujue amekosa namna
Move on
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshauri sasa how to move onKutafuta mtu kwa mwaka mzima na miezi minne na haoneshi ushirikiano maana yake hakutaki tena
Kwa sasa yupo anayependwa huko zaidi yako na ukiona amerudi kwako ujue amekosa namna
Move on
Mtoso was in case!!!Hutu twa hivi tunakujaga kuwa tudinyaji balaa.
Ngoja kapone maumivu ya moyo.
OkHaina maana hiyo hata kidogo. Sema kwa vile watajwa ni jinsia ya KE wangeweza kumpa ushauri borabora
Na kuliwa kichuri tuWe jiendekeze tu, utakufa kwa kihoro uwaachie familia yako maumivu, mwenzio anabaki duniani ananawiri tu.
Hahahah umtafute siku kila siku ni Mungu huyo ama? Wanawake mna wazimu sometimes. Piga simu upigiwe sio unakalisha tu unategemea utafutwege tu!kwani ukiwa unapiga simu wewe kila siku unakufa wakati mwingine unaachana na soulmate wako kijinga vitu vingine unaacha uende .. hata sisi wadada tunapimaga upendo tunapiga kimya week tuone kama kweli una nia ama mzugaji
maana siku hizi wahuni ndo wanajifanyaga wako romantic sana sms, calls kila saa kumbe wanakulia target
Ukimtafuta wewe kila siku hupungukiwi chochote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] full kutembeza ndonga tyuuh, no love. UwiiiiihHutu twa hivi tunakujaga kuwa tudinyaji balaa.
Ngoja kapone maumivu ya moyo.
Dem chizi huyo mahusiano yakiwa sawa kuna balance ya mawasiliano. Hutakaa hata siku 1 uombe upigiwe ila simu zinapishana toka kwako na kwake bila shida.Hamn kitu Kam icho unapima nn wakat kweny mahusiano tumeshakuw na mazoea ya kutafutana kwa wakat wowot Kila unapojickia kuwacliana na mwenzio, bila kujal Kam kwa cku Kam amekutafuta au hajakutafuta, mmoja wpo akishaanza kukufanyia yupo busy iloni tatzo ndo chanzo Cha mengi hapa mapenzi co utumwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hakatajali umri wala size.
Daadeki.
Kakitoka hicho chumba kunabaki harufu ya clutch ikiungua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kanuni ni ile ile tu, toa kitu weka kitu kingine kikali zaidi[emoji23][emoji23][emoji12]
Maumivu matamu yamekuwa juisi ya muwa au?WOTE MNAONIDHIHAKI NA KUNIONA MJINGA AHSANTENI SANA
ILA JUENI KUA SIO RAHISI KAMA MNAVYOTAKA IWE, ACHAN TU NITESEKE KWAKE MAANA NU MAUMIVU MATAMU
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Una uakika matumizi yote ulikuwa unatoa?au yeye ndo alikuwa mtoaji? Maana wanawake wana huruma sana
hiyo limbwata uliwekewa naona lilikuwa kali sana. awali nilijua mwanamke ndio analalamika hivi, kumbe mwanaume? mwanamke amekublock mazima na wewe unashindwa kuishi? mwanamke anakuwaje furaha yako kwa mfano? sisi ndio tunatakiwa kuwa furaha ya mwanamke, kama mwanaume hutakiwi kuoa mtu ambaye wewe unampenda kuliko yeye anavyokupenda, utakufa mapema. potezea au nenda church kaombewe utakuja kunishukuru. sio wewe huyo.Nilimpenda na nampenda sana huyu mwanamke, ni mwaka na miezi 4 toka kaniacha. Nilimkosea mimi akaniacha.
Nashindwa kumpenda mtu mwingine kila ninapokaa siachi kumuwaza yeye, kila kitu nachofanya kinanikumbusha uwepo wake ninyeye aliyekua mwanamke wangu wa kwanza maishani mwangu.
Nisaidieni wakuu Nifanyeje nimrejeshe, Nampenda sana tatizo kaniblock kila mahali, kila namba nikiitumia kumpigia ananiblock hataki hata kuongea nami😢 Yeye ndio furaha yangu sidhani kama naweza kumpata mwingine ninayempenda kama nimpendavyo huyu mwanamke.
Bora nibaki hivi hivi kuliko kutafuta mwanamke mwingine tofaauti yake. Nataka kukaa na kumbukumbu zake maishani mwangu siku zote. Naombeni ushauri wakuu Nifanyeje kumpata tena mpenzi wangu huyu?? Kila nikimpigia ananiblock. Nifanyeje mimi??
I'm in so much pain wapendwa 😢
Mbona umeshamaliza kila kitu hapa?! Unataka tena ushauri gani sasa??Bora nibaki hivi hivi kuliko kutafuta mwanamke mwingine tofaauti yake. Nataka kukaa na kumbukumbu zake maishani mwangu siku zote
Hivi kuna anaependa asiye taka kupendwa ?Oeni wanawake wanaowapenda na sio wanawake mnaowapenda... Mkiishi kwa falsafa hii mtaishi kwa furaha...
Hizi habari huwa mnazipata wapi aisee. Au sisi wake zetu ni tofauti na Wanawake wenu nini ?Mwanamke kadri unavyompenda ndio unazidi kumuweka mbali na wewe kihisia... Ona sasa unavyotapatapa
Tatizo sio mwanamke tatizo ni wewe. .Pole sana mkuu,tupo wengi tunapitia hii hali kumbe.Mimi ninaishi mkoa mwingine na mke wangu,last week alinifanyia bullying flani hivi.Aisee sitaki hata kukumbuka,maana nilijikuta nimeenda sehemu nikanywa pombe halafu nikajaribu kujiondoa kwa njia mbalimbali zaidi ya mara tatu.Mungu akaniepusha,nikarudi ninapoishi ndio nikamtafuta sasa ili nimwambie alichokuwa amenisababishia.Nikakuta ameniblock kwenye namba zake zote.Nikaingia what's app nikamuona yupo online nikamuomba tuongee akaniblock.Nikawaza kuwa hivi anajua aliyokuwa anisababishie?Nikaanza kupata maumivu makali ya moyo,leo kazini sijaweza kufanya lolote.Ikabidi nishare na baadhi ya wafanyakazi wenzangu,ndio wakanipa moyo kuwa nijaribu kwanza kurelax.Maana moyo ulikuwa unauma sana.Kisha nitafute njia taratibu za kutatua tatizo huku nikimshirikisha Mungu.Kiukweli nashukuru Mungu japokuwa bado ameniblock,imesaidia kidogo.Japo bado Moyo una maumivu sana.Kwa hiyo naelewa sana unayopitia ndugu yangu.Mungu atusaidie sote, Ameeeeeen!
Aisee😁mnatesekea upande gani wa nchi, leo jmosi njooni niwatoe upweke niwape ramani mpya.
Sometime huwaga hawajitambui hawa mkuu hawajui Kuna sie wahuni ambao hatuwezi kumsujudia mwanamke kamweHahahah umtafute siku kila siku ni Mungu huyo ama? Wanawake mna wazimu sometimes. Piga simu upigiwe sio unakalisha tu unategemea utafutwege tu!
Nikikutafta mara 2 mfululizo hurespond kama kawaida jua tu nanga lazma ipaishwe[emoji23]