George Barran
JF-Expert Member
- Sep 2, 2015
- 647
- 1,268
Unazungumzia mkee sie wengine tunazungumzia madem zetu wa mtaaniHivi kuna anaependa asiye taka kupendwa ?
Ndiyo maana niliacha kujifunza Falsafa kwa sababu ina uongo mwingi sana. Kumpenda mwanaumke kwetu sisi Wanaume hilo ni umbile letu.
Usahihi wa mambo ni kuwa tuoe katika Wanawake ambao tunawapenda.
Hizi habari huwa mnazipata wapi aisee. Au sisi wake zetu ni tofauti na Wanawake wenu nini ?