Nashindwa kupenda mtu mwingine

Nashindwa kupenda mtu mwingine

Hivi kuna anaependa asiye taka kupendwa ?

Ndiyo maana niliacha kujifunza Falsafa kwa sababu ina uongo mwingi sana. Kumpenda mwanaumke kwetu sisi Wanaume hilo ni umbile letu.

Usahihi wa mambo ni kuwa tuoe katika Wanawake ambao tunawapenda.

Hizi habari huwa mnazipata wapi aisee. Au sisi wake zetu ni tofauti na Wanawake wenu nini ?
Unazungumzia mkee sie wengine tunazungumzia madem zetu wa mtaani
 
Hatimae baada ya kuamua kumkaushia ..leo kaamua kuniletea mwenyew...tuko hapa muda wwte anaenda kweny uwanja wa machinjio
 
Unampenda lkn yy hakupend tena, umeachwaa ee kubali kubali...utampata wako mtapendana teh teh teh


Kila kitu huwa na mwanzo na mwsho.....
 
Tatizo sio mwanamke tatizo ni wewe. .

Ishi nao kwa akili , ukishindwa acha haupo kwenye kifungo..!

Sasa unapofikiria kujiua ndio solution uliyokuja nayo unahidi una akili sawa sawa ya kuishi na huyo mwanamke?

Pole sana kwa matatizo mkuu, lakini jaribu kutumia akili usilazinishe mahusiano yasiyowezekana mtajitafutia matatizo makubwa
Mkuu unadhani waliojiua walikuwaga hawana akili au?Ni kumuomba Mungu tu na pia kujifunza kutokana na makosa.By the way leo kanipigia mwenyewe asubuhi na pia ameniunblock.Ila ambacho hajui ni kuwa ameshajipunguzia credits nyingi sana kwangu.Kiukweli now it's all about me, myself and I.Nashukuru Mungu kupitia changamoto nimepata suluhisho.Nitaenda nae mdogo mdogo,mpaka sasa yeye ndio awe anasuffer.
 
Kwani #mshanajr anasemaje kwa upande wa njia za Asili?[emoji1]
 
Bora nibaki hivi hivi kuliko kutafuta mwanamke mwingine tofaauti yake. Nataka kukaa na kumbukumbu zake maishani mwangu siku zote. Naombeni ushauri wakuu Nifanyeje kumpata tena mpenzi wangu huyu?? Kila nikimpigia ananiblock. Nifanyeje mimi??

I'm in so much pain wapendwa
Hivi wanaume wa hivi wanapatikanaga wapi? ....
Hebu weka na picha tuone unafananaje.
Ushauri mzuri utafuata.
 
Mimi kuna mmoja anaitwa Jackie. Yaani nampenda bado hadi leo. Ni miaka 9 imepita sasa na bado yuko moyoni mwangu.

I hope tutaishi wote siku moja
 
Totoz zipo nyingi ebu tulia ,ameshapata mwingine just move on.
 
Hivi wanaume wa hivi wanapatikanaga wapi? ....
Hebu weka na picha tuone unafananaje.
Ushauri mzuri utafuata.
Wenye upendo wa dhati tupo mkuu
Kiukweli sina sura wala muonekano mzuri wala pesa. She just loved my inside
Je kwanini unasema niweke picha
 
Mkuu unadhani waliojiua walikuwaga hawana akili au?Ni kumuomba Mungu tu na pia kujifunza kutokana na makosa.By the way leo kanipigia mwenyewe asubuhi na pia ameniunblock.Ila ambacho hajui ni kuwa ameshajipunguzia credits nyingi sana kwangu.Kiukweli now it's all about me, myself and I.Nashukuru Mungu kupitia changamoto nimepata suluhisho.Nitaenda nae mdogo mdogo,mpaka sasa yeye ndio awe anasuffer.
Hongera mkuu, ila kama bado yeye ndio mwenye power kwenye mahusiano yenu ..hayo mambj yataendelea kujirudia mpaka pale utakapo shika usukani na kuheshimiwa kama mwanaume
 
Ulimkoseaje msichana unayempenda kuliko wanawake wote??
 
Hongera mkuu, ila kama bado yeye ndio mwenye power kwenye mahusiano yenu ..hayo mambj yataendelea kujirudia mpaka pale utakapo shika usukani na kuheshimiwa kama mwanaume
Asante sana mkuu.Kwa kuwa tumeambiwa tuishi nao kwa akili,basi kila kitu kitaenda sawa.
 
Back
Top Bottom