Nashindwa kushika ujauzito, Je! Sindano za uzazi wa mpango zinaweza kuwa sababu?

Nashindwa kushika ujauzito, Je! Sindano za uzazi wa mpango zinaweza kuwa sababu?

Ma Dk nisaidien jaman

Sent using Jamii Forums mobile app
Sindano za uzazi wa mpango (DEPO) kazi yake kubwa ni kwenda ku control hormone. Ndani ya miezi 3. Side effect zake ni kuto kuona period na mara nying mtu uona period mwez wa tatu ambayo huwa overbleedng. Side effct za DEPO ni kumfanya mtumiaji kunenepa mno au kukonda ina tegemeana na patient.. effect nyingne ya depo ni kusababisha hormone imbalace kama mtu hormone zilikuwa low na bado uka tumia depo kuzi control ili usipate ujauzito. Ivyo basi baada ya sindano kuisha kazi mwlini ndani ya meiz 3.. husababisha hormone imbalance ili kurekebsha tatizo ilo kuna aina ya dawa tunatoa kulingana na history ya mgonjwa na mzunguko wake unavyo kwenda. Ni vizur kwenda clinic( RCH) upewe utaratibu unao faa.
NOTE: syo kila anaye tumia DEPO atapata hormone imblance ni kwa bahadhi ya watu. Mara nyingi hizi sindano huwa zina wafanya watu wapate mimba zaku shtukiza zaidi kuliko kuzi control.
 
Kiukweli njia nyingi za uzazi wa mpango hazipo salama. Na wanawake wengi mara watoapo njia hizo kwa lengo la kupata ujauzito huwa ni tabu.

Niliwahi kukaa na padri mmoja na alinieleza kwa undani sana. Wazungu hawatumii huo uchafu bali wanatuletea sisi. Na fact, si kwamba muda unaotumia njia hizo kwamba hushiki mimba, lahasha, unashika but inaharibiwa na njia hizo and thats why walio wengi wanapotumia njia hizi hata bleed hukata kabisa.

So itakuchukua muda kiasi kurudisha mzunguko wako wa kawaida. Ukienda kwa wataalamu kuna nadhani kuna njia za kurudisha mzunguko wako. Nikutakie kila lakheri ila jaribu kuzikwepa njia hizo.
Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliyatumia wapi?? Mpaka mumeo akushangae??? Hamkupanga kutumia mkiwa pamoja? Au ulikuwa unazini ovyo nje ya ndoa??? Wapuuzi nyie. Kabla hujaoa ngono ya nini???

Mimi nilizaa na make wangu watoto watatu na hatujawahi kutumia upuuzi kama huo na watoyo wetu wamepishana miaka mitatu mitatu!
 
Kiukweli njia nyingi za uzazi wa mpango hazipo salama. Na wanawake wengi mara watoapo njia hizo kwa lengo la kupata ujauzito huwa ni tabu.

Niliwahi kukaa na padri mmoja na alinieleza kwa undani sana. Wazungu hawatumii huo uchafu bali wanatuletea sisi. Na fact, si kwamba muda unaotumia njia hizo kwamba hushiki mimba, lahasha, unashika but inaharibiwa na njia hizo and thats why walio wengi wanapotumia njia hizi hata bleed hukata kabisa.

So itakuchukua muda kiasi kurudisha mzunguko wako wa kawaida. Ukienda kwa wataalamu kuna nadhani kuna njia za kurudisha mzunguko wako. Nikutakie kila lakheri ila jaribu kuzikwepa njia hizo.


yes ni mabaya sana !kuna padri anatoaga madawa ya asili ya uzaz wa mpango ! nilizitumia kwa mwez mmoja tu nikapata mimba fresh tu arghhhh!sasa sijui ni fake au ni nn !
 
Uliyatumia wapi?? Mpaka mumeo akushangae??? Hamkupanga kutumia mkiwa pamoja? Au ulikuwa unazini ovyo nje ya ndoa??? Wapuuzi nyie. Kabla hujaoa ngono ya nini???

Mimi nilizaa na make wangu watoto watatu na hatujawahi kutumia upuuzi kama huo na watoyo wetu wamepishana miaka mitatu mitatu!


ni wewe siyo yeye !mbona povu sana mkuu ?
 
Sindano za uzazi wa mpango (DEPO) kazi yake kubwa ni kwenda ku control hormone. Ndani ya miezi 3. Side effect zake ni kuto kuona period na mara nying mtu uona period mwez wa tatu ambayo huwa overbleedng. Side effct za DEPO ni kumfanya mtumiaji kunenepa mno au kukonda ina tegemeana na patient.. effect nyingne ya depo ni kusababisha hormone imbalace kama mtu hormone zilikuwa low na bado uka tumia depo kuzi control ili usipate ujauzito. Ivyo basi baada ya sindano kuisha kazi mwlini ndani ya meiz 3.. husababisha hormone imbalance ili kurekebsha tatizo ilo kuna aina ya dawa tunatoa kulingana na history ya mgonjwa na mzunguko wake unavyo kwenda. Ni vizur kwenda clinic( RCH) upewe utaratibu unao faa.
NOTE: syo kila anaye tumia DEPO atapata hormone imblance ni kwa bahadhi ya watu. Mara nyingi hizi sindano huwa zina wafanya watu wapate mimba zaku shtukiza zaidi kuliko kuzi control.
Asante sn he uwezo Wa kupata mimba huwa unaludi baada ya matibabu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sindano za uzazi wa mpango (DEPO) kazi yake kubwa ni kwenda ku control hormone. Ndani ya miezi 3. Side effect zake ni kuto kuona period na mara nying mtu uona period mwez wa tatu ambayo huwa overbleedng. Side effct za DEPO ni kumfanya mtumiaji kunenepa mno au kukonda ina tegemeana na patient.. effect nyingne ya depo ni kusababisha hormone imbalace kama mtu hormone zilikuwa low na bado uka tumia depo kuzi control ili usipate ujauzito. Ivyo basi baada ya sindano kuisha kazi mwlini ndani ya meiz 3.. husababisha hormone imbalance ili kurekebsha tatizo ilo kuna aina ya dawa tunatoa kulingana na history ya mgonjwa na mzunguko wake unavyo kwenda. Ni vizur kwenda clinic( RCH) upewe utaratibu unao faa.
NOTE: syo kila anaye tumia DEPO atapata hormone imblance ni kwa bahadhi ya watu. Mara nyingi hizi sindano huwa zina wafanya watu wapate mimba zaku shtukiza zaidi kuliko kuzi control.
Haziwez kunisababishia ugumba nikifuata ushaur wako naweza kufanikiwa baada y matibabu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom