dada grace
Member
- Aug 17, 2017
- 54
- 21
- Thread starter
-
- #41
Asante dearkhaa hakuelewi sasa si mmenda hosp my dear amejua hakuna shida? hayo madude yanakaa muda mrefu mwilini usijali huu mwaka hautaisha nahakika utanasa tu !wengn wanakaa had miaka 5 ujue ndo anapata
Pole sn hakuna dawa unayotumiaMwenzio nilitumua sindano tatu mwaka juz had leo sjapata ujauzto kwaasilimia kadhaa ilipelekea kutengana na mume wang! Ingawa hosp. Walisema na wanazd kuniambia nko vzr
Sindano za uzazi wa mpango (DEPO) kazi yake kubwa ni kwenda ku control hormone. Ndani ya miezi 3. Side effect zake ni kuto kuona period na mara nying mtu uona period mwez wa tatu ambayo huwa overbleedng. Side effct za DEPO ni kumfanya mtumiaji kunenepa mno au kukonda ina tegemeana na patient.. effect nyingne ya depo ni kusababisha hormone imbalace kama mtu hormone zilikuwa low na bado uka tumia depo kuzi control ili usipate ujauzito. Ivyo basi baada ya sindano kuisha kazi mwlini ndani ya meiz 3.. husababisha hormone imbalance ili kurekebsha tatizo ilo kuna aina ya dawa tunatoa kulingana na history ya mgonjwa na mzunguko wake unavyo kwenda. Ni vizur kwenda clinic( RCH) upewe utaratibu unao faa.
AsanteKiukweli njia nyingi za uzazi wa mpango hazipo salama. Na wanawake wengi mara watoapo njia hizo kwa lengo la kupata ujauzito huwa ni tabu.
Niliwahi kukaa na padri mmoja na alinieleza kwa undani sana. Wazungu hawatumii huo uchafu bali wanatuletea sisi. Na fact, si kwamba muda unaotumia njia hizo kwamba hushiki mimba, lahasha, unashika but inaharibiwa na njia hizo and thats why walio wengi wanapotumia njia hizi hata bleed hukata kabisa.
So itakuchukua muda kiasi kurudisha mzunguko wako wa kawaida. Ukienda kwa wataalamu kuna nadhani kuna njia za kurudisha mzunguko wako. Nikutakie kila lakheri ila jaribu kuzikwepa njia hizo.
Kiukweli njia nyingi za uzazi wa mpango hazipo salama. Na wanawake wengi mara watoapo njia hizo kwa lengo la kupata ujauzito huwa ni tabu.
Niliwahi kukaa na padri mmoja na alinieleza kwa undani sana. Wazungu hawatumii huo uchafu bali wanatuletea sisi. Na fact, si kwamba muda unaotumia njia hizo kwamba hushiki mimba, lahasha, unashika but inaharibiwa na njia hizo and thats why walio wengi wanapotumia njia hizi hata bleed hukata kabisa.
So itakuchukua muda kiasi kurudisha mzunguko wako wa kawaida. Ukienda kwa wataalamu kuna nadhani kuna njia za kurudisha mzunguko wako. Nikutakie kila lakheri ila jaribu kuzikwepa njia hizo.
Uliyatumia wapi?? Mpaka mumeo akushangae??? Hamkupanga kutumia mkiwa pamoja? Au ulikuwa unazini ovyo nje ya ndoa??? Wapuuzi nyie. Kabla hujaoa ngono ya nini???
Mimi nilizaa na make wangu watoto watatu na hatujawahi kutumia upuuzi kama huo na watoyo wetu wamepishana miaka mitatu mitatu!
Hivi amesema kaolewa?duh mbili tu! mie nakushauri tulia usiwe na stress !ukiwa na stress ngumu sana kupata mimba !relax my dear !utapata tu
Asante sn he uwezo Wa kupata mimba huwa unaludi baada ya matibabu ?Sindano za uzazi wa mpango (DEPO) kazi yake kubwa ni kwenda ku control hormone. Ndani ya miezi 3. Side effect zake ni kuto kuona period na mara nying mtu uona period mwez wa tatu ambayo huwa overbleedng. Side effct za DEPO ni kumfanya mtumiaji kunenepa mno au kukonda ina tegemeana na patient.. effect nyingne ya depo ni kusababisha hormone imbalace kama mtu hormone zilikuwa low na bado uka tumia depo kuzi control ili usipate ujauzito. Ivyo basi baada ya sindano kuisha kazi mwlini ndani ya meiz 3.. husababisha hormone imbalance ili kurekebsha tatizo ilo kuna aina ya dawa tunatoa kulingana na history ya mgonjwa na mzunguko wake unavyo kwenda. Ni vizur kwenda clinic( RCH) upewe utaratibu unao faa.
NOTE: syo kila anaye tumia DEPO atapata hormone imblance ni kwa bahadhi ya watu. Mara nyingi hizi sindano huwa zina wafanya watu wapate mimba zaku shtukiza zaidi kuliko kuzi control.
Kwanini anajiita binti?kaolewa ndiyo !
anaza kwesheni puliz
Haziwez kunisababishia ugumba nikifuata ushaur wako naweza kufanikiwa baada y matibabu?Sindano za uzazi wa mpango (DEPO) kazi yake kubwa ni kwenda ku control hormone. Ndani ya miezi 3. Side effect zake ni kuto kuona period na mara nying mtu uona period mwez wa tatu ambayo huwa overbleedng. Side effct za DEPO ni kumfanya mtumiaji kunenepa mno au kukonda ina tegemeana na patient.. effect nyingne ya depo ni kusababisha hormone imbalace kama mtu hormone zilikuwa low na bado uka tumia depo kuzi control ili usipate ujauzito. Ivyo basi baada ya sindano kuisha kazi mwlini ndani ya meiz 3.. husababisha hormone imbalance ili kurekebsha tatizo ilo kuna aina ya dawa tunatoa kulingana na history ya mgonjwa na mzunguko wake unavyo kwenda. Ni vizur kwenda clinic( RCH) upewe utaratibu unao faa.
NOTE: syo kila anaye tumia DEPO atapata hormone imblance ni kwa bahadhi ya watu. Mara nyingi hizi sindano huwa zina wafanya watu wapate mimba zaku shtukiza zaidi kuliko kuzi control.
Kwanini anajiita binti?
Yeye ndo anakuita ila wewe hujiiti...ulitaka ajiite bibi? mimi mwenyewe mzee [HASHTAG]#masalakulangwa[/HASHTAG] ananiita bintiye !so chilax
Mnamsumbua aache kupika aje ajibu kitu asichokijua.hahah sasa acha ajibu mwenyewe bas
Yeye ndo anakuita ila wewe hujiiti...