Nashuhudia mbele yenu, hii ndio hela yangu ya mwisho kuhonga

Nashuhudia mbele yenu, hii ndio hela yangu ya mwisho kuhonga

Maleven

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
689
Reaction score
3,373
Tangu mwezi wa nne hadi sasa nimetumia laki nane (800,000+). Wastani wa laki moja kila mwezi. Kwa anasa inayohusu wanawake, kuanzia sasa naachana na haya mambo kabisa.

N.B kama unaona hela hii ni ndogo kwako kwangu ni kubwa sana.
 
Hata sisi tuliapa sana mkuu, lakini wanasema the power of p*ssy! wewe hakikisha hutoi zaidi ya uwezo wako hutoi zaidi ya budget yako, ila usiape kwamba hutotoa coz hatutaki viganja vyako viote sugu.
NB; hayupo mwanamke wa bure zama hizi.
 
honga tu mkuu kwa shida ipo wapiii...ila baada ya kuhongaa unampelekea moto hataree... yaani kungonoka kipalestinaa
FB_IMG_1700812718025.jpg
 
Tangu mwezi wa nne hadi sasa nimetumia laki nane (800,000+). Wastani wa laki moja kila mwezi. Kwa anasa inayohusu wanawake, kuanzia sasa naachana na haya mambo kabisa.

N.B kama unaona hela hii ni ndogo kwako kwangu ni kubwa sana.
Pesa nyingi Sana mkuu hiyo ,
Hiyo pesa ulikua unapata kiwanja vikindu huko ambayo ingekua hazina Yako au ya wanao Kwa badae
 
We maskini sana. Unauza urembo huku unawaosha wanawake miguu na kuwapaka rangi za kucha ndio uhonge hivyo. Ebu acha, jiokoteze kwanza kiuchumi.
 
Hakuna mwanamke wabure, kula kimasihara punguza kuhonga ila siyo kutokuhonga kabisa,

Nb: NYAPU INA NGUVU SANA MKUU UKIKUA UTAJUA NGUVU YA NYAPU
 
Hakuna Cha bure kwa Maisha ya Sasa, honga kulingana na mfuko wako.
 
Upwiru unavuruga ubongo, sasa hivi umeandika sababu ndio umetoka kunyandua. Subiri upwiru
 
Kuhonga ni tabia kama zilivyo tabia zingine.

Tabia ni kama ngozi. Leo ukiichubua. Kesho itarejea kwenye hali yake.

Ni suala la muda.
 
Back
Top Bottom