Nashukuru Mchumba wangu Amenisamehe baada ya Kumfumania

...We kweli Bado Mtoto! Yaani unakuta mchepuko wako unanyonyana ulimi na X wake wewe Bado unashangaa shangaa!
Tena unafokewa, na Unaka akusamehe na muendelee??
Hujitambui![emoji35]
Msiwe mnaleta humu Story za Kijinga kama hii!
Mnaidhalilisha JF....[emoji35]
 
We bwege sana. Kuna mtu alimfumania mkewe na akaja akamnunulia na gari kumwomba msamaha itakuwa mimi tu kumsamehe kwa maneno?
 
Ana misimamo, mmojawapo ni wa kutoachana na bwana wa zamani! Oa haraka sana aongeze msimamo wa kuwa na mchepuko na usifuatilie nyendo zake.
 
upo ktk hatari ya kuua au jela
 
Aya sawa tumekusikia aya sasa nenda kapige punyeto ukimaliza hapo jifutie na boxa yako ifue ulale sawa...
 
[emoji23][emoji23]Huna tatizo la akili kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…