Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbon ni rahisi sana kupata pasi mpya au kubadiri pasi mpya?? Haihitaji hata connection kama unavigezo/Documents zote
Aliniharakishia maandalizi ya documents zangu... yani mchakato mzima aliurahisisha sana.Mbon ni rahisi sana kupata pasi mpya au kubadiri pasi mpya?? Haihitaji hata connection kama unavigezo/Documents zote
Kwa vile wewe ni KE!Wakuu habari
Baada ya kuweka uzi kuulizia namna ya kuingia Lusaka Zambia nilipata mawazo mengi ya kujenga na pia uzi huu ulinikutanisha na huyu member anayejiita imhotep ambaye aliniongoza kwenye mchakato mzima wa kubadili pass yangu ya zamani na kufanikisha kupatikana kwa pass mpya.
Asante sana JF na huyu member ambaye amekuwa na uaminifu sana uvumilivu na upendo wa hali ya juu. Huyu jamaa yuko connected hapa Town si kitoto.
Kweli watu wema bado wapoo.
Na mimi nisaidie connection za kuja mozambique jf wote ni nduguAliniharakishia maandalizi ya documents zangu... yani mchakato mzima aliurahisisha sana.
Pia sikupanga folen za ovyo.... kwakweli alisaidia mno. Nilipata fast track service
Sio hawana njaa bali wana utuKuna watu hawana njaa
Kwanin urudishe?Hela hata mimi nairudisha,
Ndege wewe Kiboko mkuu sijui nimekusoma wapi tena nimebaki nacheka tuuHuwezi amini nikajua pass kama hizi za philips
Imhotep baada ya kuacha siasa za ccm za roho mbaya amekuwa kijana mzuri sanaWakuu habari
Baada ya kuweka uzi kuulizia namna ya kuingia Lusaka Zambia nilipata mawazo mengi ya kujenga na pia uzi huu ulinikutanisha na huyu member anayejiita imhotep ambaye aliniongoza kwenye mchakato mzima wa kubadili pass yangu ya zamani na kufanikisha kupatikana kwa pass mpya.
Asante sana JF na huyu member ambaye amekuwa na uaminifu sana uvumilivu na upendo wa hali ya juu. Huyu jamaa yuko connected hapa Town si kitoto.
Kweli watu wema bado wapoo.
Asikwambie mtu pasi za kupasiana bado zipo. Me ndo nakwambiaIla ukiwa na Documents zote
Sijui cheti chako cha kuzaliwa, barua ya Serikali za mtaa au ofisi kama umeajiriwa ya utambulisho, Kitambulisho cha NIDA au namba tuu na pia photocopy,barua ya kuomba hiyo passport au kama ina uharaka unatoa taarifa kama ni ya mgonjwa,biashara sijui shule unapata haraka tuu Passport sio kipengele kwa wale wasio na safari kipindi cha karibuni omba wenyewe watakutumia meseji ufate Passport yako...
Basi kuna kitu anakitaka. Akikiomba huwezi mnyima mwanamke akikusifia. Automatically anakuwa menuAsante. Hakuchukua hata mia
Kama sijamuomba hela asinipe, maana kesho anaweza nisaidiaKwanin urudishe?
sasa dini imeingiaje hapa ndugu yangu Mtanzania? hana maana kwako lakini kwa aliyesaidiwa ana maana. itakuwaje kama wengine wanataka kuunganishwa ili wasaidiwe huku wewe ulishamtoa maana.Hana maana huyo ni mfia dini
Bora umesema wewesasa dini imeingiaje hapa ndugu yangu Mtanzania? hana maana kwako lakini kwa aliyesaidiwa ana maana. itakuwaje kama wengine wanataka kuunganishwa ili wasaidiwe huku wewe ulishamtoa maana.
Mnatupeleka wapi jamani?
Kivipi sijaelewa dada,Asikwambie mtu pasi za kupasiana bado zipo. Me ndo nakwambia