Nashukuru nimepata Passport kwa msaada wa @imhotep

Nashukuru nimepata Passport kwa msaada wa @imhotep

Mbon ni rahisi sana kupata pasi mpya au kubadiri pasi mpya?? Haihitaji hata connection kama unavigezo/Documents zote
Aliniharakishia maandalizi ya documents zangu... yani mchakato mzima aliurahisisha sana.
Pia sikupanga folen za ovyo.... kwakweli alisaidia mno. Nilipata fast track service
 
Wakuu habari

Baada ya kuweka uzi kuulizia namna ya kuingia Lusaka Zambia nilipata mawazo mengi ya kujenga na pia uzi huu ulinikutanisha na huyu member anayejiita imhotep ambaye aliniongoza kwenye mchakato mzima wa kubadili pass yangu ya zamani na kufanikisha kupatikana kwa pass mpya.

Asante sana JF na huyu member ambaye amekuwa na uaminifu sana uvumilivu na upendo wa hali ya juu. Huyu jamaa yuko connected hapa Town si kitoto.

Kweli watu wema bado wapoo.
Kwa vile wewe ni KE!
 
Ila ukiwa na Documents zote
Sijui cheti chako cha kuzaliwa, barua ya Serikali za mtaa au ofisi kama umeajiriwa ya utambulisho, Kitambulisho cha NIDA au namba tuu na pia photocopy,barua ya kuomba hiyo passport au kama ina uharaka unatoa taarifa kama ni ya mgonjwa,biashara sijui shule unapata haraka tuu Passport sio kipengele kwa wale wasio na safari kipindi cha karibuni omba wenyewe watakutumia meseji ufate Passport yako...
 
Wakuu habari

Baada ya kuweka uzi kuulizia namna ya kuingia Lusaka Zambia nilipata mawazo mengi ya kujenga na pia uzi huu ulinikutanisha na huyu member anayejiita imhotep ambaye aliniongoza kwenye mchakato mzima wa kubadili pass yangu ya zamani na kufanikisha kupatikana kwa pass mpya.

Asante sana JF na huyu member ambaye amekuwa na uaminifu sana uvumilivu na upendo wa hali ya juu. Huyu jamaa yuko connected hapa Town si kitoto.

Kweli watu wema bado wapoo.
Imhotep baada ya kuacha siasa za ccm za roho mbaya amekuwa kijana mzuri sana
 
Ila ukiwa na Documents zote
Sijui cheti chako cha kuzaliwa, barua ya Serikali za mtaa au ofisi kama umeajiriwa ya utambulisho, Kitambulisho cha NIDA au namba tuu na pia photocopy,barua ya kuomba hiyo passport au kama ina uharaka unatoa taarifa kama ni ya mgonjwa,biashara sijui shule unapata haraka tuu Passport sio kipengele kwa wale wasio na safari kipindi cha karibuni omba wenyewe watakutumia meseji ufate Passport yako...
Asikwambie mtu pasi za kupasiana bado zipo. Me ndo nakwambia
 
Back
Top Bottom