imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
🙏Kweli watu wema bado wapoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙏Kweli watu wema bado wapoo
Ukiacha kusaidia kwa tabia za watu wachache unakua huwatendea haki wengine wanaokuhitaji so 👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾 to you!Amen
Hata mimi nimeshasaidia watu wengi mno bila malipo japo wao hawakuwahi hata ku appreciate kwa maneno. Bado nitasaidia tena
Kupata pasi kunahitaji connection?Wakuu habari
Baada ya kuweka uzi kuulizia namna ya kuingia Lusaka Zambia nilipata mawazo mengi ya kujenga na pia uzi huu ulinikutanisha na huyu member anayejiita imhotep ambaye aliniongoza kwenye mchakato mzima wa kubadili pass yangu ya zamani na kufanikisha kupatikana kwa pass mpya.
Asante sana JF na huyu member ambaye amekuwa na uaminifu sana uvumilivu na upendo wa hali ya juu. Huyu jamaa yuko connected hapa Town si kitoto.
Kweli watu wema bado wapoo.
Hongera sana!Wakuu habari
Baada ya kuweka uzi kuulizia namna ya kuingia Lusaka Zambia nilipata mawazo mengi ya kujenga na pia uzi huu ulinikutanisha na huyu member anayejiita imhotep ambaye aliniongoza kwenye mchakato mzima wa kubadili pass yangu ya zamani na kufanikisha kupatikana kwa pass mpya.
Asante sana JF na huyu member ambaye amekuwa na uaminifu sana uvumilivu na upendo wa hali ya juu. Huyu jamaa yuko connected hapa Town si kitoto.
Kweli watu wema bado wapoo.
Shilingi 150,000. Unalipa 20,000 wakati wa maombi, na ukishapitishiwa maombi unamalizia 130,000.Gharama za passport ni shilingi ngapi?
Jambo jema sana kurudisha mrejesho wa shukraniWakuu habari
Baada ya kuweka uzi kuulizia namna ya kuingia Lusaka Zambia nilipata mawazo mengi ya kujenga na pia uzi huu ulinikutanisha na huyu member anayejiita imhotep ambaye aliniongoza kwenye mchakato mzima wa kubadili pass yangu ya zamani na kufanikisha kupatikana kwa pass mpya.
Asante sana JF na huyu member ambaye amekuwa na uaminifu sana uvumilivu na upendo wa hali ya juu. Huyu jamaa yuko connected hapa Town si kitoto.
Kweli watu wema bado wapoo.
Ndio maana hadi leo hii upo hai, afya njema na hujapatwa na majanga. Hiyo ndio faida ya msaada wako. Kuna namna nyingi sana ya kufaidika na wema unaoutoa. Wengi mbumbumbu wanadhani ukisaidia basi shukrani unayostahili ni pesa tu.Amen
Hata mimi nimeshasaidia watu wengi mno bila malipo japo wao hawakuwahi hata ku appreciate kwa maneno. Bado nitasaidia tena
Ila namba ya simu kachukua?Asante. Hakuchukua hata mia
Nisaidie basi kiungo cha uzazi nami nipate raha ya dunianiAmen
Hata mimi nimeshasaidia watu wengi mno bila malipo japo wao hawakuwahi hata ku appreciate kwa maneno. Bado nitasaidia tena
Aliiweka kitaalamu sana, yeye kutotaka umjueAlifanya vizuri. Mimi niliwahi saidiwa na mtu serikalini na simjui na hakutaka nimjue mpaka leo. Ila yeye ananijua
Binafsi hilo la kupongezwa/kushukuriwa huwa sio muumini nalo.Amen
Hata mimi nimeshasaidia watu wengi mno bila malipo japo wao hawakuwahi hata ku appreciate kwa maneno. Bado nitasaidia tena
Hongera sana Mkuu Imhotep kwa wema uliotukukaWakuu habari
Baada ya kuweka uzi kuulizia namna ya kuingia Lusaka Zambia nilipata mawazo mengi ya kujenga na pia uzi huu ulinikutanisha na huyu member anayejiita imhotep ambaye aliniongoza kwenye mchakato mzima wa kubadili pass yangu ya zamani na kufanikisha kupatikana kwa pass mpya.
Asante sana JF na huyu member ambaye amekuwa na uaminifu sana uvumilivu na upendo wa hali ya juu. Huyu jamaa yuko connected hapa Town si kitoto.
Kweli watu wema bado wapoo.
Kiungo cha uzazi tu... baaasi. Yani kale kamfereji pendwa kanakotumiwa ili uzazi utokee...Nikusaidie kiungo cha uzazi? Ndo nini tena? Au nikupatie kizazi changu kihamie kwako?
Nisaidie buku 12 mzazi nipige K Vant moja kubwa nisahau shida zangu....Binafsi hilo la kupongezwa/kushukuriwa huwa sio muumini nalo.
Yaani mtu asipotoa shukrani au atoe ni sawa tu, kikubwa huwa natarget huo msaada niliodhamiria kuutoa kuwa ukamilike basi.
Huwa naona haiingii akili, nitoe msaada halafu nianze kuisaka shukrani. Matokeo yake chuki itaibuka kisa huo msaada.
Bora kuwa mfia dini, kuliko kuwa mwanachama wa chama cha mambuzzHana maana huyo ni mfia dini
Mzee wa poli kwa poli, bila namba unadhani wangeonana vipi?Hata namba hakuomba? Basi amebarikiwa