Nashukuru nimepata Passport kwa msaada wa @imhotep

Nashukuru nimepata Passport kwa msaada wa @imhotep

Amen
Hata mimi nimeshasaidia watu wengi mno bila malipo japo wao hawakuwahi hata ku appreciate kwa maneno. Bado nitasaidia tena
Aminaa mtumishi. Nitakuomba kitu unisaidie. Kitu nitakochokuomba kiko ndani ya uwezo wako. Na ndio tiba yangu.
 
Wakuu habari

Baada ya kuweka uzi kuulizia namna ya kuingia Lusaka Zambia nilipata mawazo mengi ya kujenga na pia uzi huu ulinikutanisha na huyu member anayejiita imhotep ambaye aliniongoza kwenye mchakato mzima wa kubadili pass yangu ya zamani na kufanikisha kupatikana kwa pass mpya.

Asante sana JF na huyu member ambaye amekuwa na uaminifu sana uvumilivu na upendo wa hali ya juu. Huyu jamaa yuko connected hapa Town si kitoto.

Kweli watu wema bado wapoo.
Humu Jf kuna watu wakubwa na matajiri sana na wana mioyo safi,ni vile tu jinsi utakavyokuwa unabehave humu ndio utakuwa connected nao..utakuta mtu kjla thread anatukana watu,anaongea pumba,comment za kidwanzi huwezi kuwa connected,Hongera kwa hilo ulilofanikiwa ukiona jamaa mpk kajitolea kukusaidia halafu yupo connected sana ujue alishakusoma tabiaa zako humu jamvini kuna watu humu hawawezi kusaidiwa kamwe
 
Humu Jf kuna watu wakubwa na matajiri sana na wana mioyo safi,ni vile tu jinsi utakavyokuwa unabehave humu ndio utakuwa connected nao..utakuta mtu kjla thread anatukana watu,anaongea pumba,comment za kidwanzi huwezi kuwa connected,Hongera kwa hilo ulilofanikiwa ukiona jamaa mpk kajitolea kukusaidia halafu yupo connected sana ujue alishakusoma tabiaa zako humu jamvini kuna watu humu hawawezi kusaidiwa kamwe
kweli kabisa mkuu watu wema na wenye maisha yao wamejaa humu na wajinga sana pia wapo. unavyoishi ndio utakavyojipimia ukutane na wa aina gani.
hata hapa nimekaa na mJf ananisaidia kazi fulani kiroho safi kabisa.
 
Aminaa mtumishi. Nitakuomba kitu unisaidie. Kitu nitakochokuomba kiko ndani ya uwezo wako. Na ndio tiba yangu.
hahaha mbona unaanza kuniogopesha maana ushajiaminisha kabisa
 
Na mm nahitaji mtu wa kunifanyia msaada wa kupata uhamisho chap kwa kijana wangu wa sekondari.
 
Wakuu habari

Baada ya kuweka uzi kuulizia namna ya kuingia Lusaka Zambia nilipata mawazo mengi ya kujenga na pia uzi huu ulinikutanisha na huyu member anayejiita imhotep ambaye aliniongoza kwenye mchakato mzima wa kubadili pass yangu ya zamani na kufanikisha kupatikana kwa pass mpya.

Asante sana JF na huyu member ambaye amekuwa na uaminifu sana uvumilivu na upendo wa hali ya juu. Huyu jamaa yuko connected hapa Town si kitoto.

Kweli watu wema bado wapoo.
Hajaomba utelezi?😃
Good acknowledgement
 
Wakuu habari

Baada ya kuweka uzi kuulizia namna ya kuingia Lusaka Zambia nilipata mawazo mengi ya kujenga na pia uzi huu ulinikutanisha na huyu member anayejiita imhotep ambaye aliniongoza kwenye mchakato mzima wa kubadili pass yangu ya zamani na kufanikisha kupatikana kwa pass mpya.

Asante sana JF na huyu member ambaye amekuwa na uaminifu sana uvumilivu na upendo wa hali ya juu. Huyu jamaa yuko connected hapa Town si kitoto.

Kweli watu wema bado wapoo.
Tupia nomber yake
 
Passport kuipata sio kazi ndogo ndio maana kuna watu hyo pass ya kulipia laki 150 mtu anatumia mpk laki 3 ndio anaipata alouliza hilo swali ni kama hajui usumbufu wa mle ndani....mtu anaweza amua tyu

Passport kuipata sio kazi ndogo ndio maana kuna watu hyo pass ya kulipia laki 150 mtu anatumia mpk laki 3 ndio anaipata
mle ndani mtu anaweza kuamua tu kukukwamisha ili kutengeneza mazingira ya rushwa mara akwambie document hii haipo sawa..... me nilioshaomba pass ya zamani na nilipata ndani ya siku 3 ila kwa kushikwa mkono pia bila malipo yoyote.....ukiwa na mtu wa kukushika mkono fasta sana.
 
Back
Top Bottom