KING ASSENGA
JF-Expert Member
- Oct 8, 2016
- 928
- 1,478
Nahitaji pia passport pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aminaa mtumishi. Nitakuomba kitu unisaidie. Kitu nitakochokuomba kiko ndani ya uwezo wako. Na ndio tiba yangu.Amen
Hata mimi nimeshasaidia watu wengi mno bila malipo japo wao hawakuwahi hata ku appreciate kwa maneno. Bado nitasaidia tena
Humu Jf kuna watu wakubwa na matajiri sana na wana mioyo safi,ni vile tu jinsi utakavyokuwa unabehave humu ndio utakuwa connected nao..utakuta mtu kjla thread anatukana watu,anaongea pumba,comment za kidwanzi huwezi kuwa connected,Hongera kwa hilo ulilofanikiwa ukiona jamaa mpk kajitolea kukusaidia halafu yupo connected sana ujue alishakusoma tabiaa zako humu jamvini kuna watu humu hawawezi kusaidiwa kamweWakuu habari
Baada ya kuweka uzi kuulizia namna ya kuingia Lusaka Zambia nilipata mawazo mengi ya kujenga na pia uzi huu ulinikutanisha na huyu member anayejiita imhotep ambaye aliniongoza kwenye mchakato mzima wa kubadili pass yangu ya zamani na kufanikisha kupatikana kwa pass mpya.
Asante sana JF na huyu member ambaye amekuwa na uaminifu sana uvumilivu na upendo wa hali ya juu. Huyu jamaa yuko connected hapa Town si kitoto.
Kweli watu wema bado wapoo.
Heeeeh.... Mbona tena unamwita mate? Ni kwa nini? Anajaza sana mate mdomoni?Kongole kwako mate.
Nahitaji pia passport pia
kweli kabisa mkuu watu wema na wenye maisha yao wamejaa humu na wajinga sana pia wapo. unavyoishi ndio utakavyojipimia ukutane na wa aina gani.Humu Jf kuna watu wakubwa na matajiri sana na wana mioyo safi,ni vile tu jinsi utakavyokuwa unabehave humu ndio utakuwa connected nao..utakuta mtu kjla thread anatukana watu,anaongea pumba,comment za kidwanzi huwezi kuwa connected,Hongera kwa hilo ulilofanikiwa ukiona jamaa mpk kajitolea kukusaidia halafu yupo connected sana ujue alishakusoma tabiaa zako humu jamvini kuna watu humu hawawezi kusaidiwa kamwe
Passport kuipata sio kazi ndogo ndio maana kuna watu hyo pass ya kulipia laki 150 mtu anatumia mpk laki 3 ndio anaipataKupata pasi kunahitaji connection?
Tovuti ya Uhamiaji Tanzania ni www.immigration.go.tzMwingine anakua hana taarifa za kutosha hivyo anakuwa anahitaji msaada kama mtoa mada.
Anyway taarifa zipo humu
www.uhamiaji.co.tz
Hajaomba utelezi?😃Wakuu habari
Baada ya kuweka uzi kuulizia namna ya kuingia Lusaka Zambia nilipata mawazo mengi ya kujenga na pia uzi huu ulinikutanisha na huyu member anayejiita imhotep ambaye aliniongoza kwenye mchakato mzima wa kubadili pass yangu ya zamani na kufanikisha kupatikana kwa pass mpya.
Asante sana JF na huyu member ambaye amekuwa na uaminifu sana uvumilivu na upendo wa hali ya juu. Huyu jamaa yuko connected hapa Town si kitoto.
Kweli watu wema bado wapoo.
Tupia nomber yakeWakuu habari
Baada ya kuweka uzi kuulizia namna ya kuingia Lusaka Zambia nilipata mawazo mengi ya kujenga na pia uzi huu ulinikutanisha na huyu member anayejiita imhotep ambaye aliniongoza kwenye mchakato mzima wa kubadili pass yangu ya zamani na kufanikisha kupatikana kwa pass mpya.
Asante sana JF na huyu member ambaye amekuwa na uaminifu sana uvumilivu na upendo wa hali ya juu. Huyu jamaa yuko connected hapa Town si kitoto.
Kweli watu wema bado wapoo.
Ukitaka kwenda South Africa unaenda kuomba na kugongewa Ubalozini au unakata tu tiketi ya ndege au gari then mambo mengine boda ya kuingia ndipo ugonge ufafanuzi.10 years
Passport kuipata sio kazi ndogo ndio maana kuna watu hyo pass ya kulipia laki 150 mtu anatumia mpk laki 3 ndio anaipata alouliza hilo swali ni kama hajui usumbufu wa mle ndani....mtu anaweza amua tyu
mle ndani mtu anaweza kuamua tu kukukwamisha ili kutengeneza mazingira ya rushwa mara akwambie document hii haipo sawa..... me nilioshaomba pass ya zamani na nilipata ndani ya siku 3 ila kwa kushikwa mkono pia bila malipo yoyote.....ukiwa na mtu wa kukushika mkono fasta sana.Passport kuipata sio kazi ndogo ndio maana kuna watu hyo pass ya kulipia laki 150 mtu anatumia mpk laki 3 ndio anaipata
Mbon ni rahisi sana kupata pasi mpya au kubadiri pasi mpya?? Haihitaji hata connection kama unavigezo/Documents zote