Haijawahi kuwa sehem ya TZ my Friend, irikuwa sehemu ya German East African Company. Kuropoka eti ilikuwa sehemu ya TZ hata wanyarwanda wanaweza kusema Tanzania ilikuwa sehemu ya Rwanda, and by the way they have more ground than TZ, kwasababu kabla ya wazungu/wakoloni wa German hakukuwa na TZ au kitu chochote kinachofanana na Tanzania, Lakini kulikuwepo na dola ya Rwanda kubwa kabisa ikiwa na influence mpaka kwenye baadhi ya maeneo ya DRC, Uganda na TZ yenyewe, ukihitaji masomo kuhusu hilo nitafute, but you can do your own research. So dont put your self into that illusion. If that is the Case Rwanda has more right than TZ