we bwege sana ujue...hivi unamjua heri mzozo wewe au big papa... au ushawahi kusikia mabalaa ya kitaani ya bondia marehemu thomas mashari?.Kama kawaida yenu wanaume wa Dar kudadeq zenu, yaani vitoto vinajikusanya huko mtaani midume mizima mnaogopa kuvitia adabu,
Huo sasa ndio ubwege niliosema sasa, hivi nyinyi wanaume wa Dar ni nani alie waroga ninyi??? Mwanaume hupashwi kuogopa. jombaa,, yaani huoni hata aibu kumsifia dume mwenzio eti oooh unamjua heri mzoo wewe!! Hovyo kabisa wewe dadeqwe bwege sana ujue...hivi unamjua heri mzozo wewe au big papa... au ushawahi kusikia mabalaa ya kitaani ya bondia marehemu thomas mashari?.
yupo na kajaa tele ila utu uzima unazidi kuchukua nafasi....siku hizi kawa mtu muungwana sana.Hivi Hero Mzozo yupo?Somebody told me amekuwa MTU wa mkeka
shida ya vijana wa mikoani au wale mliongia dar mkiwa watu wazima ni ushamba na kukosa exposure.Huo sasa ndio ubwege niliosema sasa, hivi nyinyi wanaume wa Dar ni nani alie waroga ninyi??? Mwanaume hupashwi kuogopa. jombaa,, yaani huoni hata aibu kumsifia dume mwenzio eti oooh unamjua heri mzoo wewe!! Hovyo kabisa wewe dadeq
Mkuu hawa watu chips zinawalainisha wanakuwa kama wa kike kike aisee. [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Huo sasa ndio ubwege niliosema sasa, hivi nyinyi wanaume wa Dar ni nani alie waroga ninyi??? Mwanaume hupashwi kuogopa. jombaa,, yaani huoni hata aibu kumsifia dume mwenzio eti oooh unamjua heri mzoo wewe!! Hovyo kabisa wewe dadeq
ila vikundi vya vijana ambao wanafanya mauaji kwa akina mama na vibibi vizee kwa tuhuma za kichawi nishazisikia sana.Wewe ushawahi sikia mkoani kuna vikundi vya kijingajinga hivyo? Mara Tembo,mara sijui panya road mara sijui nn yoso? Hebu kuweni majasili aiseee acheni kula chips na kuku matahira na burger.
Aisee.. wanaume wa dar bhana. Yani kamtu kama haka ndo mnakaogopa? What a shame?yupo na kajaa tele ila utu uzima unazidi kuchukua nafasi....siku hizi kawa mtu muungwana sana.
kawa dingile. View attachment 739972
watu wa mikoani mna ujinga sana....pls limeni mazao kwa wingi... sisi tutakuja kununua kwa bei ya jumla. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu hawa watu chips zinawalainisha wanakuwa kama wa kike kike aisee. [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sasa wewe huoni kua mkoani wanaume hawataki mzaha??ila vikundi vya vijana ambao wanafanya mauaji kwa akina mama na vibibi vizee kwa tuhuma za kichawi nishazisikia sana.
hapa dar hakuna ujinga kama huo.
[emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] View attachment 739974
Shida sio kumjua bali ni kuuona uo mguu wa Matembo uliokatwa.Duh kama humjui humjui tu
kwa kuuwa vikongwe?. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa wewe huoni kua mkoani wanaume hawataki mzaha?
Yaani inakela sana kuona wanaume wenzetu wakiwa na tabia za kike mkuuMkuu hawa watu chips zinawalainisha wanakuwa kama wa kike kike aisee. [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
mnajuanaMwishoni mwa miaka ya tisini,mwanzoni mwa miaka ya 2000 hadi around mwaka 2014/15 maeneo ya Ubungo kuna kundi la watoto wa kihuni lililojulikana kama "Matembo".Kundi hili lilijumuisha watoto wa Ubungo na Kagera...
Kila memba wa kundi hili alijulikana kwa jina lake plus Matembo yani kama MTU aliitwa X basi angejulikana kwa jina la X Matembo..
Tetesi kitaani zinasema Hamidu Matembo kiongozi mkuu wa Matembo wa Ubungo amekatwa mguu mmoja.
Chanzo cha kukatwa mguu inasemekana walienda " kiwanja" ( kuvamia) Hamidu akapigwa mkwaju wa mguu jambo lililopelekea Hamidu kukatwa mguu wake baadae kwa sababu inasemekana alichelewa kuupeleka hospitali kutokana na mazingira ya tukio..
During his prime Hamidu Matembo alitesa sana watu ..
Mpaka sasa bado sijathibitisha kama tetesi hizi ni za ukweli au vinginevyo though nimezipata muda mrefu kidogo
vijana wa mikoani endeleeni kuuwa vikongwe na watu wenye ulemavu wa ngozi.[emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaani inakela sana kuona wanaume wenzetu wakiwa na tabia za kike mkuu
Ndani mkuuNdichi ndiyo nini?
Alikuwa balaa sana huyu jamaa nikipata picha ya jinsi alivyokatwa nitaileta jamvini amesumbua sana huyu jamaa.Weka picha mkuu..
Mbeya nimesikia kuna Wakorea weusiWewe ushawahi sikia mkoani kuna vikundi vya kijingajinga hivyo? Mara Tembo,mara sijui panya road mara sijui nn yoso? Hebu kuweni majasili aiseee acheni kula chips na kuku matahira na burger.
Alikuwa balaa sana huyu jamaa nikipata picha ya jinsi alivyokatwa nitaileta jamvini amesumbua sana huyu jamaa.Alikuwa balaa sana huyu jamaa nikipata picha ya jinsi alivyokatwa nitaileta jamvini amesumbua sana huyu jamaa.Weka picha mkuu..