Tetesi: Nasikia Hamidu Matembo amekatwa mguu?

Tetesi: Nasikia Hamidu Matembo amekatwa mguu?

we bwege sana ujue...hivi unamjua heri mzozo wewe au big papa... au ushawahi kusikia mabalaa ya kitaani ya bondia marehemu thomas mashari?.
Huo sasa ndio ubwege niliosema sasa, hivi nyinyi wanaume wa Dar ni nani alie waroga ninyi??? Mwanaume hupashwi kuogopa. jombaa,, yaani huoni hata aibu kumsifia dume mwenzio eti oooh unamjua heri mzoo wewe!! Hovyo kabisa wewe dadeq
 
Hivi Hero Mzozo yupo?Somebody told me amekuwa MTU wa mkeka
yupo na kajaa tele ila utu uzima unazidi kuchukua nafasi....siku hizi kawa mtu muungwana sana.

kawa dingile.
c928fa0afe66024432f036ebea2d5df2.jpg
 
Huo sasa ndio ubwege niliosema sasa, hivi nyinyi wanaume wa Dar ni nani alie waroga ninyi??? Mwanaume hupashwi kuogopa. jombaa,, yaani huoni hata aibu kumsifia dume mwenzio eti oooh unamjua heri mzoo wewe!! Hovyo kabisa wewe dadeq
shida ya vijana wa mikoani au wale mliongia dar mkiwa watu wazima ni ushamba na kukosa exposure.

matokeo yake mnaishia kutulaumu sisi vijana wa "don town" kana kwamba ndio tuliowasababishia matatizo yenu ya huko mikoani.

povu ruksa. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Huo sasa ndio ubwege niliosema sasa, hivi nyinyi wanaume wa Dar ni nani alie waroga ninyi??? Mwanaume hupashwi kuogopa. jombaa,, yaani huoni hata aibu kumsifia dume mwenzio eti oooh unamjua heri mzoo wewe!! Hovyo kabisa wewe dadeq
Mkuu hawa watu chips zinawalainisha wanakuwa kama wa kike kike aisee. [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Wewe ushawahi sikia mkoani kuna vikundi vya kijingajinga hivyo? Mara Tembo,mara sijui panya road mara sijui nn yoso? Hebu kuweni majasili aiseee acheni kula chips na kuku matahira na burger.
ila vikundi vya vijana ambao wanafanya mauaji kwa akina mama na vibibi vizee kwa tuhuma za kichawi nishazisikia sana.

hapa dar hakuna ujinga kama huo.
[emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
IMG_20180410_065644.jpg
 
Mkuu hawa watu chips zinawalainisha wanakuwa kama wa kike kike aisee. [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
watu wa mikoani mna ujinga sana....pls limeni mazao kwa wingi... sisi tutakuja kununua kwa bei ya jumla. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
ila vikundi vya vijana ambao wanafanya mauaji kwa akina mama na vibibi vizee kwa tuhuma za kichawi nishazisikia sana.

hapa dar hakuna ujinga kama huo.
[emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] View attachment 739974
Sasa wewe huoni kua mkoani wanaume hawataki mzaha??
IMG-20180321-WA0041.jpg
 
Mwishoni mwa miaka ya tisini,mwanzoni mwa miaka ya 2000 hadi around mwaka 2014/15 maeneo ya Ubungo kuna kundi la watoto wa kihuni lililojulikana kama "Matembo".Kundi hili lilijumuisha watoto wa Ubungo na Kagera...

Kila memba wa kundi hili alijulikana kwa jina lake plus Matembo yani kama MTU aliitwa X basi angejulikana kwa jina la X Matembo..

Tetesi kitaani zinasema Hamidu Matembo kiongozi mkuu wa Matembo wa Ubungo amekatwa mguu mmoja.

Chanzo cha kukatwa mguu inasemekana walienda " kiwanja" ( kuvamia) Hamidu akapigwa mkwaju wa mguu jambo lililopelekea Hamidu kukatwa mguu wake baadae kwa sababu inasemekana alichelewa kuupeleka hospitali kutokana na mazingira ya tukio..

During his prime Hamidu Matembo alitesa sana watu ..

Mpaka sasa bado sijathibitisha kama tetesi hizi ni za ukweli au vinginevyo though nimezipata muda mrefu kidogo
mnajuana
 
Wewe ushawahi sikia mkoani kuna vikundi vya kijingajinga hivyo? Mara Tembo,mara sijui panya road mara sijui nn yoso? Hebu kuweni majasili aiseee acheni kula chips na kuku matahira na burger.
Mbeya nimesikia kuna Wakorea weusi
 
Ila Hamidu pamoja na uhuni wote,ni mtu mpenda haki sana.Hata kama ulikuwa umeibiwa simu,ukimfuata Hamidu kulikuwa na uwezekano wa kuipata simu yako.Kandahar zone wanajua hilo.
Ila kuna siku alipigwa na ustadh mmoja hivi wale wa kuvaa kanzu fupi pale stendi ya shamba.
 
Alikuwa balaa sana huyu jamaa nikipata picha ya jinsi alivyokatwa nitaileta jamvini amesumbua sana huyu jamaa.
Weka picha mkuu..
Alikuwa balaa sana huyu jamaa nikipata picha ya jinsi alivyokatwa nitaileta jamvini amesumbua sana huyu jamaa.Alikuwa balaa sana huyu jamaa nikipata picha ya jinsi alivyokatwa nitaileta jamvini amesumbua sana huyu jamaa.
 
Back
Top Bottom