Tetesi: Nasikia Hamidu Matembo amekatwa mguu?

Aisee.. wanaume wa dar bhana. Yani kamtu kama haka ndo mnakaogopa? What a shame?
huyo mseng.e mkono wake una 'muku'ukila light moja hurudi...mzozo alikuwa anatiririsha defenda inasepa..naon siku hiz tagi kwa madogo..ukienda bar mpya utaon wakina jibaba,wakutimba,iddi bonge tongololo,..wakali wa danta..watu bado wanasumbua.
 
sema ulikuwa 'hausi boyi'
 
Mzee Njowoka wa Sinza?🙁🙁🙁
 
Segedansi
doxii
Ndichi

Ndo nini mkuu!!
 
Igoma kuna wezi hadi leo hii wanajiita wazambili,wanawahenyesha kinooma
 
Hapa muhenga haambulii kitu😀😀
 
huyo mseng.e mkono wake una 'muku'ukila light moja hurudi...mzozo alikuwa anatiririsha defenda inasepa..naon siku hiz tagi kwa madogo..ukienda bar mpya utaon wakina jibaba,wakutimba,iddi bonge tongololo,..wakali wa danta..watu bado wanasumbua.
[emoji13] hatari sana Idd Bonge si alikuwa anakusanya ushuru soko la mwenge hivi bado yupo pale mpaka sasa ?
 
Niliwahi kuishi Mwanza pale mabatini kwenye kambi ya FFU way back.. Pale Mabatini Nyumba kama hakuna mtoto kahaba anaejiuza basi kuna wanauza gongo.

Nakumbuka watoto wa Sakala wale kulwa na dotto na crew lao wakipambana na Manyilizu waliowafuata hadi kwao pale mabatini..ilikuwa Kosovo kama la dakika tano tu but damu ilikuwa inanuka hadi hewani ni mwendo wa bisibisi, mapanga, minyororo ya baiskeli, vyupa vya bia vinapishana tu hewani.

At that time nishakuwa na roho ngumu sana maana nilisoma shule ya Buswelu way back tunaitwa Mabush runner kipindi hicho shule yetu ilikuwa ina vurugu kuliko shule yeyote ile Mwanza inamilikiwa na wakulima unakuta mwanafunzi wa form one ana miaka 29 kudadadeki na mshkaji wangu alishapigwaga na shoka likazama kichwani tukiwa kwenye michezo na Lake secondary..nilijikuta na Mimi nimekuwa Mafioso tu ili kujihami. Daah!

Those days were horrible sana.
 
Sasa hilo tumbo akileta mzozo si atachafua barabara ya mwendokasi wakiamua kulitumbua?

hilo tumbo ni kwasababu ya umri kuanza kumtupa mkono,ila jamaa bado ana ubavu usio wa kawaida.

enzi za ujana wake alikuwa na umbo la kimazoezi.


acha nikupe assignment ndogo.
mara nyingi heri mzozo huwa anapatikana uwanja wa taifa siku inapocheza azam fc au siku kunapokuwa na game kubwa ya simba vs yanga.

heri hupenda kukaa jukwaa la simba. hata mechi ijayo ya simba vs yanga ambayo itachezwa tarehe 29/04/2018, heri atakuwepo jukwaa la simba.

sasa assignment yangu ni wewe umsogolee halafu mtupie maneno ya karaha kuhusu tumbo lake.

nitakuwepo uwanjani na ki-IST changu nikisubiri kukubeba kukuwaisha hospital.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…