Tetesi: Nasikia Hamidu Matembo amekatwa mguu?

Huyo ustadhi atakuwa yupo njema sana
 
Ustaadhi itakuwa alishawahi kucheza michezo ya kichina
 
huyo mseng.e mkono wake una 'muku'ukila light moja hurudi...mzozo alikuwa anatiririsha defenda inasepa..naon siku hiz tagi kwa madogo..ukienda bar mpya utaon wakina jibaba,wakutimba,iddi bonge tongololo,..wakali wa danta..watu bado wanasumbua.
Bar mpya ipi jombaa Zimbabwe pub? Kama in hiyo sisi ndio wafunguzi wa awali kabisa sijui OK bar dany star sarimbo chidya kwa machoko tupa kule.
 
huyo mseng.e mkono wake una 'muku'ukila light moja hurudi...mzozo alikuwa anatiririsha defenda inasepa..naon siku hiz tagi kwa madogo..ukienda bar mpya utaon wakina jibaba,wakutimba,iddi bonge tongololo,..wakali wa danta..watu bado wanasumbua.
Danta ndo nini
 
Acha fix wewe huyo heri nilishamkalisha ga mateke mawili tu ya mbavu akakaa chini anakohoa damu anashindwa hata
Kusimama nilimpasua baada ya kutaka kunipora malaya wa kiarabu bar
 
vipi kuhusu dame wa sinza?... hujawawi msikia?... maana mwenge na sinza ni maeneo jirani.
Dame mkobo, alikuwa na mdogo wake anajiita haji mbabe, walituanzishia timbwili msikiti wa sinza palestina sitakaa nisahau, ila kuna siku dame alipigana na fike wilson(mfike) ilikuwa balaa pale sinza kijiweni, mfike alikuwa anaandaa mashindano ya mr tz kila mwaka ushindi anajipa yeye tu
 
Huyo ustadhi atakuwa yupo njema sana
Ugomvi ulikuwa hivi:
Ustadh alikuwa kapanda coster ya kwenda Chalinze,na ipo level seats.Coster inachelewa kuondoka wanajaziajazia vichwa.Ustadh akamaind,yakaanza matusi kati ya konda na ustadh.Wazee wa kitengo,tembo Hamidu akaingilia mzozo kwa ubabe na matusi juu.Ustadh akaona isiwe tabu akashuka likawekwa pambano mtu mbili tu.
Hamidu karusha kitasa ustadh akakiona kakwepa akampa ngumi mbili takatifu za kidevu tembo Hamidu chalii.Wahuni wote wakasambaratika.
 
Acha fix wewe huyo heri nilishamkalisha ga mateke mawili tu ya mbavu akakaa chini anakohoa damu anashindwa hata
Kusimama nilimpasua baada ya kutaka kunipora malaya wa kiarabu bar
basi sawa
 
huyo mseng.e mkono wake una 'muku'ukila light moja hurudi...mzozo alikuwa anatiririsha defenda inasepa..naon siku hiz tagi kwa madogo..ukienda bar mpya utaon wakina jibaba,wakutimba,iddi bonge tongololo,..wakali wa danta..watu bado wanasumbua.
Dah..."Muku"....umenikumbusha nikiwa junki tanga...ukiskia mtu ana muku...huthubutu kurusha ngumi....[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Uyo hamidu Alikuwa mbavu??
 
Duuuh!!!
 
Kalapina Mzee wa Kikosi
 
Geseco ilikuwa zaidi ya Torabora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…