smartj
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 296
- 152
Mkoa wanakamatwa wa3 ama wanne wanachomwa moto uwo mchezo unaishaKama kawaida yenu wanaume wa Dar kudadeq zenu, yaani vitoto vinajikusanya huko mtaani midume mizima mnaogopa kuvitia adabu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkoa wanakamatwa wa3 ama wanne wanachomwa moto uwo mchezo unaishaKama kawaida yenu wanaume wa Dar kudadeq zenu, yaani vitoto vinajikusanya huko mtaani midume mizima mnaogopa kuvitia adabu,
Mguu ulishakatwa, hanao tena, utauona aje?Shida sio kumjua bali ni kuuona uo mguu wa Matembo uliokatwa.
@likud downtown kitamboLugha ya hapa ni ya watu maalum.
Mzee kifimbo cheza pita huku kuna mtu anaongelea ndichi.
Hawez Kwa hta Kwa dawa. Anamuogopa balaaaWeka picha mkuu..
Wewe lazima utakua wa mitaa ya Ghana Mjimwema au MabatiniNyashana ulikua unawakuta Mbugani sec ambao watoto wengi wa ile shule walikua wa mabatin uswahilini rufiji na uhuru na wengine watoto wa washashi genge la masamaki. Sema kule vita ilikua sio saana sabab ya kambi ya jeshi
Segadansi = SegereaHamidu alikaa Segedansi kama miezi minane hivi.Nadhani ilikuwa mwaka 2015.Alimdhulumu laptop bro mmoja hivi MTU wa system halafu alikuwa na affiliation na watu wa doxii.Jamaa akamletea wazee.Alikaa ndani muda mrefu sana.Hata baba ake Mzee Njohoka wakati anavuta hadi anaenda kuzikwa kwao Songea ,Hamidu alikuwa Ndichi
Sijui nacho nikiswahili nimekosa jibuNdichi ndiyo nini?
Wakorea wanatokea Dar au wapi???? Karibu Dar mlugaluga mkiwa watoto ndio ilikua ndoto yenu kukanyaga down townWewe ushawahi sikia mkoani kuna vikundi vya kijingajinga hivyo? Mara Tembo,mara sijui panya road mara sijui nn yoso? Hebu kuweni majasili aiseee acheni kula chips na kuku matahira na burger.
Mwenge na kagera wapi na wapi?Aise mie nimeingia Dar tangu 2000 lakini huyo jamaa simjui aise,na niliishi maghorofani hapo Mwenge jeshini block H kwa bi mkubwa but sikuwahi kulisikia hilo kundi aloh!
True mkuu, though sikuikuta geseco ikiwa kwenye pick yake lkn niliyo ya shuhudia na stories za yaliyopita kiukweli zinatisha mfano lile bweni linaitwa mochwari naskia kuna dereva tax aliuawa na wanafunzi mule, anyway niliinjoy kuiishi kwakivuli cha historia ya ubabe, kitaa wakijua wewe ni mwafunzi wa GESECO basis heshima tu.Geseco ilikuwa zaidi ya Torabora
Mshahara wa dhambi ni mauti. Km kavunjwa mguu kwa wizi hapo imekaa njema sana.Duh kama humjui humjui tu
Ilikuwa shida Mkuu Buswelu wenyewe waliwahi kuja kucheza game wakashinda, Vitasa walivyochezea hawatasahau.True mkuu, though sikuikuta geseco ikiwa kwenye pick yake lkn niliyo ya shuhudia na stories za yaliyopita kiukweli zinatisha mfano lile bweni linaitwa mochwari naskia kuna dereva tax aliuawa na wanafunzi mule, anyway niliinjoy kuiishi kwakivuli cha historia ya ubabe, kitaa wakijua wewe ni mwafunzi wa GESECO basis heshima tu.
mwanzaIgoma sehemu gani??
Kama hiyo ni " exposure" basi habari ya viwanda isubiri awamu ya kumi!shida ya vijana wa mikoani au wale mliongia dar mkiwa watu wazima ni ushamba na kukosa exposure.
matokeo yake mnaishia kutulaumu sisi vijana wa "don town" kana kwamba ndio tuliowasababishia matatizo yenu ya huko mikoani.
povu ruksa. [emoji23] [emoji23] [emoji23]