Nasikia kama huna GPA ya 3 sahau kuwa Mwalimu wa sekondari

Nasikia kama huna GPA ya 3 sahau kuwa Mwalimu wa sekondari

Hii sio Sawa. Bora iludishwe tamisemi tuu. Nimesikia utaratibu wanaotaka kuutumia Sasa hivi ni kama ule wa kufundisha chuo àmbapo Kwa chuo kama huna GPA kuanzia 3.8 huwezi kuwa Mwalimu wa chuo.
Hiyo ni kuludishana nyuma. Wangesema mapema tangu tuko chuo. Huu uonevu. Bola watufikilie na sisi wenye 2.8
We si ndo ulikuwa unagoma kwenda kwenye interview Kagera kisa umbali? Kumbe una GPA ya chini chini halafu bado unakuwa mtata....
 
GPA zina mambo mengi jamani...

Tumefundishwa na lecture ambaye ukichangia nae demu, hata uwe na uwezo kiasi gani hutoboi...

Wakizingatia GPA wataonea watu, vyuoni kuna mengi.
Still bado ndo mfumo unaoweza kuku guarantee kupata mwalimu mzuri. Issue ya mtu kupata GPA ya 2.1 kwa asilimia nyingi sana unakuta ni mwalimu mwenye low IQ.

Japo simaanishi kwamba wenye GPA za first class watakuwa walimu wazuri, ila wengi wao ni walimu wazuri
 
Still bado ndo mfumo unaoweza kuku guarantee kupata mwalimu mzuri. Issue ya mtu kupata GPA ya 2.1 kwa asilimia nyingi sana unakuta ni mwalimu mwenye low IQ.

Japo simaanishi kwamba wenye GPA za first class watakuwa walimu wazuri, ila wengi wao ni walimu wazuri
Unazifahamu GPA za chup!?

GPA ya kweli iko diploma na grade A, chuo kikuu mauzauza mengi.
 
Unazifahamu GPA za chup!?

GPA ya kweli iko diploma na grade A, chuo kikuu mauzauza mengi.
Naongea kwa probability terms... nazifahamu ndio lakini pia utokeaji wake ni mara chache sana..... yaaani mtu una 30 courses from 1st to 3rd year zenye walimu tofauti tofauti, halafu awavulie chup walimu 30 na zaidi ili apate 1st Class...? Ni very rare case, sema watu hupenda ku generalize.

By more than 97% ukiona mtu ana GPA ya first class huyo ni mtabe original..
 
Naongea kwa probability terms... nazifahamu ndio lakini pia utokeaji wake ni mara chache sana..... yaaani mtu una 30 courses from 1st to 3rd year zenye walimu tofauti tofauti, halafu awavulie chup walimu 30 na zaidi ili apate 1st Class...? Ni very rare case, sema watu hupenda ku generalize.

By more than 97% ukiona mtu ana GPA ya first class huyo ni mtabe original..
Sure
 
Naongea kwa probability terms... nazifahamu ndio lakini pia utokeaji wake ni mara chache sana..... yaaani mtu una 30 courses from 1st to 3rd year zenye walimu tofauti tofauti, halafu awavulie chup walimu 30 na zaidi ili apate 1st Class...? Ni very rare case, sema watu hupenda ku generalize.

By more than 97% ukiona mtu ana GPA ya first class huyo ni mtabe original..
Vijana wengi vyuoni hawasomi, ule uhuru wanautumia vibaya.

Ni wachache ambao factors kama hizo kutongozwa na wakufunzi, ada na/ magonjwa ndio vinawafelisha.
Wengi wao hawasomi mzee
 
Hii sio Sawa. Bora iludishwe tamisemi tuu. Nimesikia utaratibu wanaotaka kuutumia Sasa hivi ni kama ule wa kufundisha chuo àmbapo Kwa chuo kama huna GPA kuanzia 3.8 huwezi kuwa Mwalimu wa chuo.
Hiyo ni kuludishana nyuma. Wangesema mapema tangu tuko chuo. Huu uonevu. Bola watufikilie na sisi wenye 2.8
Hiyo GPA ndogo sana, jitahidi ukafanye kazi halmashauri au mahala pengine ila si kutufundishia watoto.
 
Walimu walio wengi ni empty set na ndo maana wanakataa interview... Km chuo ulishindwa kufurukuta ukatoboa na gpa kubwa utawezaje kuwaelimisha madaktari wa baadae wakaelimika vya kutosha?
Kwani hujui walimu ni watu wa aina gani kiufaulu kuanzia secondary jamani ama unajifanya hamnazo
jamesharrissimons1.jpg
 
Back
Top Bottom