Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kigezo hicho inabidi ualimu iwe fani inayopokea pesa ndefu kuliko zinginee.Katika hilo ni sahihi kabisa Mwalimu kimsingi anatakiwa awe fit hasa sasa unapata ma GPA ya chini utafundisha nini?
Wapo sawa kabisa. Pamoja na elimu yetu kuwa na kasoro, lakini mwl mwenye GPA ya chini ukichunguza hata uelewa wake wa masomo anayofundisha unakuwa chini!Hii sio Sawa. Bora iludishwe tamisemi tuu. Nimesikia utaratibu wanaotaka kuutumia Sasa hivi ni kama ule wa kufundisha chuo àmbapo Kwa chuo kama huna GPA kuanzia 3.8 huwezi kuwa Mwalimu wa chuo.
Hiyo ni kuludishana nyuma. Wangesema mapema tangu tuko chuo. Huu uonevu. Bola watufikilie na sisi wenye 2.8
Wapo sawa kabisa. Pamoja na elimu yetu kuwa na kasoro, lakini mwl mwenye GPA ya chini ukichunguza hata uelewa wake wa masomo anayofundisha unakuwa chini!
Nasikia kama unafungua fungua nyuzi za kiwaki hapa Jamii forum, sahau kuwa expert member wa JFHii sio Sawa. Bora iludishwe tamisemi tuu. Nimesikia utaratibu wanaotaka kuutumia Sasa hivi ni kama ule wa kufundisha chuo àmbapo Kwa chuo kama huna GPA kuanzia 3.8 huwezi kuwa Mwalimu wa chuo.
Hiyo ni kuludishana nyuma. Wangesema mapema tangu tuko chuo. Huu uonevu. Bola watufikilie na sisi wenye 2.8
Waziri wa awamu ya nne mwenyewe alikuwa na Gentleman moja tuliìiiiivu.Mbona Hadi mawaziri wengine Wana 2.4
Naunga mkono. Tuangalie pia mstakabali wa watoto wetu wa kitanzania. Wanahitaji waelekezi Bora. Hizi cases za watu kubaka wanafunzi, kupiga mpk kuua kugombania" mademu" na wanafunzi huenda inachangiwa na low GPAs. Na wakati huu imeshamiri. Wazaz tunapata wasiwas watoto wakiwa mikononi mwa hao watu. Kama maafa hata hayaja kugusa unaweza usielewe vzr.Walimu wa ngazi zote kiukweli na ulazima wanatikiwa waweza vichwa. Wapasue mpaka hata 4 GPA.
Vilaza mtawafundisha nini watoto zaidi ya ulaza?!
Hii iwe pia funzo Kwa walioko huko wanaoendelea kuendekeza ngono zembe na kuzalisha watoto kisa ataajiriwa hata akipata GPA ya -2.Wanafunzi vyuoni wazembe wengi vilaza na GPA za kizembe afu ndo wanataka wawe walimu, haifai kabisa
Ni haohao ambao wengi wao hawana enough contents vichwani mwao... Yaani hawa ndo husababisha na sekta nyingine zote tuwe na wasomi duni... Ety daktari kabaka mgonjwa, seriously?Kwani hujui walimu ni watu wa aina gani kiufaulu kuanzia secondary jamani ama unajifanya hamnazoView attachment 3130103
Iludishwe ❌️Hii sio Sawa. Bora iludishwe tamisemi tuu. Nimesikia utaratibu wanaotaka kuutumia Sasa hivi ni kama ule wa kufundisha chuo àmbapo Kwa chuo kama huna GPA kuanzia 3.8 huwezi kuwa Mwalimu wa chuo.
Hiyo ni kuludishana nyuma. Wangesema mapema tangu tuko chuo. Huu uonevu. Bola watufikilie na sisi wenye 2.8
Mimi najua kama una GPA below 3.3 ushakosa nafasi.Hii sio Sawa. Bora iludishwe tamisemi tuu. Nimesikia utaratibu wanaotaka kuutumia Sasa hivi ni kama ule wa kufundisha chuo àmbapo Kwa chuo kama huna GPA kuanzia 3.8 huwezi kuwa Mwalimu wa chuo.
Hiyo ni kuludishana nyuma. Wangesema mapema tangu tuko chuo. Huu uonevu. Bola watufikilie na sisi wenye 2.8
nsMimi najua kama una GPA below 3.3 ushakosa nafasi.
Kutakuwa na kilio na kusaga meno kama una Gentleman GPA kama ya Jk wa pili.Mnalishana tango pori
ns
Utakuta mwenye 4.0 anaachwa wa 2.0 anakula ajiraKutakuwa na kilio na kusaga meno kama una Gentleman GPA kama ya Jk wa pili.