Nasikia kama huna GPA ya 3 sahau kuwa Mwalimu wa sekondari

Nasikia kama huna GPA ya 3 sahau kuwa Mwalimu wa sekondari

Hii sio Sawa. Bora iludishwe tamisemi tuu. Nimesikia utaratibu wanaotaka kuutumia Sasa hivi ni kama ule wa kufundisha chuo àmbapo Kwa chuo kama huna GPA kuanzia 3.8 huwezi kuwa Mwalimu wa chuo.
Hiyo ni kuludishana nyuma. Wangesema mapema tangu tuko chuo. Huu uonevu. Bola watufikilie na sisi wenye 2.8
Wapo sawa kabisa. Pamoja na elimu yetu kuwa na kasoro, lakini mwl mwenye GPA ya chini ukichunguza hata uelewa wake wa masomo anayofundisha unakuwa chini!
 
Wapo sawa kabisa. Pamoja na elimu yetu kuwa na kasoro, lakini mwl mwenye GPA ya chini ukichunguza hata uelewa wake wa masomo anayofundisha unakuwa chini!

wa namna hiyo ndio ccm wanawataka ili iwe rahisi kuwatumia ktk uchaguzi na ktk kufundisha watafundisha ili mradi tu watoto wamalize shule na sio kuangalia ufaulu na ufanisi wa kufundisha

ujinga wa jamii ndio mtaji wa ccm kuwepo madarakani

mdogo wangu mtoa mada usiwe na wasiwasi na GPA yako ya 2.8 ajira kwako imeshabihana na vigezo vya watawala. Nan atapinga?

hata kule ktk polisi wanataka wenye division 4 au 0 ili iwe rahisi kuwatuma kwa maslahi ya chama, pia mwenye division hizo ni ngumu kujiendeleza kielimu
 
Hii sio Sawa. Bora iludishwe tamisemi tuu. Nimesikia utaratibu wanaotaka kuutumia Sasa hivi ni kama ule wa kufundisha chuo àmbapo Kwa chuo kama huna GPA kuanzia 3.8 huwezi kuwa Mwalimu wa chuo.
Hiyo ni kuludishana nyuma. Wangesema mapema tangu tuko chuo. Huu uonevu. Bola watufikilie na sisi wenye 2.8
Nasikia kama unafungua fungua nyuzi za kiwaki hapa Jamii forum, sahau kuwa expert member wa JF
 
Walimu wa ngazi zote kiukweli na ulazima wanatikiwa waweza vichwa. Wapasue mpaka hata 4 GPA.
Vilaza mtawafundisha nini watoto zaidi ya ulaza?!
Naunga mkono. Tuangalie pia mstakabali wa watoto wetu wa kitanzania. Wanahitaji waelekezi Bora. Hizi cases za watu kubaka wanafunzi, kupiga mpk kuua kugombania" mademu" na wanafunzi huenda inachangiwa na low GPAs. Na wakati huu imeshamiri. Wazaz tunapata wasiwas watoto wakiwa mikononi mwa hao watu. Kama maafa hata hayaja kugusa unaweza usielewe vzr.
 
Hii sio Sawa. Bora iludishwe tamisemi tuu. Nimesikia utaratibu wanaotaka kuutumia Sasa hivi ni kama ule wa kufundisha chuo àmbapo Kwa chuo kama huna GPA kuanzia 3.8 huwezi kuwa Mwalimu wa chuo.
Hiyo ni kuludishana nyuma. Wangesema mapema tangu tuko chuo. Huu uonevu. Bola watufikilie na sisi wenye 2.8
Iludishwe ❌️
Irudishwe ✅️

Kuludishana ❌️
Kurudishana ✅️

Bola ❌️
Bora ✅️

Watufikilie ❌️
Watufikirie ✅️

Duh, kwa hicho Kiswahili chako, wanafunzi wako watapata tabu sana.

Samahani, una degree ya nini kutoka chuo gani?
 
Hii sio Sawa. Bora iludishwe tamisemi tuu. Nimesikia utaratibu wanaotaka kuutumia Sasa hivi ni kama ule wa kufundisha chuo àmbapo Kwa chuo kama huna GPA kuanzia 3.8 huwezi kuwa Mwalimu wa chuo.
Hiyo ni kuludishana nyuma. Wangesema mapema tangu tuko chuo. Huu uonevu. Bola watufikilie na sisi wenye 2.8
Mimi najua kama una GPA below 3.3 ushakosa nafasi.
 
Simu Ikaita!!!
Kwenye simu: ...weee Sidee!!
Side: eeeeh nani mwenzangu??
Kwenye simu: mimi baba yako!!
Side; aah kumbe wa ni baba???
Baba: eeh
Side:..aaah ahh, sasaaa we baba mwenye nyumba au Baba muumba mbingu???
 
Back
Top Bottom