Nasikia kama huna GPA ya 3 sahau kuwa Mwalimu wa sekondari

Nasikia kama huna GPA ya 3 sahau kuwa Mwalimu wa sekondari

Haya mambo sijui ni DIVISION au GPA huwa hayana uhalisia wa kile mhitimu alichojifunza na kujifunza shuleni na chuoni, ni matokeo tu ya mtihani mmoja tu wa mwisho utakachopata alama/maksi ndio huchukuliwa kuwa ni kipimo cha uwezo wako wa kumudu stadi na maarifa hayo kumbe ni upuuzi tu. Ukifanya mitihani miwili, mitatu au minne utapata matokeo tofauti. kuna mtihani utapata maksi nyingi na kuna mtihani utapata kidogo. Huwa haijulikani matokeo utapata maksi kiasi gani kwa mtihani mmoja ambao ndio hutoa hatma ya muelekeo wako kitaaluma na ajira kulingana na kiwango cha ufaulu kilichowekwa
Umenikumbusha enzi izo TULIKUAGA TUNAWASIKIA WAKITANIANA ""MWALIMU NI CONTENT SIO GPA"""

TUNACHEKAAAA☺️☺️😊😊🤣🤣😂😂
 
Haya mambo sijui ni DIVISION au GPA huwa hayana uhalisia wa kile mhitimu alichojifunza na kujifunza shuleni na chuoni, ni matokeo tu ya mtihani mmoja tu wa mwisho utakachopata alama/maksi ndio huchukuliwa kuwa ni kipimo cha uwezo wako wa kumudu stadi na maarifa hayo kumbe ni upuuzi tu. Ukifanya mitihani miwili, mitatu au minne utapata matokeo tofauti. kuna mtihani utapata maksi nyingi na kuna mtihani utapata kidogo. Huwa haijulikani matokeo utapata maksi kiasi gani kwa mtihani mmoja ambao ndio hutoa hatma ya muelekeo wako kitaaluma na ajira kulingana na kiwango cha ufaulu kilichowekwa
ACHA KULIA LIA NYIE NDIO MNASEMAGA CHUO BATA NAKUTANIA WENZENU WANASOMESHWA NA KIJIJI
 
Naona walimu mmesahau kabisa suala la interview siku zinazidi kwenda wale wanaojifariji kwamba pdf itatoka mwezi huu keep in mind, wake up January 15 interview zitaanza
 
Hii sio Sawa. Bora iludishwe tamisemi tuu. Nimesikia utaratibu wanaotaka kuutumia Sasa hivi ni kama ule wa kufundisha chuo àmbapo Kwa chuo kama huna GPA kuanzia 3.8 huwezi kuwa Mwalimu wa chuo.
Hiyo ni kuludishana nyuma. Wangesema mapema tangu tuko chuo. Huu uonevu. Bola watufikilie na sisi wenye 2.8

Who cares?
 
Naona walimu mmesahau kabisa suala la interview siku zinazidi kwenda wale wanaojifariji kwamba pdf itatoka mwezi huu keep in mind, wake up January 15 interview zitaanza
Maana watu wanasema oooh wamechagua kulingana na gpa uliambiwa na Nani, utumishi hawaajiri bila interview. Leo tarehe 10 pdf bado mnaojidanganya kua mwezi huu wataachia mkeka amkeni usingizini
 
Maana watu wanasema oooh wamechagua kulingana na gpa uliambiwa na Nani, utumishi hawaajiri bila interview. Leo tarehe 10 pdf bado mnaojidanganya kua mwezi huu wataachia mkeka amkeni usingizini
Si uendelee wewe kujiandaa na interview,,,hakuna aliyekukataza,we jiandae Ili ambao hawajiandai waferi
 
Hii sio Sawa. Bora iludishwe tamisemi tuu. Nimesikia utaratibu wanaotaka kuutumia Sasa hivi ni kama ule wa kufundisha chuo àmbapo Kwa chuo kama huna GPA kuanzia 3.8 huwezi kuwa Mwalimu wa chuo.
Hiyo ni kuludishana nyuma. Wangesema mapema tangu tuko chuo. Huu uonevu. Bola watufikilie na sisi wenye 2.8
Saf sana hii nataka wote tusote mtaani mm niliye achia darasa la saba mkondo C na nyie wasomi
 
Hii sio Sawa. Bora iludishwe tamisemi tuu. Nimesikia utaratibu wanaotaka kuutumia Sasa hivi ni kama ule wa kufundisha chuo àmbapo Kwa chuo kama huna GPA kuanzia 3.8 huwezi kuwa Mwalimu wa chuo.
Hiyo ni kuludishana nyuma. Wangesema mapema tangu tuko chuo. Huu uonevu. Bola watufikilie na sisi wenye 2.8
Na ww ni mwalimu ? Kama huwez na haujui matumiz ya L na R utawezaje kufundsha watot
 
Maana watu wanasema oooh wamechagua kulingana na gpa uliambiwa na Nani, utumishi hawaajiri bila interview. Leo tarehe 10 pdf bado mnaojidanganya kua mwezi huu wataachia mkeka amkeni usingizini
Jombaaaa jiandae vyema
 
Bora achaguliwe wa 3.5 ili akazalishe GPA ya 3. Kuliko kuchukua wa 2.8 kisha akazalishe nn? Uko shule
All the best
 
Back
Top Bottom