Nasikia kama huna GPA ya 3 sahau kuwa Mwalimu wa sekondari

Umenikumbusha enzi izo TULIKUAGA TUNAWASIKIA WAKITANIANA ""MWALIMU NI CONTENT SIO GPA"""

TUNACHEKAAAAโ˜บ๏ธโ˜บ๏ธ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
ACHA KULIA LIA NYIE NDIO MNASEMAGA CHUO BATA NAKUTANIA WENZENU WANASOMESHWA NA KIJIJI
 
Naona walimu mmesahau kabisa suala la interview siku zinazidi kwenda wale wanaojifariji kwamba pdf itatoka mwezi huu keep in mind, wake up January 15 interview zitaanza
 

Who cares?
 
Naona walimu mmesahau kabisa suala la interview siku zinazidi kwenda wale wanaojifariji kwamba pdf itatoka mwezi huu keep in mind, wake up January 15 interview zitaanza
Maana watu wanasema oooh wamechagua kulingana na gpa uliambiwa na Nani, utumishi hawaajiri bila interview. Leo tarehe 10 pdf bado mnaojidanganya kua mwezi huu wataachia mkeka amkeni usingizini
 
Maana watu wanasema oooh wamechagua kulingana na gpa uliambiwa na Nani, utumishi hawaajiri bila interview. Leo tarehe 10 pdf bado mnaojidanganya kua mwezi huu wataachia mkeka amkeni usingizini
Si uendelee wewe kujiandaa na interview,,,hakuna aliyekukataza,we jiandae Ili ambao hawajiandai waferi
 
Saf sana hii nataka wote tusote mtaani mm niliye achia darasa la saba mkondo C na nyie wasomi
 
Na ww ni mwalimu ? Kama huwez na haujui matumiz ya L na R utawezaje kufundsha watot
 
Maana watu wanasema oooh wamechagua kulingana na gpa uliambiwa na Nani, utumishi hawaajiri bila interview. Leo tarehe 10 pdf bado mnaojidanganya kua mwezi huu wataachia mkeka amkeni usingizini
Jombaaaa jiandae vyema
 
Bora achaguliwe wa 3.5 ili akazalishe GPA ya 3. Kuliko kuchukua wa 2.8 kisha akazalishe nn? Uko shule
All the best
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ