Dogo unatakiwa ujue Kuna muda unaandika kitu humu JF ukiwa unafanya kazi fulani,au labda ukiwa unakula, kwahiyo usitegemee mtu ataandika kila kitu kwa mpangilio mzuri humu ,
Maisha yamekuwa taiti mixer matozo kwahiyo kichwa muda wote Ina heat, we kama ukiweza kuandika Jambo kwa mpangilio just Ni vizuri mkuu