Tetesi: Nasikia Panya road wako Mbagala Zakheem

Tetesi: Nasikia Panya road wako Mbagala Zakheem

mbn huku TANDIKA hawafiki cc tunawasubiri kwa hamu
 
Hii habari ya Mbagala Zakhiem si ya kweli hatukufunga maduka, hakuna tukio lililotokea, ila endeleeni kujadili.
 
Naomba kujua ,hivi siasa inaingiaje hapa,hivi Kuna watu wanaweza kukaa ,wakawatuma vijana hao wadogo kiumri,

Wafanye vitendo vya kihalifu ikiwa wanajua muda wowote wanakufa?

Yaani wananchi tusikie panya road wapo sijui mbagala,, tuungane tuwasake si tutateketeza vijana wengi?

Ni muda wa Barreta kufanya kazi huu na siyo panga .nikikuhisi tu ......?!?!?!!!
siasa ni zaidi ya uijuavyo
niliambiwa kuhusu mambo ya kibit aisee nilichoka
 
duh wakipata silaha ndo bas tena , serikali imelala sana ila wanajulikana vzr tu km ukiingia mtaani
Mkuu hawa panya usiseme hivo, ni zaidi ya tatizo! Kuna mdogoangu nae ni kijana wa hovyo, anaishi kwa mama sio mbali na nyumbani kwangu siku moja amekuja kwangu usiku akanigongea vzr tu akaingia tukawa tunaongea lakini akaniambia yuko na wenzake wachake wapo nyuma ya nyumba wamekaa kwamba nisiwe na wasi, akatoka kwenda kukaa nao'

Nikawa nasikia sauti chache za chinichini, nikakadiria labda kuna watu hawazidi 6, nilivotoka nusu nizimie! Nilikuta kuna watu kama 30 na zaidi! Na huwezi amini hakuna hata moja ninaemjua zaidi ya huyo dogo tu!

Na kila muda anatoka mmoja akirudi anakuja na wengine tena! Mpaka wanaondoka pale mida ya saa sita usiku wameshakuwa wengi mnooo!

Dogo akawa ananitambulisha' nikagundua wantokea kiwalani, mbagala, wengine bunju nk.
Kesho yake nikasikia tukio la ajabu!

Wale madogo ukiwa unaongeanao ni wana heshima saana! Na wako wazi hawafichi kitu.

Ila wakati wanaondoka niliwaambia pale wasije tena. Wakasema "heshima kwako bro popote tukikuona tutakulinda"

Kuwazibiti panya inatakiwa weledi tofauti kbs na hizi operation za polisi.
 
Mkuu hawa panya usiseme hivo, ni zaidi ya tatizo! Kuna mdogoangu nae ni kijana wa hovyo, anaishi kwa mama sio mbali na nyumbani kwangu siku moja amekuja kwangu usiku akanigongea vzr tu akaingia tukawa tunaongea lakini akaniambia yuko na wenzake wachake wapo nyuma ya nyumba wamekaa kwamba nisiwe na wasi, akatoka kwenda kukaa nao'

Nikawa nasikia sauti chache za chinichini, nikakadiria labda kuna watu hawazidi 6, nilivotoka nusu nizimie! Nilikuta kuna watu kama 30 na zaidi! Na huwezi amini hakuna hata moja ninaemjua zaidi ya huyo dogo tu!

Na kila muda anatoka mmoja akirudi anakuja na wengine tena! Mpaka wanaondoka pale mida ya saa sita usiku wameshakuwa wengi mnooo!

Dogo akawa ananitambulisha' nikagundua wantokea kiwalani, mbagala, wengine bunju nk.
Kesho yake nikasikia tukio la ajabu!

Wale madogo ukiwa unaongeanao ni wana heshima saana! Na wako wazi hawafichi kitu.

Ila wakati wanaondoka niliwaambia pale wasije tena. Wakasema "heshima kwako bro popote tukikuona tutakulinda"

Kuwazibiti panya inatakiwa weledi tofauti kbs na hizi operation za polisi.
Kwahiyo mdogo wako ni panya road member 😩
 
Mkuu hawa panya usiseme hivo, ni zaidi ya tatizo! Kuna mdogoangu nae ni kijana wa hovyo, anaishi kwa mama sio mbali na nyumbani kwangu siku moja amekuja kwangu usiku akanigongea vzr tu akaingia tukawa tunaongea lakini akaniambia yuko na wenzake wachake wapo nyuma ya nyumba wamekaa kwamba nisiwe na wasi, akatoka kwenda kukaa nao'

Nikawa nasikia sauti chache za chinichini, nikakadiria labda kuna watu hawazidi 6, nilivotoka nusu nizimie! Nilikuta kuna watu kama 30 na zaidi! Na huwezi amini hakuna hata moja ninaemjua zaidi ya huyo dogo tu!

Na kila muda anatoka mmoja akirudi anakuja na wengine tena! Mpaka wanaondoka pale mida ya saa sita usiku wameshakuwa wengi mnooo!

Dogo akawa ananitambulisha' nikagundua wantokea kiwalani, mbagala, wengine bunju nk.
Kesho yake nikasikia tukio la ajabu!

Wale madogo ukiwa unaongeanao ni wana heshima saana! Na wako wazi hawafichi kitu.

Ila wakati wanaondoka niliwaambia pale wasije tena. Wakasema "heshima kwako bro popote tukikuona tutakulinda"

Kuwazibiti panya inatakiwa weledi tofauti kbs na hizi operation za polisi.
Hitaji la panya road ni pesa si maneno matupu, ili uwadhibiti unatakiwa uwape hitaji lao, pesa, sasa utakuwa ukiwagawia pesa kila mara?
 
Kwahiyo mdogo wako ni panya road member [emoji30]
Sijasema dogo ni panya, hili tukio ni la muda mrefu kdg, siku hizi ni mtu safi tu na anajielewa sana! Nilikumbuka tu ndo nikaona nionyeshe ukubwa wa tatizo.

Unajua inawezekana hata mtu unaekaa nae nyumba moja akawa ni panya na usimjue! Ksb hana tatizo na mtu lakini usiku anatoka wanakutana hukoo zakhem mbagala wanaenda kufanya tukio chanika dk 10 nyingi wanarudi zao makwao wametulia.

Pakikucha unamuona ni dogo mtulivu na mwelewa sana kiufupi hana tatizo na mtu.
 
Hii Habari ya Panya road na Ile ya Corona Hazitofautiani sana!! Tuwe makini....
 
Hitaji la panya road ni pesa si maneno matupu, ili uwadhibiti unatakiwa uwape hitaji lao, pesa, sasa utakuwa ukiwagawia pesa kila mara?
Ni kweli hitaji ni pesa, na pia haiwezekani kuwagawia pesa. Lakini pia kijana mwenye fani inayoweza kumpatia japo mahitaji muhimu ni ngumu kujihusisha na uhalifu

Na ndo maana nikasema hili tatizo kulitatua linahitaji weledi zaidi kuliko nguvu za polisi.

Kwasababu matukio ya panya rod mara zote ni yakushtukiza na dk chache tukio limeisha na hawapo, kesho keshokutwa wametokea tena eneo jingine.

Kimfano serekali ijenge chuo cha PANYA ROD VOCATIONAL TRAINING CENTER labda kila baada ya miezi sita wachukue panya 400 bure. Huu ni mfano tu wa weledi.
 
Yule Dogo alipotaja Msumbiji moyo ulishtuka.

Kuna haja ya kurejea ile kazi nzuri iliyofanyika Kibiti wakati wa awamu ya Mwendazake...yale mazuri tuige tusione haya.
 
KWAKUWA UNAYO NAFASI YA KUANDIKA UNAANDIKA TU .ACHENI KULETA TAHARUKI KWA WATU .MAANA WOTE MNASEMA MMESIKIA TU HAKUNA ALIYEWAONA WALA ALIYOPO ENEO LA TUKIO .ACHENI KUENEZA UZUSHI MNASABABISHA MDORORO WA UCHUMI KISA UNAZO MB.
 
Wanaume wa dar mmekua wapumbavu sana
Yani hivyo vitoto vinawatia hofu!!!

Wanaume wa dar mmelegea sana, ata kama ni usasa huu umepitiliza

Disgrace to manhood

Waje huku Mara waone show zake
Kitunda kuna wakurya kibao, Ila juzi tu panya road wamekinukisha huko
 
Hizi habari hazina ukweli kila Mtu Kusikia,nani alie shuhudia?
 
Hizi habari hazina ukweli kila Mtu Kusikia,nani alie shuhudia?
Kwa taarifa yako sasa,juzi aliuwawa mmoja wa hao panya road,jana mchana wakati anazikwa wakaja field force gari si chini ya4,vijana wakakimbia,wakakamatwa baadhi,na maiti police wakasaidia kuzika..

Jana hiyo hiyo Usiku hao vijana wakajiorganize tena wakawa wanapita mitaani kulipiza mwenzao kuuwawa ..

Ila kuna baadhi wametiwa mbaroni...
Over and out mkuu....
 
Kwa taarifa yako sasa,juzi aliuwawa mmoja wa hao panya road,jana mchana wakati anazikwa wakaja field force gari si chini ya4,vijana wakakimbia,wakakamatwa baadhi,na maiti police wakasaidia kuzika..

Jana hiyo hiyo Usiku hao vijana wakajiorganize tena wakawa wanapita mitaani kulipiza mwenzao kuuwawa ..

Ila kuna baadhi wametiwa mbaroni...
Over and out mkuu....
Wapi hiyo
 
Pole yao sana kama hizi taarifa zitakua na ukweli...
 
Back
Top Bottom