Nasikia ushawishi wa kutaka kujiua

Nasikia ushawishi wa kutaka kujiua

Nelson Jacob Kagame

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2022
Posts
9,576
Reaction score
13,545
Sauti inakuja kichwani jiue....!!!

Sielewi ila napambana nayo kweli. Biashara zikigoma inaniambia jiue. Mahusiano yakigoma inaniambia jiue.

Maisha yakibana jiue.....
Matarajio yakifutika jiue....
Makwazo yakitokea jiue...

NA HII SAUTI IKISHINDA BASI MTU HUJIUA KWELI BILA SABABU YOYOTE YA MSINGI KIROHO NA KIMWILI.

Mimi nawakilisha vijana wengi ambao kutokana na changamoto za maisha na matokeo yake, tunasumbuliwa na sauti za ushawishi wa kujiua.

Machoni pa watu tupo very smart na hali zetu za kiuchumi sio mbaya. Ila rohoni tuna mizigo ya maumivu na hatuwezi kuonyesha in public sababu jamii haituruhusu vijana wa kiume kuonyesha changamoto zetu hadharani.

Sasa hapa ndipo sauti za kujiua zinapoanza kutuandama. Mimi ni muwazi nimesema ila vijana wengi hawasemi wanaishia kujiua.

Na ndio maana siku hizi kuna wimbi la vijana wengi kujikatisha uhai wao.
 
Sauti inakuja kichwani jiue....!!!
Sielewi ila napambana nayo kweli.
Biashara zikigoma inaniambia jiue...
Mahusiano yakigoma inaniambia jiue....
Maisha yakibana jiue.....
Matarajio yakifutika jiue....
Makwazo yakitokea jiue...
NA HII SAUTI IKISHINDA BAS MTU HUJIUA KWELI BILA SABABU YOYOTE YA MSINGI KIROHO NA KIMWILI.
Mm nawakilisha vijana wengi ambao kutokana na changamoto za maisha na matokeo yake,,,tunasumbuliwa na sauti za ushawishi wa kujiua....
Machoni pa watu tupo very smart na hali zetu za kiuchumi sio mbaya.
Ila rohoni tuna mizigo ya maumivu na hatuwezi kuonyesha in publicl sababu jamii haituruhusu vijana wa kiume kuonyesha changamoto zetu hadharani....
Sasa hapa ndipo sauti za kujiua zinapoanza kutuandama.....
Mm ni muwazi nimesema ila vijana wengi hawasemi wanaishia kujiua...
Na ndio maana siku hizi kuna wimbi la vijana wengi kujikatisha uhai wao.
Pole
 
Sauti inakuja kichwani jiue....!!!
Sielewi ila napambana nayo kweli.
Biashara zikigoma inaniambia jiue...
Mahusiano yakigoma inaniambia jiue....
Maisha yakibana jiue.....
Matarajio yakifutika jiue....
Makwazo yakitokea jiue...
NA HII SAUTI IKISHINDA BAS MTU HUJIUA KWELI BILA SABABU YOYOTE YA MSINGI KIROHO NA KIMWILI.
Mm nawakilisha vijana wengi ambao kutokana na changamoto za maisha na matokeo yake,,,tunasumbuliwa na sauti za ushawishi wa kujiua....
Machoni pa watu tupo very smart na hali zetu za kiuchumi sio mbaya.
Ila rohoni tuna mizigo ya maumivu na hatuwezi kuonyesha in publicl sababu jamii haituruhusu vijana wa kiume kuonyesha changamoto zetu hadharani....
Sasa hapa ndipo sauti za kujiua zinapoanza kutuandama.....
Mm ni muwazi nimesema ila vijana wengi hawasemi wanaishia kujiua...
Na ndio maana siku hizi kuna wimbi la vijana wengi kujikatisha uhai wao.
Usiweke suluhisho la kudumu (kujiua) kwenye matatizo ya muda mfupi..!!!

Kuwa muwazi kwa kusema siyo suluhu, bali epuka kukaakaa peke yako, piga stori na watu.

Kuna wakati unahitaji kufanya biashara kwa kuanzia chini sana ili uwe unakua kidogo kidogo. Haya mambo ya lkuanzia pakubwa yanaweza yakakupa fikra za hivi pindi unapofeli.

Kama ishu ni mbusus, tafuta wa class ya chini zaidi ili wasikupe mawazo. Pisi kali zingine zitakupa presha na mwisho mawazo ya hivi yakujie.
 
Sauti inakuja kichwani jiue....!!!

Sielewi ila napambana nayo kweli. Biashara zikigoma inaniambia jiue. Mahusiano yakigoma inaniambia jiue.

Maisha yakibana jiue.....
Matarajio yakifutika jiue....
Makwazo yakitokea jiue...

NA HII SAUTI IKISHINDA BASI MTU HUJIUA KWELI BILA SABABU YOYOTE YA MSINGI KIROHO NA KIMWILI.

Mimi nawakilisha vijana wengi ambao kutokana na changamoto za maisha na matokeo yake, tunasumbuliwa na sauti za ushawishi wa kujiua.

Machoni pa watu tupo very smart na hali zetu za kiuchumi sio mbaya. Ila rohoni tuna mizigo ya maumivu na hatuwezi kuonyesha in public sababu jamii haituruhusu vijana wa kiume kuonyesha changamoto zetu hadharani.

Sasa hapa ndipo sauti za kujiua zinapoanza kutuandama. Mimi ni muwazi nimesema ila vijana wengi hawasemi wanaishia kujiua.

Na ndio maana siku hizi kuna wimbi la vijana wengi kujikatisha uhai wao.
Seriously, mental health is real problem nowadays.
 
Wanaume wengi tunatembea barabarani huku moyo ukiwa umeshakufa kabisa bro, ila ukimuuliza "unaendeleaje bro?" anakujibu "nipo poa" maana anajua hata akikueleza shida zake bado utamwambia we ni mwanaume acha kulialia pambana, we ni mwanaume jikaze, ndo uanaume huo

Mtu anaamua abaki na mambo yake moyoni tu kwasababu No one cares
 
Ni kweli mkuu
Maombi hayajibiwi hata tukitia sadaka!!

Tunajaribu kuwakusanya tuwapendao Ili tubarikiwe wake zetu wanatibua furaha yetu ili kutulazimisha tukimbie mbio ndefuu za marathon Ili kukidhi mahitaji ya wengine!!

Hao hao wake zetu wakipata shida kama Sasa wanataka tushiriki kwa asilimia mia moja!!

Chanzo Cha yote ni kutaka kuwaridhisha wanawake ambao hawaridhiki ndani ya familia zetu!!

Siku hizi mahitaji matatu hayatoshi kumtuliza mkeo wamebuni mahitaji mengine na kutu transform kuwa mitambo ya robots ya money maker,chakula,malazi na mavazi hayatoshi Tena kuitwa rijali!ole wako kama na ajira hamna aiseh!!!


Angalau wengine tumezifanya akili zetu kuwa dormant Ili yasonge huku tukiangaza macho kama Kuna bahati nyingine!!!

MJI WA DAR UTAANGAMIA KAMA UNA MALI UZA UHAMIE HATA KANDA YA KATI!

MUNGU AKUBARIKI UMALIZE SAFARI YAKO SALAMA!!!
 
Pole sana, ni ngumu sana mtu kukuelewa kama hajapitia hiyo hali. Ila wakuu kuna kipindi life lina kupiga mpaka una tamani upotee tu, nyie hacheni kabisa kuna muda mtu huelewi kabisa.

Mkuu usikate tamaa.
Pesa ninazo na uchumi upo oky,,,but deep inside i feel emotion less towards life...
The same as Wanaojiua wanavyokua wanahisi!!!Life seem empty and nothing
 
Sauti inakuja kichwani jiue....!!!

Sielewi ila napambana nayo kweli. Biashara zikigoma inaniambia jiue. Mahusiano yakigoma inaniambia jiue.

Maisha yakibana jiue.....
Matarajio yakifutika jiue....
Makwazo yakitokea jiue...

NA HII SAUTI IKISHINDA BASI MTU HUJIUA KWELI BILA SABABU YOYOTE YA MSINGI KIROHO NA KIMWILI.

Mimi nawakilisha vijana wengi ambao kutokana na changamoto za maisha na matokeo yake, tunasumbuliwa na sauti za ushawishi wa kujiua.

Machoni pa watu tupo very smart na hali zetu za kiuchumi sio mbaya. Ila rohoni tuna mizigo ya maumivu na hatuwezi kuonyesha in public sababu jamii haituruhusu vijana wa kiume kuonyesha changamoto zetu hadharani.

Sasa hapa ndipo sauti za kujiua zinapoanza kutuandama. Mimi ni muwazi nimesema ila vijana wengi hawasemi wanaishia kujiua.

Na ndio maana siku hizi kuna wimbi la vijana wengi kujikatisha uhai wao.
Rabbon pitia hapa....

Nakuelewa mkuu, hayo mambo yanakuwa na 'roho' ovu na inahitaji jitihada hasa kiroho ili kuishinda hii hali.
 
Ni kweli mkuu
Maombi hayajibiwi hata tukitia sadaka!!

Tunajaribu kuwakusanya tuwapendao Ili tubarikiwe wake zetu wanatibua furaha yetu ili kutulazimisha tukimbie mbio ndefuu za marathon Ili kukidhi mahitaji ya wengine!!

Hai hai wake zetu wakipata shida kama Sasa wanataka tushiriki kwa asilimia mia moja!!

Chanzo Cha yote ni kutaka kuwaridhisha wanawake ambao hawaridhiki ndani ya familia zetu!!

Siku hizi mahitaji matatu hayatoshi kumtuliza mkeo wamebuni mahitaji mengine na kutu transform kuwa mitambo ya robots ya money maker,chakula,malazi na mavazi hayatoshi Tena kuitwa rijali!ole wako kama na ajira hamna aiseh!!!


Angalau wengine tumezifanya akili zetu kuwa dormant Ili yasonge huku tukiangaza macho kama Kuna bahati nyingine!!!

MJI WA DAR UTAANGAMIA KAMA UNA MALI UZA UHAMIE HATA KANDA YA KATI!

MUNGU AKUBARIKI UMALIZE SAFARI YAKO SALAMA!!!
Mkuu unanichanganya sasa???
 
Back
Top Bottom