Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
Basi kama una familia linapokuja wazo la kujiua jaribu kufikiria familia hasa watoto wako watatu.Mkuu nina watoto watatu na mke na kila kitu financial kipo poa...
But nina tatizo la ulevi uliopindukia mkuu...
Wa pombe kali kali
Nadhani ulevi ni tatizo la wengi hapo sina lakukushauri mkuu, hata mimi huwa naonja ila si kulewa.