mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
clinic za mental health zipo, ni wewe tu kujishusha na kukubali una katatizoSomehow you understand watu wanaojiua bro
kanisani hakuna msaada, nenda kwa professionals
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
clinic za mental health zipo, ni wewe tu kujishusha na kukubali una katatizoSomehow you understand watu wanaojiua bro
Kufa kwenyewe sifi....Bc ww kufa tuu
Unataka aambiwe JIUWE..???Utaambiwa komaa.. pambana
Inshort no one give a f*ck about you in real life, labda wazazi na cha nyongeza ni kwamba hata ukijiua ratiba zitayumba kidogo tu then zitaendelea kama kawaida
🥲
Hizo clinic tatizo wanatunanga sana wakijua huko nyuma tulikuaga wabwia heroin na mollyclinic za mental health zipo, ni wewe tu kujishusha na kukubali una katatizo
kanisani hakuna msaada, nenda kwa professionals
Bro at least wewe unaelewa vijana wanaojiua wanakua na yapi mioyoni mwaoWanaume wengi tunatembea barabarani huku moyo ukiwa umeshakufa kabisa bro, ila ukimuuliza "unaendeleaje bro?" anakujibu "nipo poa" maana anajua hata akikueleza shida zake bado utamwambia we ni mwanaume acha kulialia pambana, we ni mwanaume jikaze, ndo uanaume huo
Mtu anaamua abaki na mambo yake moyoni tu kwasababu No one cares
Mkuu nimekuelewa sanaUsiweke suluhisho la kudumu (kujiua) kwenye matatizo ya muda mfupi..!!!
Kuwa muwazi kwa kusema siyo suluhu, bali epuka kukaakaa peke yako, piga stori na watu.
Kuna wakati unahitaji kufanya biashara kwa kuanzia chini sana ili uwe unakua kidogo kidogo. Haya mambo ya lkuanzia pakubwa yanaweza yakakupa fikra za hivi pindi unapofeli.
Kama ishu ni mbusus, tafuta wa class ya chini zaidi ili wasikupe mawazo. Pisi kali zingine zitakupa presha na mwisho mawazo ya hivi yakujie.
una uhakika mnanangwa?Hizo clinic tatizo wanatunanga sana wakijua huko nyuma tulikuaga wabwia heroin na molly
Mkuu naona unaelewa hawa vijana wanaojiua waga wanawaza nn mioyoni mwaoPOle mkuu. Pole sana. Sio rahis mwingine kuelewa kama hujapitia hali hii ila Yote kwa yote inawezekana kuishinda.
Jaribu kusikiliza sikiliza podcast za watu tofaut tofaut youtune zinaweza kukisaidia. Kibongo bongo naonaga nakushaur umsikilize Joel Nnanauka. Content zake sio mbaya.
Kama mtu wa ibada jaribu pia kujisoeza karibu na Muumba.
Life challenges kwa mwaka hui zilinifanya hata kanisani nikate mguu kabisaa japo kwa kusikiliza experiences za watu tofaut tofaut nili mudu kujiweka sawa na kuemdelea na mapambano.
Daah wanatunanga sana mateja wa zamani...una uhakika mnanangwa?
mambo ya mental health lazima kutakua na confidentiality laws
Sawa mkuuKemea pepo la mauti hilo
Ndio nimekaa haoa napiga k vant chupa ya pili sasa huku natafakari haya maluweluweMkuu,,naomba usifike huko....kila mtu ana matatizo kaka......just relax na soon mambo yataanza kwenda poa
Mkuu nina watoto watatu na mke na kila kitu financial kipo poa...Una familia, namaanisha mke na watoto?
Kataa hiyo roho mkuu,,,,wanaume kupitia mateso na mahangaiko ndio nature yetu. Kikubwa hakuna kukata tamaa, kukata tamaa ni roho ya giza. Kataa hiyo kituNdio nimekaa haoa napiga k vant chupa ya pili sasa huku natafakari haya maluweluwe
OkyKataa hiyo roho mkuu,,,,wanaume kupitia mateso na mahangaiko ndio nature yetu. Kikubwa hakuna kukata tamaa, kukata tamaa ni roho ya giza. Kataa hiyo kitu
Bado una options, kuna hizi za online hakuna ulazima wa kufahamiana na therapist wako, ipo Wazi | Online therapy | Mental health | Tele-counseling | Kenya ya wakenya.Daah wanatunanga sana mateja wa zamani...
Hasa kama huo uteja uliuanzia ughaibuni na sio tz...
Vijana wanaona aibu kujitokeza
Sababu Nini kama hela unayo mkuu? Demu au? Ulishawahi kufika Rwanda?Pesa ninazo na uchumi upo oky,,,but deep inside i feel emotion less towards life...
The same as Wanaojiua wanavyokua wanahisi!!!Life seem empty and nothing