Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Mlokole wakati anapiga 'k-vant'Huyo ni mlokole mwenzio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlokole wakati anapiga 'k-vant'Huyo ni mlokole mwenzio
Ok unajiona wapi baada ya kufa? Kama peponi jiue tu maisha duniani Bado magumuMkuu mda huu nipo hapa Kisangani kwenye mishemishe...
Rwanda kitambo sijatimba
Tatizo mda wote nalewa mkuu..
Sasa naona aibu kwenda kwa dkt wangu wa saikolojia afu akajua mm napiga pombe wakati alinikataza.
😂😂😂😂Nimepiga K vant hapa na ndizi za kuchoma...mitaa ya kitambaa cheupe sinza
KabisaPia njia Rahisi ya kuacha pombe ni kuwakataa marafuki walevi hata kama unawapenda.
Kamwe usijoin nao kwenye vikao vya usiku.
mfanye mkeo awe accountability partner wako, au mtu unaemuamini, kama wewe unaona aibu yeye awe anamuambiaTatizo mda wote nalewa mkuu..
Sasa naona aibu kwenda kwa dkt wangu wa saikolojia afu akajua mm napiga pombe wakati alinikataza.
Hivi kunangwa hakuwezi fanywa kwa siri?una uhakika mnanangwa?
mambo ya mental health lazima kutakua na confidentiality laws
Kuwa mbali na dini ya kweli (Uislam) ndio chanzo cha kukosa furaha ya kweli. Na hili linawahusu hata Waislam ambao wanapuuzia dini yao na kukaa mbali nayo. Usifanye mchezo na kukaa mbali na Mola wako. Tena nyinyi mnaojifanya mnatukana Dini au kumkana Muumba ndio huwa mna hali mbaya mno.Wabongo tunashindwa kuelewa umuhimu wa afya ya akili
imani potofu na dini vinatumpumbaza
Inauma sana Kevo Stevine hio picha hapo juu au wew ndiye msanii wa kenyaPole sana, ni ngumu sana mtu kukuelewa kama hajapitia hiyo hali. Ila wakuu kuna kipindi life lina kupiga mpaka una tamani upotee tu, nyie hacheni kabisa kuna muda mtu huelewi kabisa.
Mkuu usikate tamaa.
Kauli za "komaa, pambana" mara nyingine zinadogosha matatizo.Unataka aambiwe JIUWE..???
Acha kuuchukia Uislam. Uislam sio adui kwako. Uislam ni asili yako. Acha kujilazimisha kuuchukia Uislam na uukubali Uislam. Utapata furaha ya kweli. Allah akuongoze katika Uislam Nelson Jacob KagameSauti inakuja kichwani jiue....!!!
Sielewi ila napambana nayo kweli. Biashara zikigoma inaniambia jiue. Mahusiano yakigoma inaniambia jiue.
Maisha yakibana jiue.....
Matarajio yakifutika jiue....
Makwazo yakitokea jiue...
NA HII SAUTI IKISHINDA BASI MTU HUJIUA KWELI BILA SABABU YOYOTE YA MSINGI KIROHO NA KIMWILI.
Mimi nawakilisha vijana wengi ambao kutokana na changamoto za maisha na matokeo yake, tunasumbuliwa na sauti za ushawishi wa kujiua.
Machoni pa watu tupo very smart na hali zetu za kiuchumi sio mbaya. Ila rohoni tuna mizigo ya maumivu na hatuwezi kuonyesha in public sababu jamii haituruhusu vijana wa kiume kuonyesha changamoto zetu hadharani.
Sasa hapa ndipo sauti za kujiua zinapoanza kutuandama. Mimi ni muwazi nimesema ila vijana wengi hawasemi wanaishia kujiua.
Na ndio maana siku hizi kuna wimbi la vijana wengi kujikatisha uhai wao.
mbususu ni mbususu tu na utamu ni ule ule cha msingi epuka magonjwaUsiweke suluhisho la kudumu (kujiua) kwenye matatizo ya muda mfupi..!!!
Kuwa muwazi kwa kusema siyo suluhu, bali epuka kukaakaa peke yako, piga stori na watu.
Kuna wakati unahitaji kufanya biashara kwa kuanzia chini sana ili uwe unakua kidogo kidogo. Haya mambo ya lkuanzia pakubwa yanaweza yakakupa fikra za hivi pindi unapofeli.
Kama ishu ni mbusus, tafuta wa class ya chini zaidi ili wasikupe mawazo. Pisi kali zingine zitakupa presha na mwisho mawazo ya hivi yakujie.
Call on JesusPesa ninazo na uchumi upo oky,,,but deep inside i feel emotion less towards life...
The same as Wanaojiua wanavyokua wanahisi!!!Life seem empty and nothing
Nikutafutie dawa ya kienyeji Kuna boss wangu wa zamani alikua anakunywa hadi anazima but now hagusi kabisa, ilifika mahali beer bila kumix na konyagi halewi.Mkuu nina watoto watatu na mke na kila kitu financial kipo poa...
But nina tatizo la ulevi uliopindukia mkuu...
Wa pombe kali kali
huna jipya wewe hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya ugumu wa maisha na kuokoka bali asali na kusikiliza ibada pia nyimbo za anako abudu mf. Kama ni msikitini aende tu sio kubadili diniOkoka, muamini Yesu Kristo, sauti ya mauti haikuwa na nguvu
Mfuate mtu au daktari ama mwanasaikolojia unayemfahamu mueleze matatizo yakoPesa ninazo na uchumi upo oky,,,but deep inside i feel emotion less towards life...
The same as Wanaojiua wanavyokua wanahisi!!!Life seem empty and nothing
Mkuu pombe haitakusaidia... maombi tu ndo yatakusaidiaNimepiga K vant hapa na ndizi za kuchoma...mitaa ya kitambaa cheupe sinza