Nasikia ushawishi wa kutaka kujiua

Nasikia ushawishi wa kutaka kujiua

Tatizo mda wote nalewa mkuu..
Sasa naona aibu kwenda kwa dkt wangu wa saikolojia afu akajua mm napiga pombe wakati alinikataza.

Bado si sababu ya msingi kutokwenda. Fanyia kazi uliyoelekezwa na unapofeli kuwa mkweli ili mjenge njia mwafaka ya kufikia afya njema na si kukimbia ukweli.

Wataalamu hawajapewa mamlaka ya kuhukumu bali viapo vya kwenda nasi bega kwa bega kwenye mapito yetu.

Mengine yote ni ubinadamu wetu kama unavyoweza kutotimiza ya upande wako.
Piga moyo konde pata msaada bila kulimbikiza matatizo na kuyaacha yakue.
Ni muhimu wakati huu ambapo unajitambua vyema.

Counselling is not a single sitting season and it has ups and downs. Ni sehemu ya maisha hayo bali jizatiti kutekeleza na kuwa mkweli wa nafsi yako.

Moja ya kitu unatakiwa kutambua ni kuwa vitu unavyoelezwa uviache/uepuke, huongeza mparaganyiko wa utendaji wa ubongo wako hivyo dalili kuja kwa nguvu zaidi. Ingawa wewe unaweza usilione hilo. Unachokifanya kwa ubongo wako ni sawa na kumsukuma mlevi.
 
Wabongo tunashindwa kuelewa umuhimu wa afya ya akili

imani potofu na dini vinatumpumbaza
Kuwa mbali na dini ya kweli (Uislam) ndio chanzo cha kukosa furaha ya kweli. Na hili linawahusu hata Waislam ambao wanapuuzia dini yao na kukaa mbali nayo. Usifanye mchezo na kukaa mbali na Mola wako. Tena nyinyi mnaojifanya mnatukana Dini au kumkana Muumba ndio huwa mna hali mbaya mno.
 
Unataka aambiwe JIUWE..???
Kauli za "komaa, pambana" mara nyingine zinadogosha matatizo.

Na si kwa makusudi, watu wetu wengi hawana hata lugha ya kuongelea haya mambo.

Yani unapomwambia mtu "komaa, pambana" unafanya kama vile haya matatizo yapo ndani ya uwezo wa huyu mtu kuyashinda, tatizo lake hajafanya jitihada za kutosha kukomaa na kupambana.

Wakati, mara nyingi sana haya ni matatizo ya kisaikolojia yanayoweza kuwa addressed kwa kumpa msaada wa kutoka nje huyu mtu, watu kum support, yeye kupata counselling.

Watu wengi wanakwenda kudogosha matatizo kwa kusema "komaa, pambana, tunakuombea, pole" badala ya kutafuta majibu ya matatizo kwa kuangalia utatuzi uko wapi.

Hayo maneno ya "komaa, pambana, tunakuombea, pole" yanaweza kuwa negative (komaa, pambana yanaweza kuonekana maneno ya kutia moyo, wakati kiukweli ni maneno condescending ya kusema muhanga hajakomaa na kupambana vya kutosha). "Tunakuombea" na "pole" ni maneno yanayoweza kuonekana ni ya solidarity na sympathy, lakini hayasaidii sana.

Instead, kwa nini usimuulize mtu "How could I help?"
 
Sauti inakuja kichwani jiue....!!!

Sielewi ila napambana nayo kweli. Biashara zikigoma inaniambia jiue. Mahusiano yakigoma inaniambia jiue.

Maisha yakibana jiue.....
Matarajio yakifutika jiue....
Makwazo yakitokea jiue...

NA HII SAUTI IKISHINDA BASI MTU HUJIUA KWELI BILA SABABU YOYOTE YA MSINGI KIROHO NA KIMWILI.

Mimi nawakilisha vijana wengi ambao kutokana na changamoto za maisha na matokeo yake, tunasumbuliwa na sauti za ushawishi wa kujiua.

Machoni pa watu tupo very smart na hali zetu za kiuchumi sio mbaya. Ila rohoni tuna mizigo ya maumivu na hatuwezi kuonyesha in public sababu jamii haituruhusu vijana wa kiume kuonyesha changamoto zetu hadharani.

Sasa hapa ndipo sauti za kujiua zinapoanza kutuandama. Mimi ni muwazi nimesema ila vijana wengi hawasemi wanaishia kujiua.

Na ndio maana siku hizi kuna wimbi la vijana wengi kujikatisha uhai wao.
Acha kuuchukia Uislam. Uislam sio adui kwako. Uislam ni asili yako. Acha kujilazimisha kuuchukia Uislam na uukubali Uislam. Utapata furaha ya kweli. Allah akuongoze katika Uislam Nelson Jacob Kagame
 
Usiweke suluhisho la kudumu (kujiua) kwenye matatizo ya muda mfupi..!!!

Kuwa muwazi kwa kusema siyo suluhu, bali epuka kukaakaa peke yako, piga stori na watu.

Kuna wakati unahitaji kufanya biashara kwa kuanzia chini sana ili uwe unakua kidogo kidogo. Haya mambo ya lkuanzia pakubwa yanaweza yakakupa fikra za hivi pindi unapofeli.

Kama ishu ni mbusus, tafuta wa class ya chini zaidi ili wasikupe mawazo. Pisi kali zingine zitakupa presha na mwisho mawazo ya hivi yakujie.
mbususu ni mbususu tu na utamu ni ule ule cha msingi epuka magonjwa
 
Mkuu nina watoto watatu na mke na kila kitu financial kipo poa...
But nina tatizo la ulevi uliopindukia mkuu...
Wa pombe kali kali
Nikutafutie dawa ya kienyeji Kuna boss wangu wa zamani alikua anakunywa hadi anazima but now hagusi kabisa, ilifika mahali beer bila kumix na konyagi halewi.
 
Back
Top Bottom