Nasikia ushawishi wa kutaka kujiua

Nasikia ushawishi wa kutaka kujiua

Depression is real​


Kwa kutambua hilo, Mungu ametupa namna ya kuzishinda hali zote ngumu.

Imagine wewe na Mimi tungekuwa Ayubu, tunapitishwa kwenye yale majaribu, kweli tungeweza kuyastahimili ama ndiyo tungejiua.

Hebu soma, Zaburi 142:3​

Ninapokaribia kukata tamaa kabisa, yeye (Mungu) yupo, anajua mwenendo wangu.

Tujifunze kupokea nyakati zote kwenye maisha yetu.

Wakati wewe unakula Pizza pale Pizza Hut, kuna mwenzio hajui atakula nini Mchana huu wala Usiku.

Wakati wewe unafurahia kutimiza Miaka 28,30,35,40 n.k ujue kuna mwenzio anatimiza Umri huo akiwa Kaburini.

Wakati wewe unalalamika kupata Supplementary 2 ama 1 kuna mwenzio aliishia darasa la 7 kwa kushindwa kufauru kwenda Sekondari.

Wakati wewe unafurahia kuingia kwenye nyumba yako ulianza kuijenga Miaka 2 ama 3 iliyopita ujue kuna mwenzio amefukuzwa na Baba Mwenye nyumba kwa kushindwa kulipa Kodi ya shilingi 240,000 ambayo ni kodi ya miezi 6.

Mungu ni mwema kila wakati 🙏🙏🙏🙏
 
Sauti inakuja kichwani jiue....!!!

Sielewi ila napambana nayo kweli. Biashara zikigoma inaniambia jiue. Mahusiano yakigoma inaniambia jiue.

Maisha yakibana jiue.....
Matarajio yakifutika jiue....
Makwazo yakitokea jiue...

NA HII SAUTI IKISHINDA BASI MTU HUJIUA KWELI BILA SABABU YOYOTE YA MSINGI KIROHO NA KIMWILI.

Mimi nawakilisha vijana wengi ambao kutokana na changamoto za maisha na matokeo yake, tunasumbuliwa na sauti za ushawishi wa kujiua.

Machoni pa watu tupo very smart na hali zetu za kiuchumi sio mbaya. Ila rohoni tuna mizigo ya maumivu na hatuwezi kuonyesha in public sababu jamii haituruhusu vijana wa kiume kuonyesha changamoto zetu hadharani.

Sasa hapa ndipo sauti za kujiua zinapoanza kutuandama. Mimi ni muwazi nimesema ila vijana wengi hawasemi wanaishia kujiua.

Na ndio maana siku hizi kuna wimbi la vijana wengi kujikatisha uhai wao.
Du pole kijana, jitahidi kutokuwa over ambitious, nenda taratibu kimaisha. Mkulima anayepanda mbegu leo akitaka kuvuna kesho ni dhahiri atakata tamaa.
 
Sauti inakuja kichwani jiue....!!!

Sielewi ila napambana nayo kweli. Biashara zikigoma inaniambia jiue. Mahusiano yakigoma inaniambia jiue.

Maisha yakibana jiue.....
Matarajio yakifutika jiue....
Makwazo yakitokea jiue...

NA HII SAUTI IKISHINDA BASI MTU HUJIUA KWELI BILA SABABU YOYOTE YA MSINGI KIROHO NA KIMWILI.

Mimi nawakilisha vijana wengi ambao kutokana na changamoto za maisha na matokeo yake, tunasumbuliwa na sauti za ushawishi wa kujiua.

Machoni pa watu tupo very smart na hali zetu za kiuchumi sio mbaya. Ila rohoni tuna mizigo ya maumivu na hatuwezi kuonyesha in public sababu jamii haituruhusu vijana wa kiume kuonyesha changamoto zetu hadharani.

Sasa hapa ndipo sauti za kujiua zinapoanza kutuandama. Mimi ni muwazi nimesema ila vijana wengi hawasemi wanaishia kujiua.

Na ndio maana siku hizi kuna wimbi la vijana wengi kujikatisha uhai wao.
Pole mkuu.
Haya yote husababishwa na tajiri Kidukulilo kutokuonekana hapa jukwaani.
 
Jiue tuu Kaka,,nadhani hautakuwa wa Kwanza kufanya hivyo na pia hatakuwa wa mwisho kamwe kufanya hivyo!!Holidei njema huko mbinguni Natuma salamu kwa tra wa enzi hizo Zakayo Mtoza Ushuru MPE salam,,na kijana wa uvccm wa enzi hizo msaliti,,mzandiki,,na mnafki pia mla hongo broo wangu Yuda,,mzee wangu Petro,,Bila kuwasahau Mamajusi wanajimu bora wa kipindi hicho pia wape salamu zao waambie elon musk anechezea sana nyota zao huko angani nadhani wanamuona,,,Braza yangu Yesu na wengine wote.
 
Sauti inakuja kichwani jiue....!!!

Sielewi ila napambana nayo kweli. Biashara zikigoma inaniambia jiue. Mahusiano yakigoma inaniambia jiue.

Maisha yakibana jiue.....
Matarajio yakifutika jiue....
Makwazo yakitokea jiue...

NA HII SAUTI IKISHINDA BASI MTU HUJIUA KWELI BILA SABABU YOYOTE YA MSINGI KIROHO NA KIMWILI.

Mimi nawakilisha vijana wengi ambao kutokana na changamoto za maisha na matokeo yake, tunasumbuliwa na sauti za ushawishi wa kujiua.

Machoni pa watu tupo very smart na hali zetu za kiuchumi sio mbaya. Ila rohoni tuna mizigo ya maumivu na hatuwezi kuonyesha in public sababu jamii haituruhusu vijana wa kiume kuonyesha changamoto zetu hadharani.

Sasa hapa ndipo sauti za kujiua zinapoanza kutuandama. Mimi ni muwazi nimesema ila vijana wengi hawasemi wanaishia kujiua.

Na ndio maana siku hizi kuna wimbi la vijana wengi kujikatisha uhai wao.
Kuna mawili tu ya kufanya hapo:

1) Nenda kaonane na daktari wa matatizo ya akili. Ukishindwa hilo,

2) Nenda kamuone mkuu wako wa Kiimani, ama kanisani ama msikitini.
 
Jiue tuu Kaka,,nadhani hautakuwa wa Kwanza kufanya hivyo na pia hatakuwa wa mwisho kamwe kufanya hivyo!!Holidei njema huko mbinguni Natuma salamu kwa tra wa enzi hizo Zakayo Mtoza Ushuru MPE salam,,na kijana wa uvccm wa enzi hizo msaliti,,mzandiki,,na mnafki pia mla hongo broo wangu Yuda,,mzee wangu Petro,,Bila kuwasahau Mamajusi wanajimu bora wa kipindi hicho pia wape salamu zao waambie elon musk anechezea sana nyota zao huko angani nadhani wanamuona,,,Braza yangu Yesu na wengine wote.
bangi kweli kweli
 
Mkuu mbona umeshapiga hatua kwa kulifahamu tatizo, umeweza kulifafanua, na umeeleza chanzo chake. Naona uko nusu ya kulikabili, ukiamua lakini.

Binafsi kupitia maandishi yako nilishafahamu iko shida kwako, na wapo wengi humu Yawezekana wengine bado hawajajifahamu au hawajakubali. Ni vizuri kuwa umeadmitt.

Naunga mkono hoja ya wadau waliosema kama uwezo upo endelea kuonana na therapist, ukifika kwake funguka, yeye hatakujudge, na pia fanyia kazi assignment na commitment anazokutaka ufanye.

Mkuu hili ni tatizo unaweza kulikabili, Pole.
 
Back
Top Bottom