Ushawahi kucheza fainali ya caf?Sijawahi kuona watu wanaumia kiwango hiki.
Hili timu wanafanya kila wawezalo kujilinganisha na Simba na kutaka wawe juu ya Simba ila kila wakijaribu wanakwama.
Wanaumia Simba kutoa sare na hawaoni aibu kwa kuanza kumshambulia Robertinyo eti kocha mbovu.
Wana hofu kwa kuwa hawajawahi kumfunga mechi yoyote.
Endeleeni kuumia huenda mtapambana nanyi mjulikane kama tulivyoona rais wenu akijipendekeza kwa rais wa FIFA
Nyie shindeni kwanza mechi yenu ya JumanneSijawahi kuona watu wanaumia kiwango hiki.
Hili timu wanafanya kila wawezalo kujilinganisha na Simba na kutaka wawe juu ya Simba ila kila wakijaribu wanakwama.
Wanaumia Simba kutoa sare na hawaoni aibu kwa kuanza kumshambulia Robertinyo eti kocha mbovu.
Wana hofu kwa kuwa hawajawahi kumfunga mechi yoyote.
Endeleeni kuumia huenda mtapambana nanyi mjulikane kama tulivyoona rais wenu akijipendekeza kwa rais wa FIFA
Jibu ni ndioo,27 November 1993-Stella Adjamè Vs Simba.Ushawahi kucheza fainali ya caf?
Naunga mkono hoja 👍👏Nyie shindeni kwanza mechi yenu ya Jumanne
Ukitoka Misri ndo tutaongea
Unazungumzia abiola cup bila shakaJibu ni ndioo,27 November 1993-Stella Adjamè Vs Simba.
1st leg-Simba 2-0 Stella Adjamè.
2nd leg-Stella Adjamè 3-0 Simba.
Na timu ni Stella Abdjan siyo hiyo aliyoandika yeye.Unazungumzia abiola cup bila shaka
Hapana nazungumzia Kibu Mkandaji cup👇Unazungumzia abiola cup bila shaka
Unazungumzia abiola cup bila shaka
Hii ni ya caf?
haupo vizuri kisaikolojia mkuu...Sijawahi kuona watu wanaumia kiwango hiki.
Hili timu wanafanya kila wawezalo kujilinganisha na Simba na kutaka wawe juu ya Simba ila kila wakijaribu wanakwama.
Wanaumia Simba kutoa sare na hawaoni aibu kwa kuanza kumshambulia Robertinyo eti kocha mbovu.
Wana hofu kwa kuwa hawajawahi kumfunga mechi yoyote.
Endeleeni kuumia huenda mtapambana nanyi mjulikane kama tulivyoona rais wenu akijipendekeza kwa rais wa FIFA
Tatizo sio utoto unaokusumbua bali ukilaza.Ni sawa na kumuuliza baba yako kama amewahi kuwa na demu.Unadhani huyo mbibi mama yako hakuwahi kuwa demu?Ushawahi kucheza fainali ya caf?
Mimba yako ina muda gani? Maana si kwa kubetua midomo hukoTatizo sio utoto unaokusumbua bali ukilaza.Ni sawa na kumuuliza baba yako kama amewahi kuwa na demu.Unadhani huyo mbibi mama yako hakuwahi kuwa demu?
Club Stella A'djame(Stella Abidjan)Na timu ni Stella Abdjan siyo hiyo aliyoandika yeye.
Wewe si ndio umenibebea hujui ina muda gani?Mimba yako ina muda gani? Maana si kwa kubetua midomo huko