Sijawahi kuona watu wanaumia kiwango hiki.
Hili timu wanafanya kila wawezalo kujilinganisha na Simba na kutaka wawe juu ya Simba ila kila wakijaribu wanakwama.
Wanaumia Simba kutoa sare na hawaoni aibu kwa kuanza kumshambulia Robertinyo eti kocha mbovu.
Wana hofu kwa kuwa hawajawahi kumfunga mechi yoyote.
Endeleeni kuumia huenda mtapambana nanyi mjulikane kama tulivyoona rais wenu akijipendekeza kwa rais wa FIFA
Hili timu wanafanya kila wawezalo kujilinganisha na Simba na kutaka wawe juu ya Simba ila kila wakijaribu wanakwama.
Wanaumia Simba kutoa sare na hawaoni aibu kwa kuanza kumshambulia Robertinyo eti kocha mbovu.
Wana hofu kwa kuwa hawajawahi kumfunga mechi yoyote.
Endeleeni kuumia huenda mtapambana nanyi mjulikane kama tulivyoona rais wenu akijipendekeza kwa rais wa FIFA