Nasikia utopolo kimewauma kiasi walinunua ticket na kuzichoma ili uwanja uwe na magap

Nasikia utopolo kimewauma kiasi walinunua ticket na kuzichoma ili uwanja uwe na magap

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Sijawahi kuona watu wanaumia kiwango hiki.
Hili timu wanafanya kila wawezalo kujilinganisha na Simba na kutaka wawe juu ya Simba ila kila wakijaribu wanakwama.

Wanaumia Simba kutoa sare na hawaoni aibu kwa kuanza kumshambulia Robertinyo eti kocha mbovu.
Wana hofu kwa kuwa hawajawahi kumfunga mechi yoyote.

Endeleeni kuumia huenda mtapambana nanyi mjulikane kama tulivyoona rais wenu akijipendekeza kwa rais wa FIFA
 
Sijawahi kuona watu wanaumia kiwango hiki.
Hili timu wanafanya kila wawezalo kujilinganisha na Simba na kutaka wawe juu ya Simba ila kila wakijaribu wanakwama.

Wanaumia Simba kutoa sare na hawaoni aibu kwa kuanza kumshambulia Robertinyo eti kocha mbovu.
Wana hofu kwa kuwa hawajawahi kumfunga mechi yoyote.

Endeleeni kuumia huenda mtapambana nanyi mjulikane kama tulivyoona rais wenu akijipendekeza kwa rais wa FIFA
Ushawahi kucheza fainali ya caf?
 
Sijawahi kuona watu wanaumia kiwango hiki.
Hili timu wanafanya kila wawezalo kujilinganisha na Simba na kutaka wawe juu ya Simba ila kila wakijaribu wanakwama.

Wanaumia Simba kutoa sare na hawaoni aibu kwa kuanza kumshambulia Robertinyo eti kocha mbovu.
Wana hofu kwa kuwa hawajawahi kumfunga mechi yoyote.

Endeleeni kuumia huenda mtapambana nanyi mjulikane kama tulivyoona rais wenu akijipendekeza kwa rais wa FIFA
Nyie shindeni kwanza mechi yenu ya Jumanne

Ukitoka Misri ndo tutaongea
 
Unazungumzia abiola cup bila shaka
Hapana nazungumzia Kibu Mkandaji cup👇

images (4).jpeg

Unazungumzia abiola cup bila shaka
 
Sijawahi kuona watu wanaumia kiwango hiki.
Hili timu wanafanya kila wawezalo kujilinganisha na Simba na kutaka wawe juu ya Simba ila kila wakijaribu wanakwama.

Wanaumia Simba kutoa sare na hawaoni aibu kwa kuanza kumshambulia Robertinyo eti kocha mbovu.
Wana hofu kwa kuwa hawajawahi kumfunga mechi yoyote.

Endeleeni kuumia huenda mtapambana nanyi mjulikane kama tulivyoona rais wenu akijipendekeza kwa rais wa FIFA
haupo vizuri kisaikolojia mkuu...
 
Yaani mwanangu yanga watoe hela wanunue ticket za simba?
Them wachome moto?
Ili?
Kwa faida ipi?
Then?
Nani anaetoa hizo hela?

Nadhani sasa kuwe na malipo yakuanzisha uzi jf
 
Back
Top Bottom