Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana

Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana

GRAMAA

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
1,241
Reaction score
3,800
Ni mtu ambaye niliishi naye miaka kumi na tatu na tulibahatika kupata watoto wanne. Ila leo mama Agness nimempa talaka mahakamani bila kupenda. Imeniuma sana nilimzoea sana mke wangu.

Mama Agness ameniliza sana. Daaah talaka inauma sana kwa mtu uliyemzoea. Nimemuuzi mtu niliyempenda. Ndiyo hivyo tena hatimaye mimi na mke wangu leo mwendo tumeumaliza.

1628835139864.png
 
Maisha ni mafupi sana mkuu Yapaswa sote tuyafurahie

Inaonesha umemuumiza mke wako

Lakini kuachana kwa amani ni bora zaidi kuliko kuendelea kukaa na mtu aliyekuwekea kinyongo moyoni

Hujui siku wala saa hasira yake itakapolipuka kwako,na italipukaje

Muombe msamaha mke wako kwa ulichomkosea,ili uondoe ile hali yakujisikia una hatia,,Mshukuru Mungu kwa kipindi cha maisha mlichokua pamoja

Fungua moyo,maisha lazima yaendelee tena maisha ya furaha

Usikurupuke kuingia kwenye mahusiano au kumuoa mchepuko ulokua nae.
 
Ni mtu ambaye niliishi naye miaka kumi na tatu na tulibahatika kupata matoto wa nne.

Ila leo mama Agness nimempa talaka mahakamani bila kupenda. Imeniuma sana nilimzoea sana mke wangu.

Mama Agness ameniliza sana. Daaah talaka inauma sana kwa mtu aliyemzoea. Nimemuuzi mtu niliyempenda.

Ndiyo hivyo Tena hatimaye mimi na mke wangu leo mwendo tumeumaliza.
Mmekufa?
 
Back
Top Bottom