ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Lile tambiko ulikwenda kulifanya Sumbawanga na sperm ama nimekosea!!?Ndio kikoje hicho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lile tambiko ulikwenda kulifanya Sumbawanga na sperm ama nimekosea!!?Ndio kikoje hicho
Kwan ni mjitaa mkuu?Kwa kawaida ya Kanda yenu mlivyo HATUSHANGAI nyie kalamu 8. Ni wabishi na kujifanya smart, mtu unatembea na kalamu nyingi mfuko wa shirt
Aaaah yeah ile ishu ya sperm iko vizuri, mambo safi kabisa....nimpe mkeo hii ishu ili mpendane sana???Lile tambiko ulikwenda kulifanya Sumbawanga na sperm ama nimekosea!!?
Basi hapo utataka uulizwe sababu na ilikuwaje kuwaje ili uone nawe unahitajiiiiikaaaaa, wabongo bana.Ni mtu ambaye niliishi naye miaka kumi na tatu na tulibahatika kupata matoto wa nne.
Ila leo mama Agness nimempa talaka mahakamani bila kupenda. Imeniuma sana nilimzoea sana mke wangu.
Mama Agness ameniliza sana. Daaah talaka inauma sana kwa mtu aliyemzoea. Nimemuuzi mtu niliyempenda.
Ndiyo hivyo Tena hatimaye mimi na mke wangu leo mwendo tumeumaliza.
Alikuja kugundua kama nilizaa naUMEMPA TALAKA KWA SABABU GANI MKUU???MAANA KAMA UNA HUZUNI YENYE FURAHA
Daaah nimekosa mpaka cha kukomentiBasi hapo utataka uulizwe sababu na ilikuwaje kuwaje ili uone nawe unahitajiiiiikaaaaa, wabongo bana.
Hongera mkuu hata hivyo mmekaa sanaNi mtu ambaye niliishi naye miaka kumi na tatu na tulibahatika kupata matoto wa nne.
Ila leo mama Agness nimempa talaka mahakamani bila kupenda. Imeniuma sana nilimzoea sana mke wangu.
Mama Agness ameniliza sana. Daaah talaka inauma sana kwa mtu aliyemzoea. Nimemuuzi mtu niliyempenda.
Ndiyo hivyo Tena hatimaye mimi na mke wangu leo mwendo tumeumaliza.
Mimi nina wake wawiliAaaah yeah ile ishu ya sperm iko vizuri, mambo safi kabisa....nimpe mkeo hii ishu ili mpendane sana???
Uliwaza kuhusu watoto? Aiseeee Mungu anisaidie sana sana, huwa nawaza watoto wangu zaidi...Ni mtu ambaye niliishi naye miaka kumi na tatu na tulibahatika kupata matoto wa nne.
Ila leo mama Agness nimempa talaka mahakamani bila kupenda. Imeniuma sana nilimzoea sana mke wangu.
Mama Agness ameniliza sana. Daaah talaka inauma sana kwa mtu aliyemzoea. Nimemuuzi mtu niliyempenda.
Ndiyo hivyo Tena hatimaye mimi na mke wangu leo mwendo tumeumaliza.
Alielezea mambo gani huko mahakamaniKwa uliyokuwa unamfanyia kama ni kweli basi alistahili kukutaliki, alipokuwa anaelezea wote tulipigwa na butwaaa, tubu ndugu yangu
Hahaha huyo huyo mkuu 7800/=Wewe si ndiye uliyempa yule bibie 7800!? ukamuacha lodge!?
Mwenye sweta lililoandikwa Tanzania!!!?
Baaaas, kinachokwenda lazima kirudi kmmmmmk
Ni mtu ambaye niliishi naye miaka kumi na tatu na tulibahatika kupata matoto wa nne.
Ila leo mama Agness nimempa talaka mahakamani bila kupenda. Imeniuma sana nilimzoea sana mke wangu.
Mama Agness ameniliza sana. Daaah talaka inauma sana kwa mtu aliyemzoea. Nimemuuzi mtu niliyempenda.
Ndiyo hivyo Tena hatimaye mimi na mke wangu leo mwendo tumeumaliza.
Mmefariki???Ni mtu ambaye niliishi naye miaka kumi na tatu na tulibahatika kupata matoto wa nne.
Ila leo mama Agness nimempa talaka mahakamani bila kupenda. Imeniuma sana nilimzoea sana mke wangu.
Mama Agness ameniliza sana. Daaah talaka inauma sana kwa mtu aliyemzoea. Nimemuuzi mtu niliyempenda.
Ndiyo hivyo Tena hatimaye mimi na mke wangu leo mwendo tumeumaliza.
Hii ni kweli? Inafanya kazi? Kiaje?Aaaah yeah ile ishu ya sperm iko vizuri, mambo safi kabisa....nimpe mkeo hii ishu ili mpendane sana???
Piga moyo konde na uanze upyaNi mtu ambaye niliishi naye miaka kumi na tatu na tulibahatika kupata watoto wanne.
Ila leo mama Agness nimempa talaka mahakamani bila kupenda. Imeniuma sana nilimzoea sana mke wangu.
Mama Agness ameniliza sana. Daaah talaka inauma sana kwa mtu uliyemzoea. Nimemuuzi mtu niliyempenda.
Ndiyo hivyo tena hatimaye mimi na mke wangu leo mwendo tumeumaliza.