Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana

Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana

Ni mtu ambaye niliishi naye miaka kumi na tatu na tulibahatika kupata watoto wanne.

Ila leo mama Agness nimempa talaka mahakamani bila kupenda. Imeniuma sana nilimzoea sana mke wangu.

Mama Agness ameniliza sana. Daaah talaka inauma sana kwa mtu uliyemzoea. Nimemuuzi mtu niliyempenda.

Ndiyo hivyo tena hatimaye mimi na mke wangu leo mwendo tumeumaliza.

Pole mkuu, tatiZo nn?
Karibu kwwnye maumivu japo so pazuri huku
 
Ila mumeupiga mwingi, watoto wanne kwa usawa huu parefu sana hapo
Mara nyingi kuvunjika kwa Ndoa kunasababisha watoto kuteseka sana, Maana wataanza kuishi kwa staili ya kitofauti kuliko walivyokuwa na wazazi wao na kupelekea wawe na tabia za hovyo.

Misingi Bora ya malezi hutoka kwa Baba na Mama.
 
R.I.P mama Agness na Baba Agness
JamiiForums264685742.jpg
FB_IMG_1628772967838.jpg


Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Wewe ndio mafala duniani. Kama unampenda bado mpaka kukuliza kwa nini unamuacha?. Mimi nilijua unaweka sherehe kabisa kufanikisha kufikia kitu kigumu Talaka??.

Mimi natamani hata kufikia leo Talaka,lakini mwanamke huyu ni king'ang'anizi hatari. Nimetumia kila njia nifikie hatua uliyofikia wewe.

Mpaka siku nikabeba vitu vyote ndani na loli nilimwambia ndio nakupeleka kwenu na vitu vyote vya humu ndani. Aliita watu wote ninaofahamiana nao mpaka wachungaji sio kwamba anaomba samahani ili tu wasuruhishe abaki. Nimesema kwamba kuomba samahani mke ni jeuri,kiburi. Tunaweza tukakaa hata miezi mi3 amenuna tu. Tunaishi kama jehanum karibia mwaka wa 15. Kuachana ndio hataki kabisa.

Mimi nikifikia hatua uliyofikia wewe ni sherehe. Sitarudi nyuma kumfikiria hata nusu,. Halafu sitaoa tena maisha yangu yote yaliyobakia.
 
Wewe ndio mafala duniani. Kama unampenda bado mpaka kukuliza kwa nini unamuacha?. Mimi nilijua unaweka sherehe kabisa kufanikisha kufikia kitu kigumu Talaka??.

Mimi natamani hata kufikia leo Talaka,lakini mwanamke huyu ni king'ang'anizi hatari. Nimetumia kila njia nifikie hatua uliyofikia wewe.

Mpaka siku nikabeba vitu vyote ndani na loli nilimwambia ndio nakupeleka kwenu na vitu vyote vya humu ndani. Aliita watu wote ninaofahamiana nao mpaka wachungaji sio kwamba anaomba samahani ili tu wasuruhishe abaki. Nimesema kwamba kuomba samahani mke ni jeuri,kiburi. Tunaweza tukakaa hata miezi mi3 amenuna tu. Tunaishi kama jehanum karibia mwaka wa 15. Kuachana ndio hataki kabisa.

Mimi nikifikia hatua uliyofikia wewe ni sherehe. Sitarudi nyuma kumfikiria hata nusu,. Halafu sitaoa tena maisha yangu yote yaliyobakia.
Sasa hapi vip chakula cha ndoa(sex) napo hakuna
 
Wewe ndio mafala duniani. Kama unampenda bado mpaka kukuliza kwa nini unamuacha?. Mimi nilijua unaweka sherehe kabisa kufanikisha kufikia kitu kigumu Talaka??.

Mimi natamani hata kufikia leo Talaka,lakini mwanamke huyu ni king'ang'anizi hatari. Nimetumia kila njia nifikie hatua uliyofikia wewe.

Mpaka siku nikabeba vitu vyote ndani na loli nilimwambia ndio nakupeleka kwenu na vitu vyote vya humu ndani. Aliita watu wote ninaofahamiana nao mpaka wachungaji sio kwamba anaomba samahani ili tu wasuruhishe abaki. Nimesema kwamba kuomba samahani mke ni jeuri,kiburi. Tunaweza tukakaa hata miezi mi3 amenuna tu. Tunaishi kama jehanum karibia mwaka wa 15. Kuachana ndio hataki kabisa.

Mimi nikifikia hatua uliyofikia wewe ni sherehe. Sitarudi nyuma kumfikiria hata nusu,. Halafu sitaoa tena maisha yangu yote yaliyobakia.

Daah, kweli ndoa hizi. Mkuu sasa unaishije namna hiyo?
 
Kufa kufaana,wakati wewe unaamua kuachana na mkewe,Mc gara b kila siku anaingiza watu katika mahusiano mapya kupitia sherehe zake
 
So unaumia au unacheka, nikajua mnajiua nyote kumbe anakwenda kuolewa na bwana mwingine, ndio ujue mke Bora anatoka kwa bwana.

USSR
Umejiridhisha mwenye matatizo ni mke?
 
Daah, kweli ndoa hizi. Mkuu sasa unaishije namna hiyo?
Ni kama kusogeza siku tu.

Hii ndoa imenifundisha mambo mengi. Zamani wazee ilikuwa mtoto mmojawapo iwe wa kike au kiume akilalamikia ndoa wanamwambia vumilia tu ndio ndoa zilivyo. Kumbe huko ndani anaungulia hatari. Ndio maana kuna wimbi kubwa la wanandoa kuuana.

Hasa vijana wa kiume wanapitia magumu sana kwenye ndoa ksbb ile hali ya uanaume inakufanya uugulie peke yako ndani kwa ndani.

Mimi ksbb najua nimeji-control ili nisiuumize moyo. Kwa hiyo lolote mi poa tu,ili maisha yasonge. Sio kwamba niko vibaya kimaisha...! Yeye mwenyewe nimenunulia usafiri. Wapo watu ambao ni forward tu wanawaza. Hafikiri nyuma,yeye akiwaza jambo usimpinge.
 
Sasa hapi vip chakula cha ndoa(sex) napo hakuna
Ni kama hamna ndugu. Maana kila mmoja amelikinai hilo tendo kwa mwenzie. Lipo kwa mbali kama kubakana tu ili kutimiza wajibu.

Nilichokifanya ili kujiokoa na kuuweka sawa moyo usipitie majeraha makubwa,ikanibidi nifungue duka wilaya nyingine na tulipo mkoani.

Kwa hiyo muda mwingi namalizia huko shop. Naweza nikawa huko wiki na home siku 3,au 4 sababu ya watoto.
 
Ni kama hamna ndugu. Maana kila mmoja amelikinai hilo tendo kwa mwenzie. Lipo kwa mbali kama kubakana tu ili kutimiza wajibu. Nilichokifanya ili kujiokoa na kuuweka sawa moyo usipitie majeraha makubwa,ikanibidi nifungue duka wilaya nyingine na tulipo mkoani. Kwa hiyo muda mwingi namalizia huko shop. Naweza nikawa huko wiki na home siku 3,au 4 sababu ya watoto.
Aisee pole sana kwa unayo pitia
 
Wewe si ndiye uliyempa yule bibie 7800!? ukamuacha lodge!?

Mwenye sweta lililoandikwa Tanzania!!!?
Aisee bado unaikumbuka! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Wewe ndio mafala duniani. Kama unampenda bado mpaka kukuliza kwa nini unamuacha?. Mimi nilijua unaweka sherehe kabisa kufanikisha kufikia kitu kigumu Talaka??.

Mimi natamani hata kufikia leo Talaka,lakini mwanamke huyu ni king'ang'anizi hatari. Nimetumia kila njia nifikie hatua uliyofikia wewe.

Mpaka siku nikabeba vitu vyote ndani na loli nilimwambia ndio nakupeleka kwenu na vitu vyote vya humu ndani. Aliita watu wote ninaofahamiana nao mpaka wachungaji sio kwamba anaomba samahani ili tu wasuruhishe abaki. Nimesema kwamba kuomba samahani mke ni jeuri,kiburi. Tunaweza tukakaa hata miezi mi3 amenuna tu. Tunaishi kama jehanum karibia mwaka wa 15. Kuachana ndio hataki kabisa.

Mimi nikifikia hatua uliyofikia wewe ni sherehe. Sitarudi nyuma kumfikiria hata nusu,. Halafu sitaoa tena maisha yangu yote yaliyobakia.
Duuuuh!
 
Ni mtu ambaye niliishi naye miaka kumi na tatu na tulibahatika kupata watoto wanne.

Ila leo mama Agness nimempa talaka mahakamani bila kupenda. Imeniuma sana nilimzoea sana mke wangu.

Mama Agness ameniliza sana. Daaah talaka inauma sana kwa mtu uliyemzoea. Nimemuuzi mtu niliyempenda.

Ndiyo hivyo tena hatimaye mimi na mke wangu leo mwendo tumeumaliza.

Sababu ya talaka ni nini?
 
Pole mkuu, hayo yote ni malimwengu tumeumbwa nayo! Piga konde moyo maisha yaendelee!
 
Mida hii Mama Agness kakumbatiwa na mwengine kwa ulozi wako😀

Watoto 4 piga moyo konde nenda mkaya wekesawa.. Tuma watu wa kwenu na kwao ili pepo mbaya aepushwe..
Mwenyezi Mungu wasaidie waja wako Amiin Amiin...
Tatizo mume na mke wakigombana kqa jamii za kitz ndugu wanaingilia pande mbili zinavurugika inakuwa ni uhasama najiulizaga nakosa jibu ni kwann inakuwa ivo hasa ndugu wa mume wanatoka huko kila mtu na lake wanatukana mke mara malaya, na hawajui hata chanzo.

Je unafikiri km mkuu MAGALLAH R ndo mkosaji kuna ndugu anaweza kwenda kuongea na mkewe
 
Back
Top Bottom