EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
We jamaa si ndio ulipigaga ila pisi iliyotoka Mwanza ukampa 7800 au nimekufananisha?Ni mtu ambaye niliishi naye miaka kumi na tatu na tulibahatika kupata watoto wanne.
Ila leo mama Agness nimempa talaka mahakamani bila kupenda. Imeniuma sana nilimzoea sana mke wangu.
Mama Agness ameniliza sana. Daaah talaka inauma sana kwa mtu uliyemzoea. Nimemuuzi mtu niliyempenda.
Ndiyo hivyo tena hatimaye mimi na mke wangu leo mwendo tumeumaliza.
Leo yamekukuta wewe