Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana

Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana

Kuoa ndoa za kikristo ni shida sana...ndoa ya kiislam ndio sahihi
Kabisa mkuu. Hawa waislam wanapunguza sana strees. Akiona tu mke hamuelewi,anavuta kitu kingine. Si umeona wanawake wa kiislam walivyo na heshima sana kwenye ndoa zao...
 
Kabisa mkuu. Hawa waislam wanapunguza sana strees. Akiona tu mke hamuelewi,anavuta kitu kingine. Si umeona wanawake wa kiislam walivyo na heshima sana kwenye ndoa zao...

Mimi mkristo ila nina plan ya kuoa kiislam. Hizi dini tumeletewa. Ukiziendekeza sana unakufa na stress.

Nimeusoma sana mkataba wa ndoa.. nimegundua ndoa ya kiislam inaendana sana na uhalisia wa maisha yetu ya mitaani kuliko ya kikristo. Nimeamua kuifata hiyo ndoa.. nachumbia binti wa kiislam na namuoa kiislam
 
Ni mtu ambaye niliishi naye miaka kumi na tatu na tulibahatika kupata watoto wanne. Ila leo mama Agness nimempa talaka mahakamani bila kupenda. Imeniuma sana nilimzoea sana mke wangu.

Mama Agness ameniliza sana. Daaah talaka inauma sana kwa mtu uliyemzoea. Nimemuuzi mtu niliyempenda. Ndiyo hivyo tena hatimaye mimi na mke wangu leo mwendo tumeumaliza.

August 13
 
TUKIWAAMBIA MSIOWE, MNATUTUKANA HUMU NA KUTUITA KAMA MPENDAVYO[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...hayaa sasa ni muda muafaka wa kuwa review thread za maonyo ya humu ndani kuhusu ndoa, hakuna uzoeafu kwenye ndoa, hiyo sio shule mzee kusema kwamba muda wako uliokaa utakufnya uonekane mjuaji au ukwepe shida, shida iko pale pale, taraka iko peupee sanaa, na ndio maana unapewa cheti mapemaaaa maana hata wanaokufungisha ndoa hawana uwakika kama utafuzu au uta disco[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..poleeee aseee hii ndyo dunia, karbu kwenye ulimwengu wa mabachera[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwaka 2015 nikampiga mimba mdada mmoja huko wilayani. Lakini sijamuoa,ila nilikuwa nimekubaliana nae jambo. Ksbb nilimwambia hali halisi kwamba nina familia. Tukaelewana ABC.

Alipojifungua,mtoto amekua kua wa kiume. I see usiambiwe watoto wa kuiba mkuu. Mtoto ametoka copy tembea,kutabasamu,upole,kila kitu kachukua yule mtoto.

Kama kawaida Wazee wa ubuyu wakamtonya mke. Akapita njia zake akamfahamu yule mtoto. Ugomvi huo ulikuwa sio wa nchi hii. Mke akajifanya ameumia sana. Kiukweli ni kama nimemuachia maumivu. Ksbb mpaka aliumwa. Japo sikutaka afikie kwenye kuumwa,ila nilitaka sana apate funzo.

Lakini sio kwamba ndio amejifunza. Na utetezi wangu ni mmoja tu sipewi heshima ya mume ninayostahili kama mume. Kila kitu hapo ndani ni mimi tu ananitegemea. Lakini nafikiri ndio nikajua maana ya watu kusema usioe Mnyakyusa
Duuh wanyaki wana nini mkuu? Ni viburi sana eeh??
 
Nenda kachukue mkeo before it’s too late. Kama unampenda kwanini ueteseke? Kwanini utese familia yako!? CHAKARIKA acha uzoba.
Ni mtu ambaye niliishi naye miaka kumi na tatu na tulibahatika kupata watoto wanne. Ila leo mama Agness nimempa talaka mahakamani bila kupenda. Imeniuma sana nilimzoea sana mke wangu.

Mama Agness ameniliza sana. Daaah talaka inauma sana kwa mtu uliyemzoea. Nimemuuzi mtu niliyempenda. Ndiyo hivyo tena hatimaye mimi na mke wangu leo mwendo tumeumaliza.

 
Ni mtu ambaye niliishi naye miaka kumi na tatu na tulibahatika kupata watoto wanne. Ila leo mama Agness nimempa talaka mahakamani bila kupenda. Imeniuma sana nilimzoea sana mke wangu.

Mama Agness ameniliza sana. Daaah talaka inauma sana kwa mtu uliyemzoea. Nimemuuzi mtu niliyempenda. Ndiyo hivyo tena hatimaye mimi na mke wangu leo mwendo tumeumaliza.

sababu nini?
 
Ni mtu ambaye niliishi naye miaka kumi na tatu na tulibahatika kupata watoto wanne. Ila leo mama Agness nimempa talaka mahakamani bila kupenda. Imeniuma sana nilimzoea sana mke wangu.

Mama Agness ameniliza sana. Daaah talaka inauma sana kwa mtu uliyemzoea. Nimemuuzi mtu niliyempenda. Ndiyo hivyo tena hatimaye mimi na mke wangu leo mwendo tumeumaliza.


Ndoa sio ya kila mtu, kuna mwingine utamzoea utaona kawaida! We nenda tu kaishi mwenyewe, nyie wa Kurya si wababe? Dada zetu wa kaskazini wamezoea kubembelezwa!
 
Mimi mkristo ila nina plan ya kuoa kiislam. Hizi dini tumeletewa. Ukiziendekeza sana unakufa na stress.

Nimeusoma sana mkataba wa ndoa.. nimegundua ndoa ya kiislam inaendana sana na uhalisia wa maisha yetu ya mitaani kuliko ya kikristo. Nimeamua kuifata hiyo ndoa.. nachumbia binti wa kiislam na namuoa kiislam
Teh[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe ndio mafala duniani. Kama unampenda bado mpaka kukuliza kwa nini unamuacha?. Mimi nilijua unaweka sherehe kabisa kufanikisha kufikia kitu kigumu Talaka??.

Mimi natamani hata kufikia leo Talaka,lakini mwanamke huyu ni king'ang'anizi hatari. Nimetumia kila njia nifikie hatua uliyofikia wewe.

Mpaka siku nikabeba vitu vyote ndani na loli nilimwambia ndio nakupeleka kwenu na vitu vyote vya humu ndani. Aliita watu wote ninaofahamiana nao mpaka wachungaji sio kwamba anaomba samahani ili tu wasuruhishe abaki. Nimesema kwamba kuomba samahani mke ni jeuri,kiburi. Tunaweza tukakaa hata miezi mi3 amenuna tu. Tunaishi kama jehanum karibia mwaka wa 15. Kuachana ndio hataki kabisa.

Mimi nikifikia hatua uliyofikia wewe ni sherehe. Sitarudi nyuma kumfikiria hata nusu,. Halafu sitaoa tena maisha yangu yote yaliyobakia.

Hii inaitwa kua uyaone😃😃😃
Kama mmeweza kuishi miaka15 mnaweza kumalizia safari yenu kwa hiyohiyo style yenu
 
Mbna ulisema Leo ktk Uzi fln kuwa huyu mam Agnes's amepata ajalimbaya hapo kijichi
 
Hii inaitwa kua uyaone[emoji2][emoji2][emoji2]
Kama mmeweza kuishi miaka15 mnaweza kumalizia safari yenu kwa hiyohiyo style yenu
Kabisa ndio ukubwa wenyewe. Ndio tuko tunaendelea na hiyo style,japo ni ngumu. Usipojiweka sawa au iwe ndio chochote kiwe kinakupiga chenga (japo hiki kingekuwa hakiko sawa,angekuwa ametembea kitambo) hutakuwa na furaha. Ni fundisho kwa wanaokuja
 
Kabisa ndio ukubwa wenyewe. Ndio tuko tunaendelea na hiyo style,japo ni ngumu. Usipojiweka sawa au iwe ndio chochote kiwe kinakupiga chenga (japo hiki kingekuwa hakiko sawa,angekuwa ametembea kitambo) hutakuwa na furaha. Ni fundisho kwa wanaokuja

Hakuna mkamilifu kwenye maisha, ukitaka furaha fanya kumsaidia mwenzio kukibeba kile usichokipenda kwake. Ukione kama ninulemavu wake na uamini wewe ndie mtu pekee wa kumkamilisha.

Ukishajifunza kumfurahisha moja kwa moja na wewe utafurahi...... Maisha yenyewe haya ya corona mafupi.
 
Back
Top Bottom