Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhali ubaki hivyo hivyo maanake ukipata hako kandinga utakufa mapema. Mungu hakosei.Haya maisha yasikieni tu, mwezi wa 12 huu kila kitu kimebana. Yaani ukiweza kuvunja huu mnaso, wewe hata bikira hazikusumbui. Pesa haipo kabisa.
Mi namuweka kwenye Benz,achagueKama una 2.7M nikuweke kwenye Rav 4 mninga ya 3s engine ile
Condition yake IPO vipi?Kama una 2.7M nikuweke kwenye Rav 4 mninga ya 3s engine ile
Hapo umpe na contacts za mafundiKama una 2.7M nikuweke kwenye Rav 4 mninga ya 3s engine ile
Maliza masomo kwanza huko open universityHaya maisha yasikieni tu, mwezi wa 12 huu kila kitu kimebana. Yaani ukiweza kuvunja huu mnaso, wewe hata bikira hazikusumbui. Pesa haipo kabisa.
Nitumie picha WhatsApp,0742338377Kama una 2.7M nikuweke kwenye Rav 4 mninga ya 3s engine ile
Usimtishe banahusimiliki gari kama pesa zinasua sua .kumili gari ni bajeti nyengine ya matumizi.
Acha masikhara kijana hiyo ndinga inaweza kuvuka msata kweli kutokea ubungo?Kama una 2.7M nikuweke kwenye Rav 4 mninga ya 3s engine ile
Kuna mtu anataka kujeruhiwa majeraha ya kufungia Mwaka😂😂Hapo umpe na contacts za mafundi
Jamaa ana hela ya mchezo na wadau wametambua Hilo.Kuna mtu anataka kujeruhiwa majeraha ya kufungia Mwaka😂😂
Gari kali sana babu, changamoto ni namba A tuAcha masikhara kijana hiyo ndinga inaweza kuvuka msata kweli kutokea ubungo?